Tatizo labda iwe hizo silaha ila sio nguo.
Hao askari wa idara ya upepelezi, ambao kimajukumu hawavai uniform.
Mtoto ni wewe. Mie natumia busara ya kawaida katika mazingira ya Tanzania. Sasa ukiniletea term zenu za polisi na mimi sio polisi unategemea nini? Na mimi nikikuletea terms za kazi yangu nitegemee utanielewa? Ndio maana mnaambiwa jaribu kutumia akili kidogo.Sihitaji kujua P.G.O sijui kuelewa upumbavu na ujinga unaojionyesha hapa. Hizo P.G.O mbona mkiitwa kwenye tukio la ujambazi mnazisahau?
What if raia wakaingilia kuzuia Sichukuliwe hujaona mapambano ya namna hii katika nchi nyingine..?
Sent using Jamii Forums mobile app
ko gari na mafuta huwa hayapo tu kwenye matukio ya ujambazi ila kukamata wazururaji na mwanamke huyu gari zina mafuta.ULITAKA WAVAAJE?
AK MOJA NA REVOLVER NDIO WAITA SILAHA NZITO?
WAMEVUNJA SHERIA IPI KATIKA NCHI?
KAMA HUJUI KITU USIBWABWAJE WEWE MZEE
UNALALAMIKA OOH UKIPIGA SIMU KUWA NIMEVAMIWA WANAKUJIBU HAWANA GARI SASA KAMA HALIPO WAKUJIBU TUNAKUJA WAKAT HAWANA?
HAWANA MAFUTA SASA KAMA MAFUTA HAYAPO WATAKA WAKUDANGANYE KUWA TWAJA WAKAT HAWAJI?
NINA WASI WASI ALOKAMATWA NI MKEO NA HURUHUSIWI KUMUONA NDIO MAANA POVU
Kubeba silaha ni sawa kwa askari, ila at least wangeamrishwa kubeba sidearm in concealed carry.Ni jambo ambalo linazidi kuenea Tanzania. Mara nyingi unakuta askari polisi wanatumwa kwenye tukio linalohitaji silaha (japo ni machache Tanzania) huku wakiwa wamesheheni silaha na bado wamevaa kiraia. Kwa nini wanafanya hivyo? Je inaruhusiwa kwa askari polisi aliye kwenye response unit kwenda akiwa na silaha kamili za kuingia filed lakini akawa amevaa kiraia?
Nimeangalia askari walioenda kumkamata huyu mama wa Iringa alietoroka kambi ya Corona, na karibu askari wote walioenda walikuwa wamesheheni silaha lakini wamevaa kiraia.
Halafu, hili tukio si la ujambazi. Kwa nini Polisi wapeleke kikosi chenye uzito wa silaha kiasi hiki kumkamata mwanamke mmoja aliekimbia kambi ya Corona? Hivi polisi wetu wanawashwa kubeba silaha na kuzitumia?
Nchi haiko vitani, unapeleka kikosi cha polisi kumkamata mwanamke mmoja aliyetoroka kambi ya Corona utafikiri unaenda kumkamata kiongozi wa Al-Qaeda, Unataka kumtisha nani na askari wako na silaha zao, wananchi wa Tanzania?
Unapeleka askari na silaha kwenye tukio dogo kama hili utafikiri huyo mwanamke ndio Corona yenyewe unaenda kuikamata! Mkitukanwa mnatumia nguvu badala ya busara mnalalamika. Hii display ya force kwenye tukio kama hili inawasaidia nini hasa? Polisi badilikeni. Mnatuaibisha.
Siku moja askari wako wenye silaha na wamevaa kiraia watakuja kuuwawa wakidhaniwa ni majambazi.
View attachment 1407862
View attachment 1407865View attachment 1407865View attachment 1407862
Sasa mbona polisi wakiitwa kurespond tukio la ujambazi hawatokei mpaka majambazi waondoke?Acha povu bwanamdogo PGO ni Police General Orders. Hivyo ulikuja na hamaki kwa kulaumu ufavaaji huo, kana kwamba kwenye PGO wamevunja kifungu.
Ndio kusema nakutaka kukufunda kabla hujalalamika suala ambalo hulifahamu jitahidi ufahamu nalo kabla ya kutoa lalamiko.
Lalamiko ni hitimisho kwamba walikosea kwa mujibu wako, by theway nisamehe hapo juu kama nilitumia lugha mbaya.
Sasa mbona polisi wakiitwa kurespond tukio la ujambazi hawatokei mpaka majambazi waondoke?
Sent using Soviet T-72 Main Battle Tank
Poti tuliza jazba povu lote la nini weekend hii?ULITAKA WAVAAJE?
AK MOJA NA REVOLVER NDIO WAITA SILAHA NZITO?
WAMEVUNJA SHERIA IPI KATIKA NCHI?
KAMA HUJUI KITU USIBWABWAJE WEWE MZEE
UNALALAMIKA OOH UKIPIGA SIMU KUWA NIMEVAMIWA WANAKUJIBU HAWANA GARI SASA KAMA HALIPO WAKUJIBU TUNAKUJA WAKAT HAWANA?
HAWANA MAFUTA SASA KAMA MAFUTA HAYAPO WATAKA WAKUDANGANYE KUWA TWAJA WAKAT HAWAJI?
NINA WASI WASI ALOKAMATWA NI MKEO NA HURUHUSIWI KUMUONA NDIO MAANA POVU