IGP mtimue au mfute kazi RPC wa Dodoma ikikupendeza

IGP mtimue au mfute kazi RPC wa Dodoma ikikupendeza

watz acheni ujinga hata namna ya kuelewa vitu kauli inasema alikuwa ni kahaba na haijasema ukimbaka kahaba sio kosa!,swala ni kwamba ametaja wasifu wa huyo mmbakwaji kama ambavyo walivyotajwa wale maasikari!.. nafikiri watu mnahitaji uyakinifu namna yakuchambua habari pia waandishi ktk maelezo huchukua maelezo yanayovutia zaidi nakuyaweka kama kichwa cha habari ili iwavute watu!.. mbona mnakuwa na fikra pungufu hivi...?
mnachotakiwa kuhoji ni ukahaba wa huyo dada na kama kweli ni kahaba basi nae anatakiwa kuchukuliwa hatua kama zipo sheria zinazokataa ukahaba kwenye jamii yetu!.
Kabla hamja mchukulia kahaba hatua jiulizeni kwanini anajiuza na mmefanya jitihada gani kumsaidia ili aweze kuacha
 
watz acheni ujinga hata namna ya kuelewa vitu kauli inasema alikuwa ni kahaba na haijasema ukimbaka kahaba sio kosa!,swala ni kwamba ametaja wasifu wa huyo mmbakwaji kama ambavyo walivyotajwa wale maasikari!.. nafikiri watu mnahitaji uyakinifu namna yakuchambua habari pia waandishi ktk maelezo huchukua maelezo yanayovutia zaidi nakuyaweka kama kichwa cha habari ili iwavute watu!.. mbona mnakuwa na fikra pungufu hivi...?
mnachotakiwa kuhoji ni ukahaba wa huyo dada na kama kweli ni kahaba basi nae anatakiwa kuchukuliwa hatua kama zipo sheria zinazokataa ukahaba kwenye jamii yetu!.
Kabla hamja mchukulia kahaba hatua jiulizeni kwanini anajiuza mmefanya jitihada gani kumsaidia ili aweze kuacha
 
Nimesoma taarifa ya RPC wa Dodoma juu ya sakata la unyanyasaji wa kingono aliofanyiwa Binti moja ambaye taarifa zake zilisambaa na kujadiliwa Sana mitandaoni na kwenye vyombo vingi vya habari.

Taarifa yake imekosa weledi wa kitaalamu na imekaa Kama ya kumlinda mhusika mkuu wa tukio lile. Afande RPC ni mwanamke kwa jinsi yake na ameshindwa kumtetea mwanamke mwenzake angalau kupata haki zake. Hii ni aibu na imepangwa na aliyepanga kaacha matundu mengi ya kulichafua Jeshi la polisi.

Kwa maana nyingine polisi Tena wenye madaraka na vyeo wanaharakisha kulichafua jeshi la polisi hivyo IGP chukua hatua na kwa kuanzia mtumbue huyu RPC wa DODOMA.
Rais ni Mwanamke na RPC ni Mwanamke na aliyefanyiwa ukatili ni Mwanamke!!!
Kumbe ni kweli wanawake hawapendani
 
Nimesoma taarifa ya RPC wa Dodoma juu ya sakata la unyanyasaji wa kingono aliofanyiwa Binti moja ambaye taarifa zake zilisambaa na kujadiliwa Sana mitandaoni na kwenye vyombo vingi vya habari.

Taarifa yake imekosa weledi wa kitaalamu na imekaa Kama ya kumlinda mhusika mkuu wa tukio lile. Afande RPC ni mwanamke kwa jinsi yake na ameshindwa kumtetea mwanamke mwenzake angalau kupata haki zake. Hii ni aibu na imepangwa na aliyepanga kaacha matundu mengi ya kulichafua Jeshi la polisi.

Kwa maana nyingine polisi Tena wenye madaraka na vyeo wanaharakisha kulichafua jeshi la polisi hivyo IGP chukua hatua na kwa kuanzia mtumbue huyu RPC wa DODOMA.
Kumbuka Rais wa nchi pia ni mwanamke na Toka hili tukio litokee hajawahi kutoa neno unapata picha Gani?
 
 
watz acheni ujinga hata namna ya kuelewa vitu kauli inasema alikuwa ni kahaba na haijasema ukimbaka kahaba sio kosa!,swala ni kwamba ametaja wasifu wa huyo mmbakwaji kama ambavyo walivyotajwa wale maasikari!.. nafikiri watu mnahitaji uyakinifu namna yakuchambua habari pia waandishi ktk maelezo huchukua maelezo yanayovutia zaidi nakuyaweka kama kichwa cha habari ili iwavute watu!.. mbona mnakuwa na fikra pungufu hivi...?
mnachotakiwa kuhoji ni ukahaba wa huyo dada na kama kweli ni kahaba basi nae anatakiwa kuchukuliwa hatua kama zipo sheria zinazokataa ukahaba kwenye jamii yetu!.
Uelewa wako mdogo pole kijana, issue ya ukahaba inaingiaje hapo? Huoni kwamba wanatengeneza mazingira ya kumnusuru afande aliyeagiza hicho kitendo kifanyike? Na kwa kusema kwamba alikuwa kahaba kitu ambacho hakihusiani na dhana nzima ya tukio huoni kwamba ni kumdhalilisha binti? Mm ningekuwa mwanafamilia wa huyo binti huyu Rpc ningempeleka mahakamani athibitishhe huo ukahaba.
 
Aisee.....si mchezo
Kwa hiyo mvuta bangi akibaka na kufira mtu ni sawa?..
Kwa maana hiyo mtu akiwa kahaba kama kweli ni kahaba kufanywa vile ni haki yake au sio..?..
Hivi huyu jamaa anajua impact ya kauli hizi kwa huyu dada na familia yake na Taifa kwa ujumla?...
Level ya RPC.....
 
watz acheni ujinga hata namna ya kuelewa vitu kauli inasema alikuwa ni kahaba na haijasema ukimbaka kahaba sio kosa!,swala ni kwamba ametaja wasifu wa huyo mmbakwaji kama ambavyo walivyotajwa wale maasikari!.. nafikiri watu mnahitaji uyakinifu namna yakuchambua habari pia waandishi ktk maelezo huchukua maelezo yanayovutia zaidi nakuyaweka kama kichwa cha habari ili iwavute watu!.. mbona mnakuwa na fikra pungufu hivi...?
mnachotakiwa kuhoji ni ukahaba wa huyo dada na kama kweli ni kahaba basi nae anatakiwa kuchukuliwa hatua kama zipo sheria zinazokataa ukahaba kwenye jamii yetu!.
Wasifu wa hao vijana wameutaja wamesema sio maaskari bali ni wavuta bangi
 
Kati ya hao walifanya huo uchunguzi na yeye ni mmoja wa viongozi ktk hiyo timu bado huoni kosa lake?

Kwa suala kama ilo lilivyotrand na kuchafua taasisi nzima ya jeshi la polisi unazan uyo mama atakua na maamuzi ya kupinga mbele ya boss zake?
 
Daah!😔 kuna yule jamaa huwa akiandika kuwa "KUZALIWA AFRICA NI LAANA", kama pepo ipo kweli basi sisi inabidi tuzame bila pingamizi.

Kwanza unawezaje kuthibitisha kwamba mtu ni kahaba?
 
Back
Top Bottom