IGP Simon Sirro afanya mabadiliko madogo kwa Makamanda wa Polisi

IGP Simon Sirro afanya mabadiliko madogo kwa Makamanda wa Polisi

Nipe darasa kidogo kuhusu RCO na RTO... nani bosi? Je RTO anaweza kuwa RCO and vice versa?

Bosi wa usalama barabarani Tanzania anapopelekwa kuwa RPC Morogoro.. inakuwa demotion au promotion?
Haya ndio yaleyale tu ya chain of command. Bahati mbaya unakuta hivi vikosi vyote wakubwa wake wanalazimika kuwa chini ya RPC sababu yeye ndio Kamanda wa mkoa.

RTO anaweza kuwa RCO hata akawa RPC inategemea upepo umemkalia vipi. Hapa sasa ndio masuala ya ranks za kipolisi yanakuja, kama ana rank ya kuwa hapo.

Bahati mbaya ndio hiyo kwamba RTO unakuta cheo chake ni kidogo kwa RPC hapo ndio lazima boss amuwakie. Hata kama wapo cheo kimoja Ila ofisi ya RTO na RCO ipo chini ya RPC so bado bosi wa mkoa ni RPC.
 
Mwanza kulishakuwa na RTO anayelingana cheo na RPC, wote maACP huku RCO akiwa SSP. Na baadae nadhani hadi sasa kukawa na RTO mwenye cheo cha ASP huku maDTO wa nyamagana na ilemela nao wakiwa na cheo hicho hicho cha ASP.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Ni sawa tu, lakini boss wa mkoa kwa vikosi vya kipolisi ni RPC hata awe zimamoto
 
Mkuu utakua unapenda madaraka sana eti kutakua hakuna wa kumbabaisha mwenzake ila mi mbona naona polisi wanafanya kazi kwa ushirikiano sana yani coplo anakua anampigia simu Rpc na wanafanyakazi fresh tu kazi ili iende haiitaji mabavu bali weredi na kuheshimiana alafu kijeshi mnaweza kuwa cheo sawa ila mwenye namba ya juu ni bosi wako so kila ukiona askali wawili ujue mmoja ni mkubwa
Hujanielewa umesoma halafu hukutaka kuelewa maana yangu anyway sawa boss umekuja kutafuta umaarufu kwa kunisagia kunguni kwa yote ya maana niliyoandika. Umechukua neno moja ukajisokotesha ufahamu wakati ulipaswa kusoma sentensi nzima bila kuacha neno.
 
Aache usumbufu bana mabadiliko ya nini
Ajibadilishe yeye kwanza Ivyo tu
 
Unadhani rank ina uhusiano na weledi wa askari au una sababu gani ya kupendekeza hivi?
RCO unaongoza upelelezi mkoa mzima sasa unapokuwa rank moja na OCS inakuwa inashusha heshima NB:Maoni yangu

MaIGP waliopita walikuwa RCO wanaweka ACP sio SSP kama ilivyo kwa Afande IGP aliyepo
 
RCO unaongoza upelelezi mkoa mzima sasa unapokuwa rank moja na OCS inakuwa inashusha heshima NB:Maoni yangu

MaIGP waliopita walikuwa RCO wanaweka ACP sio SSP kama ilivyo kwa Afande IGP aliyepo
Huyu unayemuelewesha sidhani hata kama anataka kuelewa kuhusu ranks na majukumu kwenye majeshi. Haya mambo ni very complicated.

Kuongozwa na Junior officer sio tatizo ila namba za kijeshi Zina maana yake sana na hii ndio ilimshinda Gen. Waitara kwa maana alijikuta anampigia saluti JK alikuwa kanali na akiingia jeshini alimkuta na akaondoka akamuachia
 
Kwa hiyo unataka RPC's na RCO's wawe na rank sawa?

Huyu unayemuelewesha sidhani hata kama anataka kuelewa kuhusu ranks na majukumu kwenye majeshi. Haya mambo ni very complicated.

Kuongozwa na Junior officer sio tatizo ila namba za kijeshi Zina maana yake sana na hii ndio ilimshinda Gen. Waitara kwa maana alijikuta anampigia saluti JK alikuwa kanali na akiingia jeshini alimkuta na akaondoka akamuachia

Exactly

Kuna desturi ya kijeshi kuwa junior anapopanda cheo zaidi ya senior senior inatakiwa astaafu

Waitara alikuwa sahihi japo sina na uhakika na zile fununu kuwa alikataa kuongezewa muda
 
Exactly

Kuna desturi ya kijeshi kuwa junior anapopanda cheo zaidi ya senior senior inatakiwa astaafu

Waitara alikuwa sahihi japo sina na uhakika na zile fununu kuwa alikataa kuongezewa muda
Alikataa zake hakutaka hatavkuongeza siku moja ofisini na akikaa zake kimya mpaka Magu alipokuja kumteua kama Mwenyekiti wa bodi ya TANAPA nadhani.

Unajua kijeshi hata kuziwa namba tayari inatengeneza gap ya mmoja kuwa senior na mwingine junior sasa hii ya kuwapa madaraka askari ambao vyeo vinafanana wawaongoze wengine haifai.

Wakati mwingine unakuta mpo cheo kimoja lakini mmoja ni senior sababu alipanda kabla ya mwingine lakini unakuta junior ndio anapewa kuongoza hili pia ilikuwa Vita sana na ipo sana kwenye majeshi.

Ni sawa unakutana na Kanali hajapigana vita ya maana zaidi ya shule tu huyo hawezi kuheshimika kwa yule ambaye ni mzee wa battle sema hii madharau ipo sana tu wanakaushiana tu 😃
 
Exactly

Kuna desturi ya kijeshi kuwa junior anapopanda cheo zaidi ya senior senior inatakiwa astaafu

Waitara alikuwa sahihi japo sina na uhakika na zile fununu kuwa alikataa kuongezewa muda
Huko mikoani weka viongozi ambao ni senior kwa wenzao ili akitoa amri hairusiwi Mara mbili watu wanatafutaga kama kuku Ila ukiweka wanaofanana vyeo wataanza kuangalia nani aliapishwa kabla ya mwenzake na hii ndio shida.

Maofisa wanaheshimiana pale makao makuu pekee sababu anayevaa kofia ni IGP pekee wengine wote walifika wanavua kofia ili kuondoa saluti kila wakati.
 
Unachosema kina mantiki sana. RCO ni mtu kubwa sana, sema muundo wa kipolisi umekaa vibaya. RCO ilibidi wawe nje ya kabisa ya Polisi ila cha ajabu RCO yupo chini ya RPC kiutawala. Na hapo ndio kunakosekanaga uwazi
Naunga mkono hoja. MaRCO wako chini ya DCI ambaye ni presidential appointment na mzigo mkubwa wa kazi za kipolisi ni kwenye makosa ya jinai hivyo sababu RCO kuwa chini ya RPC. Wawe kwenye level moja pamoja na rank.
 
Unachosema kina mantiki sana. RCO ni mtu kubwa sana, sema muundo wa kipolisi umekaa vibaya. RCO ilibidi wawe nje ya kabisa ya Polisi ila cha ajabu RCO yupo chini ya RPC kiutawala. Na hapo ndio kunakosekanaga uwazi
Mnatuchnganya wazee,tupeni basi kidogo kirefu cha hivyo vyeo na majukumu yao
 
Huko mikoani weka viongozi ambao ni senior kwa wenzao ili akitoa amri hairusiwi Mara mbili watu wanatafutaga kama kuku Ila ukiweka wanaofanana vyeo wataanza kuangalia nani aliapishwa kabla ya mwenzake na hii ndio shida.

Maofisa wanaheshimiana pale makao makuu pekee sababu anayevaa kofia ni IGP pekee wengine wote walifika wanavua kofia ili kuondoa saluti kila wakati.


Mi mwenyewe mbona kama cheo changu kidogo kama naingia headquarters kofia navua

Sasa we mtu cheo ni ACP post umepangwa Headquarters ambazo IGP yupo, ya nini kutembea na kofia ON?
 
Mi mwenyewe mbona kama cheo changu kidogo kama naingia headquarters kofia navua

Sasa we mtu cheo ni ACP post umepangwa Headquarters ambazo IGP yupo, ya nini kutembea na kofia ON?
Utaishia kupiga saluti siku nzima hakuna kazi utafanya 😃😃😃😃 na kama ndio officer utaishia kupokea saluti mpaka ukome.

Ndio maana waliona heri kuvua kofia unakauka tu kishkaji sanasana ikifika jioni ndio unavaa zako unasepa
 
Back
Top Bottom