watz acheni ujinga hata namna ya kuelewa vitu kauli inasema alikuwa ni kahaba na haijasema ukimbaka kahaba sio kosa!,swala ni kwamba ametaja wasifu wa huyo mmbakwaji kama ambavyo walivyotajwa wale maasikari!.. nafikiri watu mnahitaji uyakinifu namna yakuchambua habari pia waandishi ktk maelezo huchukua maelezo yanayovutia zaidi nakuyaweka kama kichwa cha habari ili iwavute watu!.. mbona mnakuwa na fikra pungufu hivi...?
mnachotakiwa kuhoji ni ukahaba wa huyo dada na kama kweli ni kahaba basi nae anatakiwa kuchukuliwa hatua kama zipo sheria zinazokataa ukahaba kwenye jamii yetu!.