IGP Simon Sirro afanya mabadiliko madogo kwa Makamanda wa Polisi

DCI bado ni Polisi,Nakubaliana na Mawazo yako kuwa Crime Investigation Dept. iwe tofauti na Polisi, ili unapokamatwa na charges zako waje separate independent agency(Iwe Crime Investigation Dept) wachunguze/wapepeleleze na kukusanya ushahidi, na kama umekamtwa na Ushahidi red handed pia ushahidi uchunguzwe kama kweli umekamatwa nao au umebambikiziwa ndipo upelekwe mahakamani, hii inaweza kupunguza mambo ya kubambikiziana kesi na kufungana pasipo makosa, Lakini pia itapunguza hucheleweshaji wa kesi, kuna kesi nyingine zinakwenda mahakamani pasi na ushahidi halafu matokeo yake zinatajwatajwa bila kusikilizwa na kufutwa, haya ni matumizi mabaya ya muda na rasilimali za mchi na usumbufu kwa raia.
Hii ya PrIvate investigation sio mbaya endapo tu naye itawekewa mipaka ya ushahidi wake, na pia Mhakamani wawe kama mashaidi.
 


Kumbe ni halali wanachofanyiwa kama ndio ilikuwa mtindo wao kutuma tuu watu badala ya kufika wenyewe field
 
Sahihi sana mkuu, hii ya private investigation ipo sema hawajaiweka vizuri zaidi Ila wapo but ndio akina Mahindi ambaye aliwahi kuwa IGP.

Ikitungwa sheria itasaidia, nimefanyia research kwa kuangalia marekani inasaidia sana kumaliza kesi mapema na kutoa haki.

Hawa private investigator huwa wanaweza kuwa hired na serikali kwenye kesi fulani ambazo Wana utaalamu nazo na unakuta wamebobea zaidi.

Inasaidia kumaliza kesi.
 
pole mkuu kama nimekukwaza ha ha ha ha take it easy enjoy life
 
sio mahindi ni IGP mahundi marehemu
 
sio mahindi ni IGP mahundi marehemu
It's just clerical error, bado upo nami tu🙆🏼‍♀️🤷hujataka kusoma kila kitu. Namjua maana hata chuoni CCP/MPA kuna bweni Lina jina lake so naelewa almost kila kitu I've been there and done it mwaka 2009.
 
nimekusikia kijana.
jumatatu nitakua hapo madizini
nitakutafuta

na ahidi kuyafanyia kazi haya yote uliyo andika hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…