Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Naunga mkono hojaNa yeye ni mhanga wa katiba mbovu kama tulivyo wengi. Freeman Mbowe aachiwe mara moja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaNa yeye ni mhanga wa katiba mbovu kama tulivyo wengi. Freeman Mbowe aachiwe mara moja!
Akianza kuonea watu kijinga asisemwe?Juzi kwa sabaya mlimsifia sana uku mkikata viuno tulieni dawa iwaingie na gaidi wenu.
Kwani polisi wamekuambia mbowe amekamatwa kwa sababu alikuwa anadai katiba mpya? Hiyo ni nyinyi wapambe wake ndo mnasema. Ukweli dj makengeza ni gaidi.Sabaya alikuwa anadai katiba mpya?
Na kama mtu ni gaidi asitiwe nguvuni?Akianza kuonea watu kijinga asisemwe?
Siku akitiwa bwana ako ndiyo akili zitakaa sawaNa kama mtu ni gaidi asitiwe nguvuni?
Dah madam tulikumiss sana,Vipi ulikuwa masomoni Kule kwenye chuo chenu cha propaganda kivukoni.
Wericome back.
Nimeanza kwa swali: Hivi mzee wetu Simoni Sirro ambaye kwa asili ni mtu makini, anajisikiaje kwa jeshi la polisi analiongoza kutumika kisiasa?
Miezi iliyopita tumeshuhudia baadhi ya watu waliokuwa wanasiasa kuachiwa huru na mahakama kutoa hukumu kuwa hao watu walishitakiwa kimakosa ambayo kimsingi polisi ndio iliwatuhumu mfano Mdude nk.
Je, mzee wetu Sirro haoni kuwa si kila agizo analopewa au watu wake wanapoagizwa kuwafanyia raia ni wakati sasa wajiepushe nayo?
Haoni kuwa CV yake inachafuliwa?
Mzee wetu Sirro, kuna wakati ninakuhurumia sana.
USHAURI WANGU
1. Nashauri ajaribu kutumia hekima na busara. Anapopewa maagizo yanayovunja haki za msingi za wananchi kwa mujibu wa katiba
2. Njia bora ya kuwanyamazisha watu kama hawa wanaokusanyika kwa kudai katiba, ni kuwaita viongozi na kutumia diplomasia badala ya nguvu na kubambikia kesi.
3. Kumbuka huna miaka mingi kuwa ofisini na muda sio mrefu unarudi uraiani au kufanya kazi tofauti na hii kazi ya damu na laana hivyo jijengee mazingira ya kukumbukwa na historia.
Mwisho, mnayoyapanda yataota, yatakuwa, yatazaa na yatakomaa na kuiva; mwishowe mtavuna na kula matunda yake.
Chiaziii!!.nipo huku kijijini nilipo miaka yote.. mimi ni mwananchi wa kawaida.. chiaziiiii
Kwa hiyo system ni jumla ya genge la uovu?This is Africa.
Kitu kimoja tunasahau ni kuwa ukishaingia kwenye system ndio umeingia.
Utafanya yale system inataka yafanyike, upende usipende.
Ndio maana ukikaa nao privately unashangaa jinsi gani walivyo tofauti na wakiwa kazini.
Kolimba alijilipua akaamua kusema kweli, yaliyomkuta wote tunajua.
Nimeanza kwa swali: Hivi mzee wetu Simoni Sirro ambaye kwa asili ni mtu makini, anajisikiaje kwa jeshi la polisi analiongoza kutumika kisiasa?
Miezi iliyopita tumeshuhudia baadhi ya watu waliokuwa wanasiasa kuachiwa huru na mahakama kutoa hukumu kuwa hao watu walishitakiwa kimakosa ambayo kimsingi polisi ndio iliwatuhumu mfano Mdude nk.
Je, mzee wetu Sirro haoni kuwa si kila agizo analopewa au watu wake wanapoagizwa kuwafanyia raia ni wakati sasa wajiepushe nayo?
Haoni kuwa CV yake inachafuliwa?
Mzee wetu Sirro, kuna wakati ninakuhurumia sana.
USHAURI WANGU
1. Nashauri ajaribu kutumia hekima na busara. Anapopewa maagizo yanayovunja haki za msingi za wananchi kwa mujibu wa katiba
2. Njia bora ya kuwanyamazisha watu kama hawa wanaokusanyika kwa kudai katiba, ni kuwaita viongozi na kutumia diplomasia badala ya nguvu na kubambikia kesi.
3. Kumbuka huna miaka mingi kuwa ofisini na muda sio mrefu unarudi uraiani au kufanya kazi tofauti na hii kazi ya damu na laana hivyo jijengee mazingira ya kukumbukwa na historia.
Mwisho, mnayoyapanda yataota, yatakuwa, yatazaa na yatakomaa na kuiva; mwishowe mtavuna na kula matunda yake.
Uovu ni mtazamo... system inaamini iko sahihiKwa hiyo system ni jumla ya genge la uovu?
Ndiyo akili zitarudiAtatiwa