Uchaguzi 2020 IGP Simon Sirro, je unasemaje kuhusu hawa askari wako? Je, kwa Tundu Lissu kuwafokea hawa askari huoni anatimiza wajibu wake wa Kikatiba?

Uchaguzi 2020 IGP Simon Sirro, je unasemaje kuhusu hawa askari wako? Je, kwa Tundu Lissu kuwafokea hawa askari huoni anatimiza wajibu wake wa Kikatiba?

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,413
Reaction score
23,592

Je, mgombea wa Urasi kupitia Chadema, Mh. Tundu Antiphas Lissu anayo haki yoyote ya kufokea ushirika huu wa kiharamu wa Jeshi la Polisi na CCM?

Je, ni kweli jeshi la polisi linatumiwa na wagombea wa CCM kukandamiza uhuru na haki ya wananchi kuwapigia kura viongozi wanaowapenda?

Je, kitendo cha Mh. Tundu Antiphas Lissu kukemea vitendo vya hovyo vinavyofanywa na polisi dhidi ya upinzani ni vya kupongezwa au kubezwa?

Je, IGP anapotoa amri kwa mgombea Urais wa Chadema kuripoti kituo cha polisi ambao wapo hawa haoni kuwa ni kuhatarisha usalama wake?
 
IGP Sirro tunamsubiri kauli yako.
Sina hakika kama atakuwa na jibu. Yaani polisi wamekuwa kama vinyago vya mwana CCM yeyote hata akiwa muokota makopo. Unaweza ukajiuliza sasa huyu afande pamoja na nyota zake anafanya nini hapa usipate jibu. Na hawa eti ndio wanategemewa kutoa haki kwa vyama vyote katika uchaguzi huu.
 
Nchi hii inahitaji ukombozi...achana na wa kijamii na kiuchumi lakini mkubwa kabisa ni ule wa kifikra....

Mtu pekee wa kutuvisha kwenye hili ni Tundu Antipas Lissu.
 
Wananchi tu ndio watakaoirudisha nchi hii mikononi mwao. Lissu mwenyewe tu hawezi. Tundu Lissu anajaribu kutuonyesha njia tu. Wananchi tuna nguvu kuliko CCM+Tume+Msajili+Polisi. Kama tunaogopa kupigwa mabomu, tuwe tayari kutawaliwa na hawa washenzi mpaka mwisho.
 
Jeshi la Polis na CCM wamekuwa kama Uji na Mgonjwa ,CCM wanalitumia wawezavyo tumesha lishuhudia mara nyingi kwa alie kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam walishangilia pamoja ktk ushindi wa CCM juu ya Uchaguzi wa Serikali za Mtaa.
 
Wananchi tu ndio watakaoirudisha nchi hii mikononi mwao. Lissu mwenyewe tu hawezi. TL anajaribu kutuonyesha njia tu. Wananchi tuna nguvu kuliko CCM+Tume+Msajili+Polisi. Kama tunaogopa kupigwa mabomu, tuwe tayari kutawaliwa na hawa washenzi mpaka mwisho.
Kwenye list yako ongezea na Tiss..watu wasiojulikana!!

Hii idara Lissu akiapishwa tu ni ya kwanza kivunjwa...
 
Duh! Inasikitisha na kutia hasira kupita kiasi.

Kuna vitendo vya polisi dhidi ya upinzani nikivikumbuka natoa machozi...yaani unabaki unajiuliza hawa kweli ni walinzi wa usalama wa raia wote wa nchi hii? Hebu shuhudieni huu unyama wa polisi wetu...

View attachment 1588576
 

Je, mgombea wa Urasi kupitia Chadema, Mh. Tundu Antiphas Lissu anayo haki yoyote ya kufokea ushirika huu wa kiharamu wa Jeshi la Polisi na CCM?

Je, ni kweli jeshi la polisi linatumiwa na wagombea wa CCM kukandamiza uhuru na haki ya wananchi kuwapigia kura viongozi wanaowapenda?

Je, kitendo cha Mh. Tundu Antiphas Lissu kukemea vitendo vya hovyo vinavyofanywa na polisi dhidi ya upinzani ni vya kupongezwa au kubezwa?

Je, IGP anapotoa amri kwa mgombea Urais wa Chadema kuripoti kituo cha polisi ambao wapo hawa haoni kuwa ni kuhatarisha usalama wake?

Music produces a kind of pleasure which human nature cannot do without
 
Nchi ya kigoroko sana hii kwasabb ya ccm

IMG-20201002-WA0008.jpg
 

Je, mgombea wa Urasi kupitia Chadema, Mh. Tundu Antiphas Lissu anayo haki yoyote ya kufokea ushirika huu wa kiharamu wa Jeshi la Polisi na CCM?

Je, ni kweli jeshi la polisi linatumiwa na wagombea wa CCM kukandamiza uhuru na haki ya wananchi kuwapigia kura viongozi wanaowapenda?

Je, kitendo cha Mh. Tundu Antiphas Lissu kukemea vitendo vya hovyo vinavyofanywa na polisi dhidi ya upinzani ni vya kupongezwa au kubezwa?

Je, IGP anapotoa amri kwa mgombea Urais wa Chadema kuripoti kituo cha polisi ambao wapo hawa haoni kuwa ni kuhatarisha usalama wake?
exactlly
 
Back
Top Bottom