IGP Simon Sirro, kwanini askari polisi wanatumwa field na silaha nzito wamevaa kiraia? Kwanini unatuma askari na silaha nyingi tukio dogo la kiraia?

Ohooo!!! Mukuu acha kutikisa muzinga wa nyuki. Kwani ukijikalia kimya unakosa nini?
 
Kama kuna askari huko uliko anamiliki nyumba ya kifahari, gari la kifahari, au biashara halali kubwa nyoosha kidole.
Unafikiri hawavitamani?
Hapo ndio stress huanzia.
Akikuona mwana unakatiza kitaa na harrier yako anatamani ugonge hata kuku akuonyeshe yeye nani.
 
Polisi wajinga tu. mibunduki ya nini kwenda zako na ujinga eti PGO
 
Ujinga tu. MTU mwenye korona anakamatwa kwa bunduki au, anakamatwa na wauguzi waliovalia rasmi kujikinga na korona
 
We Una cheo gani ? Ulipata div. gani?
 
Acha uongo,askari wote wanapaswa kuvaa uniform na kuwa na kitambulisho.
Ina maana gani kutovaa uniform halafu umebeba silaha?
Tatizo labda iwe hizo silaha ila sio nguo.
Hao askari wa idara ya upepelezi, ambao kimajukumu hawavai uniform.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini raia waingilie kuzuia asichukuliwe?
Umewahi kufuatilia visa ambavyo raia wanaingilia kuzuia mtu asichukuliwe?
Hata wewe mwenyewe ungejiuliza maswali mengi,kwa huyo mama ni tofauti kabisa kwa sababu ametoroka karantini.
What if raia wakaingilia kuzuia Sichukuliwe hujaona mapambano ya namna hii katika nchi nyingine..?



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini kitumike kikosi cha kupambana na Ujambazi katika tukio linalohusisha ugonjwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfumo wa utoaji huduma wa askari wetu ndio matokeo yake sio wao
Askari wa Tz ni ngumu kuongea vzr na mtuhumiwa na huwa na culture ya wao kutak kuonekan wako juu katk Taifa hili kuliko binadamu wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo ni Maelezo ya MTU aliyeshindwa shule
 
Hao wanazingua ilitakiwa kikosi kidogo tu cha wana intelejensia wanamnyakua wanatoweka nae kimykimy kutishana2 bila sababu za msingi
 
Yeye ndio atufafanulie hizo PG0 ndio dudu gani?
 
Tatizo ni kuto kujua silaha nzito na nyepesi ni zipi! Mambo ya kipolisi nadhani yana elimu yake kama mimi na wewe hatujasomea elimu hiyo hatuna haki ya kukosoa utendaji wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…