IGP, si sahihi kufunga barabara masaa 3 ili Makonda ahutubie barabarani

IGP, si sahihi kufunga barabara masaa 3 ili Makonda ahutubie barabarani

Salaam,

Ni kweli bila Polisi hakuna utii wa Sheria.

Ila Kitendo cha Polisi kujipendekeza kwa Wanasiasa ili wasifiwe au wapewe vyeo vya kisiasa ni kuwaonea wananchi.

Ni kweli Polisi wanapambania matumbo yao, ila hili la kuzuia wafanyabiasha na Wasafiri kuchelewa kufika kisa kiongozi wa kisiasa anahutubia si sahihi.

Muleba Mkoani Kagera, Polisi wamezuia Magari kwa Masaa matatu kusubiri Makonda ahutubie na kupita. Kuna Magari ya Mafuta, sumu, wagonjwa na wengine wanawahi Bukoba Airport. Eti wakapaki Magari katika ya barabara kama rais anavyofanya.

Tunaomba Polisi Msirudie tena. Tumeteseka.. Watu tumekesha ndani ya basi halafu unazuiliwa kupita ukapumzike kisa mwanasiasa wa chama.

Uchumi utakua vipi jamani? Tupendane. Siasa zifanyike kwa ustaarabu bula kuharibiana ratiba. Si wote wanafuatilia Siasa.
View attachment 2810974
CCM ni vilema wa akili ambao wanahitaji kusaidiwa kila kitu hadi kufikiria.
 
Watanzania sijui shida yetu nini?! CCM ndio matatizo ya mtanzania lakini bado watu wanaishabikia!
Shida ni fikra zetu hata huko kuona kuwa matatizo yetu ni ccm ni katika shida ya hizo fikra zetu.
 
Watanzania sijui shida yetu nini?! CCM ndio matatizo ya mtanzania lakini bado watu wanaishabikia!
Shida ni fikra zetu hata hiyo ccm ni moja ya athari ya shida katika fikra zetu.
 
Salaam,

Ni kweli bila Polisi hakuna utii wa Sheria.

Ila Kitendo cha Polisi kujipendekeza kwa Wanasiasa ili wasifiwe au wapewe vyeo vya kisiasa ni kuwaonea wananchi.

Ni kweli Polisi wanapambania matumbo yao, ila hili la kuzuia wafanyabiasha na Wasafiri kuchelewa kufika kisa kiongozi wa kisiasa anahutubia si sahihi.

Muleba Mkoani Kagera, Polisi wamezuia Magari kwa Masaa matatu kusubiri Makonda ahutubie na kupita. Kuna Magari ya Mafuta, sumu, wagonjwa na wengine wanawahi Bukoba Airport. Eti wakapaki Magari katika ya barabara kama rais anavyofanya.

Tunaomba Polisi Msirudie tena. Tumeteseka.. Watu tumekesha ndani ya basi halafu unazuiliwa kupita ukapumzike kisa mwanasiasa wa chama.

Uchumi utakua vipi jamani? Tupendane. Siasa zifanyike kwa ustaarabu bula kuharibiana ratiba. Si wote wanafuatilia Siasa.
View attachment 2810974

Aisee hii ndo Tanzania!upuuzi ni mwingi sana.hata huyo anaehutubia anajua kafanya upuuzi
 
Ndio gharama ya kuongozwa na mazuzu, mnachukua matakataka mnayapa ofisi, lazima mjute
 
Salaam,

Ni kweli bila Polisi hakuna utii wa Sheria.

Ila Kitendo cha Polisi kujipendekeza kwa Wanasiasa ili wasifiwe au wapewe vyeo vya kisiasa ni kuwaonea wananchi.

Ni kweli Polisi wanapambania matumbo yao, ila hili la kuzuia wafanyabiasha na Wasafiri kuchelewa kufika kisa kiongozi wa kisiasa anahutubia si sahihi.

Muleba Mkoani Kagera, Polisi wamezuia Magari kwa Masaa matatu kusubiri Makonda ahutubie na kupita. Kuna Magari ya Mafuta, sumu, wagonjwa na wengine wanawahi Bukoba Airport. Eti wakapaki Magari katika ya barabara kama rais anavyofanya.

Tunaomba Polisi Msirudie tena. Tumeteseka.. Watu tumekesha ndani ya basi halafu unazuiliwa kupita ukapumzike kisa mwanasiasa wa chama.

Uchumi utakua vipi jamani? Tupendane. Siasa zifanyike kwa ustaarabu bula kuharibiana ratiba. Si wote wanafuatilia Siasa.
View attachment 2810974
Walikosa hata uwanja wa mpira?
 
Makonda kawashika mahali pabaya chadema. Wanalalamika kila sehemu kwa maumivu wanayoyapata waliposhikwa. Na bado, watasema ......
 
Mlisema amefutwa ktk siasa,sasa katoka wapi tena.

Piga kazi Makonda wewe ni chaguo la Mungu
 
Back
Top Bottom