Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Nimetoka kapa mazima...Mi namshauri Afande IGP kuweka Ma RCO wa rank ya ACP maana kwa kweli ma RCO kuwa na rank sawa na MaOCS kwa kweli Dah! OCD kuwa SSP sawa ila SSP kuwa RCO dah!
Ama kweli kila mtu na taaluma yake....