IGP Sirro anajisikiaje Jeshi la Polisi kutumika kisiasa?

IGP Sirro anajisikiaje Jeshi la Polisi kutumika kisiasa?

Sabaya alikuwa anadai katiba mpya?
Kwani polisi wamekuambia mbowe amekamatwa kwa sababu alikuwa anadai katiba mpya? Hiyo ni nyinyi wapambe wake ndo mnasema. Ukweli dj makengeza ni gaidi.
 
Nimeanza kwa swali: Hivi mzee wetu Simoni Sirro ambaye kwa asili ni mtu makini, anajisikiaje kwa jeshi la polisi analiongoza kutumika kisiasa?

Miezi iliyopita tumeshuhudia baadhi ya watu waliokuwa wanasiasa kuachiwa huru na mahakama kutoa hukumu kuwa hao watu walishitakiwa kimakosa ambayo kimsingi polisi ndio iliwatuhumu mfano Mdude nk.

Je, mzee wetu Sirro haoni kuwa si kila agizo analopewa au watu wake wanapoagizwa kuwafanyia raia ni wakati sasa wajiepushe nayo?

Haoni kuwa CV yake inachafuliwa?

Mzee wetu Sirro, kuna wakati ninakuhurumia sana.

USHAURI WANGU

1. Nashauri ajaribu kutumia hekima na busara. Anapopewa maagizo yanayovunja haki za msingi za wananchi kwa mujibu wa katiba

2. Njia bora ya kuwanyamazisha watu kama hawa wanaokusanyika kwa kudai katiba, ni kuwaita viongozi na kutumia diplomasia badala ya nguvu na kubambikia kesi.

3. Kumbuka huna miaka mingi kuwa ofisini na muda sio mrefu unarudi uraiani au kufanya kazi tofauti na hii kazi ya damu na laana hivyo jijengee mazingira ya kukumbukwa na historia.

Mwisho, mnayoyapanda yataota, yatakuwa, yatazaa na yatakomaa na kuiva; mwishowe mtavuna na kula matunda yake.

mkuu chama cha ccm kina matawi mengi moja wapo ni ccm, bakwata
 
This is Africa.

Kitu kimoja tunasahau ni kuwa ukishaingia kwenye system ndio umeingia.

Utafanya yale system inataka yafanyike, upende usipende.

Ndio maana ukikaa nao privately unashangaa jinsi gani walivyo tofauti na wakiwa kazini.

Kolimba alijilipua akaamua kusema kweli, yaliyomkuta wote tunajua.
 
This is Africa.

Kitu kimoja tunasahau ni kuwa ukishaingia kwenye system ndio umeingia.

Utafanya yale system inataka yafanyike, upende usipende.

Ndio maana ukikaa nao privately unashangaa jinsi gani walivyo tofauti na wakiwa kazini.

Kolimba alijilipua akaamua kusema kweli, yaliyomkuta wote tunajua.
Kwa hiyo system ni jumla ya genge la uovu?
 
..kwa uelewa wake ni sahihi.

..pia ni mwana-ccm mtiifu.

..hivyo anaona fahari polisi wakitumika kisiasa na CCM.
 
Nimeanza kwa swali: Hivi mzee wetu Simoni Sirro ambaye kwa asili ni mtu makini, anajisikiaje kwa jeshi la polisi analiongoza kutumika kisiasa?

Miezi iliyopita tumeshuhudia baadhi ya watu waliokuwa wanasiasa kuachiwa huru na mahakama kutoa hukumu kuwa hao watu walishitakiwa kimakosa ambayo kimsingi polisi ndio iliwatuhumu mfano Mdude nk.

Je, mzee wetu Sirro haoni kuwa si kila agizo analopewa au watu wake wanapoagizwa kuwafanyia raia ni wakati sasa wajiepushe nayo?

Haoni kuwa CV yake inachafuliwa?

Mzee wetu Sirro, kuna wakati ninakuhurumia sana.

USHAURI WANGU

1. Nashauri ajaribu kutumia hekima na busara. Anapopewa maagizo yanayovunja haki za msingi za wananchi kwa mujibu wa katiba

2. Njia bora ya kuwanyamazisha watu kama hawa wanaokusanyika kwa kudai katiba, ni kuwaita viongozi na kutumia diplomasia badala ya nguvu na kubambikia kesi.

3. Kumbuka huna miaka mingi kuwa ofisini na muda sio mrefu unarudi uraiani au kufanya kazi tofauti na hii kazi ya damu na laana hivyo jijengee mazingira ya kukumbukwa na historia.

Mwisho, mnayoyapanda yataota, yatakuwa, yatazaa na yatakomaa na kuiva; mwishowe mtavuna na kula matunda yake.


Mzee Mshermber sana
 
Back
Top Bottom