IGP mtimue au mfute kazi RPC wa Dodoma ikikupendeza

IGP mtimue au mfute kazi RPC wa Dodoma ikikupendeza

Nitazibeba moyoni....

1) Binadamu wote ni sawa

2)Kila mtu ANASTAHILI HESHIMA YA KUTAMBULIWA NA KUTHAMINIWA UTU WAKE


Ewe Mwenyezi Mungu mlaze mahali pema peponi mwenye heri wa taifa letu hayati Julius K.Nyererere ,aaamin aaamin[emoji7]

#JMT milele dumu
 
watz acheni ujinga hata namna ya kuelewa vitu kauli inasema alikuwa ni kahaba na haijasema ukimbaka kahaba sio kosa!,swala ni kwamba ametaja wasifu wa huyo mmbakwaji kama ambavyo walivyotajwa wale maasikari!.. nafikiri watu mnahitaji uyakinifu namna yakuchambua habari pia waandishi ktk maelezo huchukua maelezo yanayovutia zaidi nakuyaweka kama kichwa cha habari ili iwavute watu!.. mbona mnakuwa na fikra pungufu hivi...?
mnachotakiwa kuhoji ni ukahaba wa huyo dada na kama kweli ni kahaba basi nae anatakiwa kuchukuliwa hatua kama zipo sheria zinazokataa ukahaba kwenye jamii yetu!.
Namimi nawashngaa Sana?? Kwahyo kama dogo NI Malay* anajiuza asiseme?
 
watz acheni ujinga hata namna ya kuelewa vitu kauli inasema alikuwa ni kahaba na haijasema ukimbaka kahaba sio kosa!,swala ni kwamba ametaja wasifu wa huyo mmbakwaji kama ambavyo walivyotajwa wale maasikari!.. nafikiri watu mnahitaji uyakinifu namna yakuchambua habari pia waandishi ktk maelezo huchukua maelezo yanayovutia zaidi nakuyaweka kama kichwa cha habari ili iwavute watu!.. mbona mnakuwa na fikra pungufu hivi...?
mnachotakiwa kuhoji ni ukahaba wa huyo dada na kama kweli ni kahaba basi nae anatakiwa kuchukuliwa hatua kama zipo sheria zinazokataa ukahaba kwenye jamii yetu!.
Wewe lazima unatoka familia yenye fikra duni sana. Hiyo mindset tu inaonesha jinsi ulivyo mkuda. Kubakwa au kuchangiwa kwa mwanamke mmoja ni "incest" hata kimila, sasa mwanamke kubakwa hadi kuzirai ni incest na vile vile ni jinai, na ukosefu kwa human rights kwa mwanamke. Yaani hiyo nchi inayo-condone hilo ni nchi ambayo duniani haipo labda Tanzania tu. Kama kama huyu jamaa hafukuzwi kazi within 24 hrs basi hiyo ndiyo inaonyesha mindset ya watawala.
 
Nimesoma taarifa ya RPC wa Dodoma juu ya sakata la unyanyasaji wa kingono aliofanyiwa Binti moja ambaye taarifa zake zilisambaa na kujadiliwa Sana mitandaoni na kwenye vyombo vingi vya habari.

Taarifa yake imekosa weledi wa kitaalamu na imekaa Kama ya kumlinda mhusika mkuu wa tukio lile. Afande RPC ni mwanamke kwa jinsi yake na ameshindwa kumtetea mwanamke mwenzake angalau kupata haki zake. Hii ni aibu na imepangwa na aliyepanga kaacha matundu mengi ya kulichafua Jeshi la polisi.

Kwa maana nyingine polisi Tena wenye madaraka na vyeo wanaharakisha kulichafua jeshi la polisi hivyo IGP chukua hatua na kwa kuanzia mtumbue huyu RPC wa DODOMA.
Naafiki
 
Huyo Polisi katoa tafsiri ya kisheria na neno "kahaba" what qualifies somebody kuwa kahaba? Tunajua wanajeshi wanapata mafunzo na kula kiapo ndio wanaitwa wanajeshi. Ili haki itendeke na kubalance atafisiri nini maana ya kahaba na kaprove vipi na kwa nini mke wake au mama yake au mwanamke mwingine yoyote sio kahaba kwa muktadha huo. Kuna cheti? Who determines this?
 
Sasa ujamaa na Polisi wa nini? Wema wapo wachache sana tena wanafanyakazi za kitaaluma jeshini na wala hawavai migwanda yao yenye laana.
Kazi ya laana hiyo toka zamani.
Hata Biblia inasema👇👇👇

Luka 3
14 Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtoshewe na mshahara wenu.
 
Taarifa yake imekosa weledi wa kitaalamu na imekaa Kama ya kumlinda mhusika mkuu wa tukio lile. Afande RPC ni mwanamke kwa jinsi yake na ameshindwa kumtetea mwanamke mwenzake angalau kupata haki zake. Hii ni aibu na imepangwa na aliyepanga kaacha matundu mengi ya kulichafua Jeshi la polisi.
Sijui kama binti wa Yombo angekuwa mwanaye RPC au ndugu yake au mtoto wa boss wake je angezungumza namna hiyo
 
Nimesoma taarifa ya RPC wa Dodoma juu ya sakata la unyanyasaji wa kingono aliofanyiwa Binti moja ambaye taarifa zake zilisambaa na kujadiliwa Sana mitandaoni na kwenye vyombo vingi vya habari.

Taarifa yake imekosa weledi wa kitaalamu na imekaa Kama ya kumlinda mhusika mkuu wa tukio lile. Afande RPC ni mwanamke kwa jinsi yake na ameshindwa kumtetea mwanamke mwenzake angalau kupata haki zake. Hii ni aibu na imepangwa na aliyepanga kaacha matundu mengi ya kulichafua Jeshi la polisi.

Kwa maana nyingine polisi Tena wenye madaraka na vyeo wanaharakisha kulichafua jeshi la polisi hivyo IGP chukua hatua na kwa kuanzia mtumbue huyu RPC wa DODOMA.
Anastahili kuwa nje ya ofisi kabisa
 
Nimesoma taarifa ya RPC wa Dodoma juu ya sakata la unyanyasaji wa kingono aliofanyiwa Binti moja ambaye taarifa zake zilisambaa na kujadiliwa Sana mitandaoni na kwenye vyombo vingi vya habari.

Taarifa yake imekosa weledi wa kitaalamu na imekaa Kama ya kumlinda mhusika mkuu wa tukio lile. Afande RPC ni mwanamke kwa jinsi yake na ameshindwa kumtetea mwanamke mwenzake angalau kupata haki zake. Hii ni aibu na imepangwa na aliyepanga kaacha matundu mengi ya kulichafua Jeshi la polisi.

Kwa maana nyingine polisi Tena wenye madaraka na vyeo wanaharakisha kulichafua jeshi la polisi hivyo IGP chukua hatua na kwa kuanzia mtumbue huyu RPC wa DODOMA.
Iko wapi hiyo taarifa?
 
watz acheni ujinga hata namna ya kuelewa vitu kauli inasema alikuwa ni kahaba na haijasema ukimbaka kahaba sio kosa!,swala ni kwamba ametaja wasifu wa huyo mmbakwaji kama ambavyo walivyotajwa wale maasikari!.. nafikiri watu mnahitaji uyakinifu namna yakuchambua habari pia waandishi ktk maelezo huchukua maelezo yanayovutia zaidi nakuyaweka kama kichwa cha habari ili iwavute watu!.. mbona mnakuwa na fikra pungufu hivi...?
mnachotakiwa kuhoji ni ukahaba wa huyo dada na kama kweli ni kahaba basi nae anatakiwa kuchukuliwa hatua kama zipo sheria zinazokataa ukahaba kwenye jamii yetu!.
Kahaba hana haki ya kulindwa?
Wavuta bhangi wanaruhusiwa kubaka?.
Yeye ana mamlaka ya kutoa hukumu ya kesi au kufanya upelelezi?
 
watz acheni ujinga hata namna ya kuelewa vitu kauli inasema alikuwa ni kahaba na haijasema ukimbaka kahaba sio kosa!,swala ni kwamba ametaja wasifu wa huyo mmbakwaji kama ambavyo walivyotajwa wale maasikari!.. nafikiri watu mnahitaji uyakinifu namna yakuchambua habari pia waandishi ktk maelezo huchukua maelezo yanayovutia zaidi nakuyaweka kama kichwa cha habari ili iwavute watu!.. mbona mnakuwa na fikra pungufu hivi...?
mnachotakiwa kuhoji ni ukahaba wa huyo dada na kama kweli ni kahaba basi nae anatakiwa kuchukuliwa hatua kama zipo sheria zinazokataa ukahaba kwenye jamii yetu!.
Tueleze ukahaba wake umesaidia nini kwenye upelelezi!?
 
Back
Top Bottom