IGP kwenye suala la Lissu chutama, umatusononesha sana Watanzania kwa kumshambulia mhanga kwa maneno badala ya kutafuta wahalifu

Kwa maelezo ya IGP kuwa hakufika kuandikisha maelezo, nahisi pia gari ukipata ajali polisi hawahusiki hadi wahanga wafungue jalada kisha ndiyo ajali hiyo ishughulikiwe na polisi
 
Lisu alikwenda kwa mroto kudai gari lake wala hakutaka kutoa maelezo mengine kuhusu tukio lake.
Lisu na Dereva wake wanajua zaidi kwa nn hawataki kwenda kutoa maelezo yao polisi.
ukiwa na tukio unaweza kwenda polisi hata zaidi ya mara 100.
unacho takiwa kujiuliza je?.
tusiwe wajinga inawezekana Kuna jambo ambalo hatulijui ss washabiki zaidi ya Lisu na Dereva wake, wana siri nzito.
aende akatoe maelezo yake kwa IGP.
Lisu na Dereva wake ndio mashahidi, IGP hakuwepo ktk tukio aliye kuwepo kwenye tukio ni Lisu na Dereva wake.
 
ili kuondoa dhana potofu ktk sakata hili la Lisu ni kwa Lisu na Dereva wake kuamua kwenda kutoa maelezo yao polisi.
 
Kwa maelezo ya IGP kuwa hakufika kuandikisha maelezo, nahisi pia gari ukipata ajali polisi hawahusiki hadi wahanga wafungue jalada kisha ndiyo ajali hiyo ishughulikiwe na polisi

..hapo ni kwenye ajali za barabarani tena zile ndogo-ndogo.

..sio kwa matukio makubwa ya KIGAIDI kama shambulizi lililomtokea Lissu.

..kwa tukio lile Polisi wanatakiwa kulichunguza kwasababu wao ndio wenye wajibu wa kushitaki mahakamani.

..hata wewe au mimi tukishambuliwa na majambazi, polisi ndio watakaowajibika kuwakamata majambazi hao na kuwafungulia mashtaka / kesi.
 
Mficha wahalifu keshaeenda zake,wawaweke hadharani tuwashughulikie, wasiojulikana siku hizi wamevaa dela
 
Uko sahihi kabisa
 

..mbona Igp ametoa maelezo tofauti?

..Igp hajasema kwamba Lissu alikataa kuhojiwa na Rpc Muroto.

..kama Lissu alikataa kuhojiwa, au alikaidi wito wa Igp, basi jeshi la polisi lilitakiwa kumkamata.
 
Ukisikiliza tu hoja za IGP, unajua kabisa nani alikuwa nyuma ya shambulizi lile baya dhidi ATL.
 
Jinai haifi. Wanachelewesha tu lakini hata baada ya miaka 30 itakula kwao.
 
Mwache aende Kiabakari kijiji cha wanawake! tutamfuata huko huko! Lakini huyu anaweza kupofuka kwa laana alizochuma! Uwe uwavyo Siro lazima utujibu Nani aliyetuma wauaji kumuangamiza Lissu na walikuwa akina nani?
Kuna mwenzako Tibaigana alianza kuropoka ulevini akatekwa akafanywa bubu! sasa unangoja hadi ustaafu?
 
waandishi wa haya mavi kama huyu ni mandata aka viatu aka jino, polisi ambao hawakusoma wamefoji vyeti na wanaishi kusujudia mamlaka!
 
Kwahiyo we unatakaje?

Alafu tabia ya kipumbavu ya kusema sisi watanzania tuliumia sana unakosea ina manisha umenijumuisha na mimi.Ukwel ni kuwa sikuumia kabisa angekufa tu.Jiseme nafsi yako.

Siyo lazima uwemo wewe na basically haumo kwa sababu si miongoni mwa watanzania walioumia...

Lakini ametumia nafsi ya "watanzania tuliowengi....." kwa sababu tuliowengi ni mimi, yeye na wengine. Wewe haumo kabisa, na hufai kuwemo. Hivyo jiondoe kabisa, give us space....
 
Nadhani wengi wenye elimu na Akili waliumia na kukasirika sana kumsikia Sirro akijibu kama alivyojibu! Alijibu bila huruma kama vile anaongelea mnyama aliyekoswakoswa!! Nilidhani ni mtu wa hekima lakini kutokana na ulivyojibu sina respect for him tena!! Mungu akurudishie kiasi cha matamshi yako ya kukejeri raia mwema kama Lisu!! Mungu akulipe kwa stahili ya maneno yako!!
 
Yani jeshi la kipumbavu kuliko yote duniani ni hili jeshi la polisi Tanzania.

Ishu ya lissu itaishi igp siro hata mifupa yako itafukuliwa kaburini mwaka 2300 tujue ilikuwa mtu wa Aina gani wakati huo magufuli matamahuluku yake yatakuwa fosili fuel.
 
Kwa nini dereva haji kwa hiari yake ili kusaidia upelelezi kwenye kuumizwa kwa bosi wake?
 
Kwa nini dereva haji kwa hiari yake ili kusaidia upelelezi kwenye kuumizwa kwa bosi wake?

..hilo swali lingeweza kujibiwa na Polisi kama wangewaomba Interpol wamkamate dereva huyo na kumrejesha Tz ili atoe ushahidi.
 
..hilo swali lingeweza kujibiwa na Polisi kama wangewaomba Interpol wamkamate dereva huyo na kumrejesha Tz ili atoe ushahidi.
Hiyo hatakuwa hiari tena! Nasema aje mwenyewe asaidie, kwa mapenzi yake siyo interpol kuhusika. Kwani yeye haoni kuwa ni muhimu katika upelelezi huu. Akija, na Lissu akatoa ushirikiano, basi tutabaki tunalaumu polisi kwamba hawafanyi kazi au Walihusika! Hawa watu wawili walikuwepo wanapaswa waisaidie polisi iwasaidie.
 
Kwahiyo we unatakaje?

Alafu tabia ya kipumbavu ya kusema sisi watanzania tuliumia sana unakosea ina manisha umenijumuisha na mimi.Ukwel ni kuwa sikuumia kabisa angekufa tu.Jiseme nafsi yako.


Anawasemea wale wote walioguswa na kuumizwa na kadhia hiyo ya kinyama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…