IGP, si sahihi kufunga barabara masaa 3 ili Makonda ahutubie barabarani

IGP, si sahihi kufunga barabara masaa 3 ili Makonda ahutubie barabarani

dubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
3,502
Reaction score
3,483
Salaam,

Ni kweli bila Polisi hakuna utii wa Sheria.

Ila Kitendo cha Polisi kujipendekeza kwa Wanasiasa ili wasifiwe au wapewe vyeo vya kisiasa ni kuwaonea wananchi.

Ni kweli Polisi wanapambania matumbo yao, ila hili la kuzuia wafanyabiasha na Wasafiri kuchelewa kufika kisa kiongozi wa kisiasa anahutubia si sahihi.

Muleba Mkoani Kagera, Polisi wamezuia Magari kwa Masaa matatu kusubiri Makonda ahutubie na kupita. Kuna Magari ya Mafuta, sumu, wagonjwa na wengine wanawahi Bukoba Airport. Eti wakapaki Magari katika ya barabara kama rais anavyofanya.

Tunaomba Polisi Msirudie tena. Tumeteseka.. Watu tumekesha ndani ya basi halafu unazuiliwa kupita ukapumzike kisa mwanasiasa wa chama.

Uchumi utakua vipi jamani? Tupendane. Siasa zifanyike kwa ustaarabu bula kuharibiana ratiba. Si wote wanafuatilia Siasa.
 
FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Salaam,

Ni kweli bila Polisi hakuna utii wa Sheria.

Ila Kitendo cha Polisi kujipendekeza kwa Wanasiasa ili wasifiwe au wapewe vyeo vya kisiasa ni kuwaonea wananchi.

Ni kweli Polisi wanapambania matumbo yao, ila hili la kuzuia wafanyabiasha na Wasafiri kuchelewa kufika kisa kiongozi wa kisiasa anahutubia si sahihi.

Muleba Mkoani Kagera, Polisi wamezuia Magari kwa Masaa matatu kusubiri Makonda ahutubie na kupita. Kuna Magari ya Mafuta, sumu, wagonjwa na wengine wanawahi Bukoba Airport. Eti wakapaki Magari katika ya barabara kama rais anavyofanya.

Tunaomba Polisi Msirudie tena. Tumeteseka.. Watu tumekesha ndani ya basi halafu unazuiliwa kupita ukapumzike kisa mwanasiasa wa chama.

Uchumi utakua vipi jamani? Tupendane. Siasa zifanyike kwa ustaarabu bula kuharibiana ratiba. Si wote wanafuatilia Siasa.
View attachment 2810974
Watanzania sijui shida yetu nini?! CCM ndio matatizo ya mtanzania lakini bado watu wanaishabikia!
 
Salaam,

Ni kweli bila Polisi hakuna utii wa Sheria.

Ila Kitendo cha Polisi kujipendekeza kwa Wanasiasa ili wasifiwe au wapewe vyeo vya kisiasa ni kuwaonea wananchi.

Ni kweli Polisi wanapambania matumbo yao, ila hili la kuzuia wafanyabiasha na Wasafiri kuchelewa kufika kisa kiongozi wa kisiasa anahutubia si sahihi.

Muleba Mkoani Kagera, Polisi wamezuia Magari kwa Masaa matatu kusubiri Makonda ahutubie na kupita. Kuna Magari ya Mafuta, sumu, wagonjwa na wengine wanawahi Bukoba Airport. Eti wakapaki Magari katika ya barabara kama rais anavyofanya.

Tunaomba Polisi Msirudie tena. Tumeteseka.. Watu tumekesha ndani ya basi halafu unazuiliwa kupita ukapumzike kisa mwanasiasa wa chama.

Uchumi utakua vipi jamani? Tupendane. Siasa zifanyike kwa ustaarabu bula kuharibiana ratiba. Si wote wanafuatilia Siasa.
View attachment 2810974
Huu ni uongo wa wazi nilikuwepo mkutanoni,hakuna barabara iliyofungwa

Hivi uzushi unawafaidishaje?

Mkutano wake ulikuwa live pale nyankumbu na magari yaliyopita na shughuli zingine ziliendelea kama kawaida


DANGANYA WATU WA MBALI,SIO SISI TULIOKUWEPO MKUTANONI
 
Ni aibu kwa chama kilicho tawala nchi kwa miaka takribani 50+ na ushehe kuwa na kitengo cha kueneza siasa kama vile ni chama kichanga...

Kama CCM ingekuwa inafanya vitu vinaonekana, hiyo tosha ingekuwa ndio uenezi wa sera za chama kwa wananchi...
 
Salaam,

Ni kweli bila Polisi hakuna utii wa Sheria.

Ila Kitendo cha Polisi kujipendekeza kwa Wanasiasa ili wasifiwe au wapewe vyeo vya kisiasa ni kuwaonea wananchi.

Ni kweli Polisi wanapambania matumbo yao, ila hili la kuzuia wafanyabiasha na Wasafiri kuchelewa kufika kisa kiongozi wa kisiasa anahutubia si sahihi.

Muleba Mkoani Kagera, Polisi wamezuia Magari kwa Masaa matatu kusubiri Makonda ahutubie na kupita. Kuna Magari ya Mafuta, sumu, wagonjwa na wengine wanawahi Bukoba Airport. Eti wakapaki Magari katika ya barabara kama rais anavyofanya.

Tunaomba Polisi Msirudie tena. Tumeteseka.. Watu tumekesha ndani ya basi halafu unazuiliwa kupita ukapumzike kisa mwanasiasa wa chama.

Uchumi utakua vipi jamani? Tupendane. Siasa zifanyike kwa ustaarabu bula kuharibiana ratiba. Si wote wanafuatilia Siasa.
View attachment 2810974
Ndio siasa za chama dola hizo.
 
Back
Top Bottom