Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kila mtu na kada yake, sijaelewa kabisa hivyo vyeo vina maana gani hasa.Mi namshauri Afande IGP kuweka Ma RCO wa rank ya ACP maana kwa kweli ma RCO kuwa na rank sawa na MaOCS kwa kweli Dah! OCD kuwa SSP sawa ila SSP kuwa RCO dah!
Tunafanana mkuuKweli kila mtu na kada yake, sijaelewa kabisa hivyo vyeo vina maana gani hasa.
Unachosema kina mantiki sana. RCO ni mtu kubwa sana, sema muundo wa kipolisi umekaa vibaya. RCO ilibidi wawe nje ya kabisa ya Polisi ila cha ajabu RCO yupo chini ya RPC kiutawala. Na hapo ndio kunakosekanaga uwaziMi namshauri Afande IGP kuweka Ma RCO wa rank ya ACP maana kwa kweli ma RCO kuwa na rank sawa na MaOCS kwa kweli Dah! OCD kuwa SSP sawa ila SSP kuwa RCO dah!
Mi namshauri Afande IGP kuweka Ma RCO wa rank ya ACP maana kwa kweli ma RCO kuwa na rank sawa na MaOCS kwa kweli Dah! OCD kuwa SSP sawa ila SSP kuwa RCO dah!
Mmhhh, embu fafanua aisee.Mi namshauri Afande IGP kuweka Ma RCO wa rank ya ACP maana kwa kweli ma RCO kuwa na rank sawa na MaOCS kwa kweli Dah! OCD kuwa SSP sawa ila SSP kuwa RCO dah!
Nami nilitaka niulizeRPC alietolewa Kilimanjaro hakuwepo enzi za ole sabaya?
Swali zuri sana hili mkuu. Ukijibiwa ni-tag.RPC alietolewa Kilimanjaro hakuwepo enzi za ole sabaya?
Wanapangwa kwa amri ya IGP.Mkuu wa kituo class A(kituo kikuu cha polisi mkoa) na class B(kituo cha polisi wilaya).Hivi wakuu wa vituo wanapangwa na nani?
RPC ni cheo ki tawala zaidi, ila engine ni RCO.Mmhhh, embu fafanua aisee.
Maana hapa wametajwa RPC ambao ni ACP, sasa ubaya ukoje hapo?
Hizi ranks wengine zimetupita kushoto.
We hayo yote unayajuaje?Mkuu Kilwa94 nimeuliza hivyo ili nijue ni nani hasa anaepanga wa kuu wa vituo hivya chini ndani ya wilaya.
Kuna mkuu wa kituo cha Mtibwa ni mpemba "mla urojo" aliletwa kituo hiki akitokea Zanzibar. Alibadilishana vituo na mkuu wa awali aitwae Zayumba.
Tunaomba mamlaka za uteuzi na wanaopanga wakifumue kituo cha mtibwa.
Pale kuna polisi wawili Baraka na Dulla waondolewe haraka sana ndo wamemshika mkuu kwa hela ya rushwa.
Pale kituoni kwa wk wachukua rushwa hata zaidi ya mil30! Imagine hizo hela zinatoka kwa wakulima watu kipato cha chini.
Itakuwa kuna changamoto sana si unajua mamangi mishe kibao 😃😃 usipofanya mabadiliko ya kila Mara utakuta wameshamuweka OCD mfukoni anaruhusu magendo fulu😃Kilimanjaro kila siku mabadiliko
Na hii mipaka full ulajiItakuwa kuna changamoto sana si unajua mamangi mishe kibao 😃😃 usipofanya mabadiliko ya kila Mara utakuta wameshamuweka OCD mfukoni anaruhusu magendo fulu😃
Kwwani mkuu maOCS wana rank gani kwa mujibu wa uzoefu wako hasa hapo dares salaamMi namshauri Afande IGP kuweka Ma RCO wa rank ya ACP maana kwa kweli ma RCO kuwa na rank sawa na MaOCS kwa kweli Dah! OCD kuwa SSP sawa ila SSP kuwa RCO dah!
Ndio maana yake, huko mtu hakai mwaka unamuhamisha fasta otherwise utakuja kusikia amefunga kituo nae ameingia kwenye dili maana zinalipa zaidi kushinda mshahara wake na wakulungwa wanamtumia awalinde wakipitisha Mali zao 😃Na hii mipaka full ulaji