IGP mtimue au mfute kazi RPC wa Dodoma ikikupendeza

Sasa kwanini mkuu wa wilaya ya Ubungo alikamata akina dada poa wengi huko Riverside kwa nia ya kuwashitaki kama ukahaba sio kosa?


Kwa hiyo kahaba akishambuliwa na watu sio kosa kisheria, kijamii, kitamaduni na kimaadili?

Kwa hiyo kahaba sio binadamu na anastahiliadhabu ya kutweza utu wake?

Polisi wa Tanzania wa uelewa finyu sana wa mambo
 
Ukitaka kujua ubovu wa poliCCM angalia hii footage ya Mo Dewji ile siku kapatikana na jinsi poliCCM walivyostage igizo la yeye kuishukuru serikali na wao huku wakilazimisha apeane nao mikono ila angalia body language utagundua kitu.
 
We mtu ni lofa sana...
 
Inawezekana akawa yeye ndio muhusika mkuu wa hilo tukio, wawabane wale vijana wamtaje boss wao
 
Mimi ni aina ya watu Kama JPM sija angalia video Ila nimekua msomaji na mfuatiliaji wa hii saga kupitia JF na pia redion wasafi media

Kwenye jamii Kuna dada zetu Malaya na kwa ridhaa zao wanaamua kukubali kufanyiwa hivyo vitendo unakuta mtu (Malaya) kashindikana tabia za ajab kabisa alaf wakifanyiwa wanakimbilia haki za binadamu sijui katiba (malalamiko mengi)

All in all,
Kama kweli dada kaonewa Basi haki itendeke, sio TU kutendeka ionekane inatendeka

Ona Sasa afande anaingia matatizoni inamaana kabla afande Mallya i hajafanya public speaking 🗣️ huwa hafanyi meeting na wataalan wake kujua ni Nini akazungumze kwa umma na Nini si Cha kuzungumza kwa UMMA (public speaking)
 
Kosa la RPC ni kusema "alikuwa kahaba"? Kwani makahaba hawabakwi?
Kwa kuzingatia uzito wa jambo lenyewe unahis kulikuwa na umuhimu wa RPC kutamka kwamba huyo binti alikuwa kahaba? Unawezaje kuthibitisha ukahaba wa huyo binti? Tu assume dada yako ndio kahaba kupigwa mtungo sio kosa je kusambaza video yake pia sio kosa?
 
Mteja katika upora wako. Nimependa namna ulivyoguswa
Wewe kubwa jinga, rekebisha kauli yako kwani wengine humu siyo watoto wa 2000 Kama wewe! Punguza ufala kwenye hoja kubwa Kama hii inayogusa maisha na utu wa binadamu wengine! Au wewe ni RPC uliyehamishwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…