Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

Huyu kada awaambie mapolisi wake waache dabo standard ili wasigombezwe Tena, wakitenda haki hakuna wa kuwagombeza
 
Nyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.
Lissu ni rais ajaye wa JMT,mhutu ndo atanyea debe
 
Nyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.
Hilo ndilo kimbilio lenu la mwisho. Hamuwezi kushindana kwa haki
 
Safi kabisa,! Lisu asifikiri Beberu wake Amsterdam atamsaidia kwa lolote hii ni chi huru
Kwa hiyo magu na ccm yake,pamoja na kufanya kampeni kwa miaka mitano pekee yao,pamoja na kunadi madaraja,ndege na reli bado hawezi bila msaada wa police,nec na msajiri? No wonder haoni aibu kupigia watoto wa shule ya msingi magoti
 
Tundu Lisu kayataka mwenyewe.
yaaani amekuwa akiwa tukana Askari hadi mimi mwenyewe naogopa!!!
halafu cha kushangaza wakati huo huo anataka ulinzi !! Duh!!
Mkuu kwani police wote ni wajinga?au ndo hivyo mmoja akioza wote wameoza?
 
Lissu hawezi kwenda Moshi kwa sababu anafuata barua yake ya wito wa NEC Dar kwa ajili ya issue ya maadili.

Sasa Sirro achague, Je anataka Lissu aende kwenye kamati ya maadili kwanza au Polisi!
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Tundu Lisu kayataka mwenyewe.
yaaani amekuwa akiwa tukana Askari hadi mimi mwenyewe naogopa!!!
halafu cha kushangaza wakati huo huo anataka ulinzi !! Duh!!
Mjinga sio tusi....
Mpumbavu sio tusi....
kwa mujibu wa sheria.
 
IGP ajue kuwa Jeshi la polisi halina nguvu yoyote juu ya umma!

Jeshi lenye askari wasiofika laki moja nchi nzima litakuwaje juu ya mamilioni ya wananchi wanaomuunga mkono Lissu?

IGP asitutishe!
 
Nilikuwa sina mpango wa kumpigia kura Tundu Lissu kwasabau JPM amefanya mengi yanaonekana. sasa ndio nitampigia Lissu once and for all
Nimewasikia malaika Mbinguni wakikupigia makofi kwa kutoka kwako gizani na kuingia nuruni.nami kwa kukazia nasema waache wafu wazikane
 

Usitufokee, nyooo. Kila ulichovaa hapo ni Kodi zetu. Chako labda ni boxer tu! Na lenyewe, siri yako, hujalifua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…