Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hawezi kuvuruga uchaguzi,Lissu atampiga kifungu kimoja cha sheria za maadili ya uchaguzi then atanywea kama zuzuNaona siro anaanza kuingia kwenye list ya watuhumiwa wa mahakama za kimataifa.Polis waende tume ya maadili, sio wagombea kupelekwa vituo vya polis.Siro anataka kuanza kuvuruga uchaguzi...
Nani anamlinda Tl?Unafikir Lissu ni Lowassa au
Kamuulize afande Muroto mzee wa kipigo cha mbwakoko na ushupavu wake na vitisho ila kwa Lissu alinywea maana Lissu alimfuata live akamwambia mzee nipe gari langu
Achana na huyo muulize huyo kamanda wa Nyamongo alipokuwa anapiga watu mabomu baada ya Lissu kumfuata ikawaje ikabidi asalimu amri
SASA IKO HIVI Lissu ni kama Mafuriko kabla ya kukukumbuka unaweza sema sijui tunayazuia hivi au vile ila yakikukumba lazma uhame nyumba
Kama huamini subiria baada ya kwenda huko kwa Sirro kitatokea nini lazma Siro atakuja na lugha za kistaarabu ambazo wewe Mataga hutotegemea
Nyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.
Twende na LissuNimimi nimechenji gia......
sipendi uonevu kabisa....
ubavu ukitumika huwa nachukia....
Yaani Magu nilikuwa nampigia kura but for now.....big no
Wathubutu waone mziki, safari hii, ninyee mavi nikuharishie uharoLisu asichanganye polisi wa kawaida na wale wa mahakamani wanaobishanaga nao!
Hawa hawaangalii sura!
Hahahahahha, dah nimecheka sana mkuuWatapata taabu sana yaani,tume walimwita Lissu then Lissu akawapiga kifungu kuwa hawezi kwenda kwa kuitwa kwenye mitandao.Tume wakapeleka barua makao makuu ya chadema kwa bodaboda na kusogeza tarehe ya kumwita mbele halafu Lissu akawapiga kifungu kingine kuwa barua anatakiwa kupelekewa yeye mwenyewe mkono kwa mkono.Sasa hivi tume wanahaha jinsi ya kumpelekea Lissu barua mkono kwa mkono na siku wakipeleka watakumbana na kifungu kingine.Huyo IGP atapigwa kifungu simple tu kuwa anatakiwa kupeleka malalamiko yake kwenye tume ya maadili halafu atanywea kama zuzu
Mikwara ya mitandaoni hiyo!Wathubutu waone mziki, safari hii, ninyee mavi nikuharishie uharo
Mkuu Jon Stephano ,nina ndugu yangu ni katibu wa CCM wa mkoa fulani,amekiri kwamba hawezi mpigia kura JPM kabisa.Dah mkuu nimekua mini na siamini ni wewe. Kwasababu kwenye nyuzi zako na comments zako za nyuma ulikuwa pro Magufuli kwa nguvu zote hadi nilikuwa na ingia anga zako na kukuwin kisaikolojia.
Ni wewe kweli ama ni mwengine?
Being neutral, Lissu ni hovyo tu! Anajipa ushujaa wa kihayawani!Sirro ni kichaa tu
Lisu asichanganye polisi wa kawaida na wale wa mahakamani wanaobishanaga nao!
Hawa hawaangalii sura!
Sawa hilo ni suala la NEC au PolisiAlihutubia watu usiku. Baada ya saa 12 jioni.
IGP kaisha sema Lisu hana ubavu wa kupambana na askari,Wathubutu waone mziki, safari hii, ninyee mavi nikuharishie uharo
Ni kweli kaongea kwa hasira Tunduma si anajua watu wa Tunduma hawataki ubabaishaji.Nasikia leo kule Songwe Mkuu alikuwa anaongea kwa hasira sana ..... Labda haya ndiyo matokeo yake sasa!!
Tundu Lissu kawashika pabayaHuku NEC, Huku Msajili, Huku Polis Huku CCM ..Wote mishale yao inaelekea kwa Lissu ...