IGP Sirro anajisikiaje Jeshi la Polisi kutumika kisiasa?

IGP Sirro anajisikiaje Jeshi la Polisi kutumika kisiasa?

Hivi Sirro bado anahitaji kurembesha CV yake? Au ulimaanisha legacy yake.
 
Nimeanza kwa swali: Hivi mzee wetu Simoni Sirro ambaye kwa asili ni mtu makini, anajisikiaje kwa jeshi la polisi analiongoza kutumika kisiasa?

Miezi iliyopita tumeshuhudia baadhi ya watu waliokuwa wanasiasa kuachiwa huru na mahakama kutoa hukumu kuwa hao watu walishitakiwa kimakosa ambayo kimsingi polisi ndio iliwatuhumu mfano Mdude nk.

Je, mzee wetu Sirro haoni kuwa si kila agizo analopewa au watu wake wanapoagizwa kuwafanyia raia ni wakati sasa wajiepushe nayo?

Haoni kuwa CV yake inachafuliwa?

Mzee wetu Sirro, kuna wakati ninakuhurumia sana.

USHAURI WANGU

1. Nashauri ajaribu kutumia hekima na busara. Anapopewa maagizo yanayovunja haki za msingi za wananchi kwa mujibu wa katiba

2. Njia bora ya kuwanyamazisha watu kama hawa wanaokusanyika kwa kudai katiba, ni kuwaita viongozi na kutumia diplomasia badala ya nguvu na kubambikia kesi.

3. Kumbuka huna miaka mingi kuwa ofisini na muda sio mrefu unarudi uraiani au kufanya kazi tofauti na hii kazi ya damu na laana hivyo jijengee mazingira ya kukumbukwa na historia.

Mwisho, mnayoyapanda yataota, yatakuwa, yatazaa na yatakomaa na kuiva; mwishowe mtavuna na kula matunda yake.
ivi CCM toka lini wakaogopa kuchafuliwa wakati toka mwanzo ni wachafu
 
Nimeanza kwa swali: Hivi mzee wetu Simoni Sirro ambaye kwa asili ni mtu makini, anajisikiaje kwa jeshi la polisi analiongoza kutumika kisiasa?

Miezi iliyopita tumeshuhudia baadhi ya watu waliokuwa wanasiasa kuachiwa huru na mahakama kutoa hukumu kuwa hao watu walishitakiwa kimakosa ambayo kimsingi polisi ndio iliwatuhumu mfano Mdude nk.

Je, mzee wetu Sirro haoni kuwa si kila agizo analopewa au watu wake wanapoagizwa kuwafanyia raia ni wakati sasa wajiepushe nayo?

Haoni kuwa CV yake inachafuliwa?

Mzee wetu Sirro, kuna wakati ninakuhurumia sana.

USHAURI WANGU

1. Nashauri ajaribu kutumia hekima na busara. Anapopewa maagizo yanayovunja haki za msingi za wananchi kwa mujibu wa katiba

2. Njia bora ya kuwanyamazisha watu kama hawa wanaokusanyika kwa kudai katiba, ni kuwaita viongozi na kutumia diplomasia badala ya nguvu na kubambikia kesi.

3. Kumbuka huna miaka mingi kuwa ofisini na muda sio mrefu unarudi uraiani au kufanya kazi tofauti na hii kazi ya damu na laana hivyo jijengee mazingira ya kukumbukwa na historia.

Mwisho, mnayoyapanda yataota, yatakuwa, yatazaa na yatakomaa na kuiva; mwishowe mtavuna na kula matunda yake.
Jeshi Hilo hilo lilipomkamata Sabaya haikuwa siasa?
 
Siku zote ukiua laana ipo nyuma yako hata familia zao zipo hovyohovyo tu.
 
Sirro inatuangusha sana sisi Waseminari wenzako...acha kutumika, fuata misingi na sheria....katiba walau hii ya sasa ndiyo iwe Biblia yako ingawa ni mbovu itasaidia ukiwa unatimiza majukumu yako ofisini.

Wakikusumbua..achia ngazi ..ombq kustqqfu kwa heshima..

Sirro wewe ni mtu wa kupokea vi màgizo vya kijinga jinga toka CCM..kweli?

CCM wanakuponza kitaifa na kimataifa as a person...kuwa makini kamanda. Kuna maisha tena marefu tu baada ya kustaafu
 
Huyo Siro lazima aibebe ccm maana ndio imempa ulaji, mfuatilie vizuri utamkuta ana miradi mingi ambayo kaipata kwa rushwa, na viongozi wa ccm hilo wanalijua. Hivyo akijifanya anasimamia haki anafilisiwa. Hana mpango wowote wa kulinda CV yake, maana hakuna popote anaweza kupata kazi tena kutokana na umri, pia uwezo. Hapo akistaafu usishangae anagombea uongozi kupitia ccm ili aendelee na ulaji wa mteremko. Hivyo hata yeye hataki katiba mpya ,maana anahisi itamuondolea ulaji baada ya kustaafu.
 
Jukumu namba moja la police ni kuilinda ccm isianguke
 
Na yeye ni mhanga wa katiba mbovu kama tulivyo wengi. Freeman Mbowe aachiwe mara moja!
Mnufaika yeyeto hawezi kubali kuona riziki yake ikichezewa.
Mwanaharakati huru baada ya Boss wake kufa na uhanarakati ukakoma
 
Nimeanza kwa swali: Hivi mzee wetu Simoni Sirro ambaye kwa asili ni mtu makini, anajisikiaje kwa jeshi la polisi analiongoza kutumika kisiasa?

Miezi iliyopita tumeshuhudia baadhi ya watu waliokuwa wanasiasa kuachiwa huru na mahakama kutoa hukumu kuwa hao watu walishitakiwa kimakosa ambayo kimsingi polisi ndio iliwatuhumu mfano Mdude nk.

Je, mzee wetu Sirro haoni kuwa si kila agizo analopewa au watu wake wanapoagizwa kuwafanyia raia ni wakati sasa wajiepushe nayo?

Haoni kuwa CV yake inachafuliwa?

Mzee wetu Sirro, kuna wakati ninakuhurumia sana.

USHAURI WANGU

1. Nashauri ajaribu kutumia hekima na busara. Anapopewa maagizo yanayovunja haki za msingi za wananchi kwa mujibu wa katiba

2. Njia bora ya kuwanyamazisha watu kama hawa wanaokusanyika kwa kudai katiba, ni kuwaita viongozi na kutumia diplomasia badala ya nguvu na kubambikia kesi.

3. Kumbuka huna miaka mingi kuwa ofisini na muda sio mrefu unarudi uraiani au kufanya kazi tofauti na hii kazi ya damu na laana hivyo jijengee mazingira ya kukumbukwa na historia.

Mwisho, mnayoyapanda yataota, yatakuwa, yatazaa na yatakomaa na kuiva; mwishowe mtavuna na kula matunda yake.
YEYE ndiyr anatumika na wanasiasa na siyo Jeshi la Polisi.
 
Juzi kwa sabaya mlimsifia sana uku mkikata viuno tulieni dawa iwaingie na gaidi wenu.
 
Back
Top Bottom