IGP Simon Sirro afanya mabadiliko madogo kwa Makamanda wa Polisi

IGP Simon Sirro afanya mabadiliko madogo kwa Makamanda wa Polisi

Ukiona Mungu kachelewa kujibu maombi, unistue nikupe sapoti. Hii nchi yetu sote hakuna kuwaachia mazwazwa watuonee. Tumempata mkombozi mpya. Kitu cha wave 3
Support ipi iyo mkuu
 
Mi namshauri Afande IGP kuweka Ma RCO wa rank ya ACP maana kwa kweli ma RCO kuwa na rank sawa na MaOCS kwa kweli Dah! OCD kuwa SSP sawa ila SSP kuwa RCO dah!
Unadhani rank ina uhusiano na weledi wa askari au una sababu gani ya kupendekeza hivi?
 
Afande Jenerali nakupongeza kwenye mabadiliko ya Kamisheni ya operesheni na mafunzo itapendeza hata Kamishna wake ukambadilisha ili kuleta aina mpya ya utendaji was jeshi la Polisi inayohubiriwa kwenye muongozo wa sasa wa jeshi lako. Asante.
 
Bora Leo watu wame amka nimakosa makubwa Sana RCO kuwa chini ya RPC coz uchafu unaofanya na ma NCOs Unakuta niamri halali ya RPC Sasa hapo RCO ataiandika ukweli ambao mahakama itamuwajibisha RPC ?
Ofisi ya RCO inshort ilitakiwa ijitegemee moja moja na ndio walitakiwa kama wawe hata na Boss wao ambae ni DCI.
 
Just Google hivyo vyeo vipo tu But RCO (Regional Crimes Officer) kimsingi angepaswa kuwa na cheo cha kipolisi (rank) ya Assistant Commissioner of Police (ACP) then RPC (Regional Commander) at least angekuwa na cheo cha SACP ( Senior Assistant Commissioner of Police).

SSP ni Senior Superintendent of Police anakuwa na lishilingi mabegani Hawa wanakuwaga OCD wa wilaya nyingi ambazo hazina changamoto ya kipolisi.

Sasa SSP ambaye anapewa kuongoza wilaya kama OCD (Officer Commander of District) kiukweli kuwa sawa na RCO ambaye hawana tofauti sana na RPC sema sababu ya Chain of Command inabidi RPC ndio awe na Rank kubwa ya Usenior kamishna huwezi kumfananisha kwa rank wawe sawa na OCD.

Kama ndio hivyo, je staff officer atakuwa na rank gani? Polisi wananyima vyeo sana bila sababu. Mtu anapewa mkoa mzima unamuacha awaongoze SSP wenzie heshima ya kijeshi including proper chain of command inatoka wapi?

Yani ni sawa na RPC awe rank moja na RCO au Staff officer [emoji1745] hapo hakuna wa kumbabaisha mwenzake.

Note: RPC, RCO, OCD, OCS hizi ni administrative posts ambazo zinaongozwa na police wenye rank mbalimbali za kupishana kulingana na majukumu na chain of command.
Mwanza kulishakuwa na RTO anayelingana cheo na RPC, wote maACP huku RCO akiwa SSP. Na baadae nadhani hadi sasa kukawa na RTO mwenye cheo cha ASP huku maDTO wa nyamagana na ilemela nao wakiwa na cheo hicho hicho cha ASP.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Just Google hivyo vyeo vipo tu But RCO (Regional Crimes Officer) kimsingi angepaswa kuwa na cheo cha kipolisi (rank) ya Assistant Commissioner of Police (ACP) then RPC (Regional Commander) at least angekuwa na cheo cha SACP ( Senior Assistant Commissioner of Police).

SSP ni Senior Superintendent of Police anakuwa na lishilingi mabegani Hawa wanakuwaga OCD wa wilaya nyingi ambazo hazina changamoto ya kipolisi.

Sasa SSP ambaye anapewa kuongoza wilaya kama OCD (Officer Commander of District) kiukweli kuwa sawa na RCO ambaye hawana tofauti sana na RPC sema sababu ya Chain of Command inabidi RPC ndio awe na Rank kubwa ya Usenior kamishna huwezi kumfananisha kwa rank wawe sawa na OCD.

Kama ndio hivyo, je staff officer atakuwa na rank gani? Polisi wananyima vyeo sana bila sababu. Mtu anapewa mkoa mzima unamuacha awaongoze SSP wenzie heshima ya kijeshi including proper chain of command inatoka wapi?

Yani ni sawa na RPC awe rank moja na RCO au Staff officer 🤷 hapo hakuna wa kumbabaisha mwenzake.

Note: RPC, RCO, OCD, OCS hizi ni administrative posts ambazo zinaongozwa na police wenye rank mbalimbali za kupishana kulingana na majukumu na chain of command.
Mkuu utakua unapenda madaraka sana eti kutakua hakuna wa kumbabaisha mwenzake ila mi mbona naona polisi wanafanya kazi kwa ushirikiano sana yani coplo anakua anampigia simu Rpc na wanafanyakazi fresh tu kazi ili iende haiitaji mabavu bali weredi na kuheshimiana alafu kijeshi mnaweza kuwa cheo sawa ila mwenye namba ya juu ni bosi wako so kila ukiona askali wawili ujue mmoja ni mkubwa
 
Mi namshauri Afande IGP kuweka Ma RCO wa rank ya ACP maana kwa kweli ma RCO kuwa na rank sawa na MaOCS kwa kweli Dah! OCD kuwa SSP sawa ila SSP kuwa RCO dah!
Kwa hiyo unataka RPC's na RCO's wawe na rank sawa?
 
Back
Top Bottom