IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Mungu ibariki CHADEMA..Mungu zidi kumtia nguvu mwamba na kumpigania
 
Fake tetesi,UGAIDI na mataifa ya nje ni sumu.Hivyo kipimo kama upo au haupo ni vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Nasikitika kwamba uonevu unaendelea nchini chini ya uongozi wa mama Samia. Huyu mama kama hatatubu na kuacha uovu wake basi yatamkuta mabaya.
 
Na kwa vile wanampenda sana Mbowe ndio maana hajawahi kushitakiwa kwa hizi tuhuma? Hauoni hapo unatia Dora vyombo vyetu vya dola kuwa wamemuachia muuaji wa aina ile aendelee kutamba uraani mpaka alipopanga kuhudhuria kikao cha Katiba Mpya?

Amandla...
 
Wakome na bambikabambika zao
 
Uharifu hauna chama.
 
Kitu pekee alichonacho SIRRO na anajivunia nacho ni hiyo mitutu ya Bunduki na Mabomu alivyopewa na wananchi awafanyie kazi ya kulinda usalama wao; lakini badala yake, ameamua kutumia vitu hivyo kuwanyanyasa wananchi.

Bila ya hiyo mitutu, huyu mtu asingekoroma hapa kama yupo usingizini.
 
Mwanzo ilikuwa ni tuhuma tu, lkn sasa huenda familia ya chacha wangwe au ben saa8 wameamua kwenda kumfungulia kesi ndo ikabidi dola iingilie kati kuangalia kama kweli alihusika au hakuhusika na hayo matukio.
 
Mwanzo ilikuwa ni tuhuma tu, lkn sasa huenda familia ya chacha wangwe au ben saa8 wameamua kwenda kumfungulia kesi ndo ikabidi dola iingilie kati kuangalia kama kweli alihusika au hakuhusika na hayo matukio.
Speculations. Kesi ya mauaji inafunguliwa na Jamhuri sio familia. Kwa vile mnasema hizi tuhuma ni za muda mrefu dola ilipaswa kuzichunguza mara baada ya kujitokeza. Kuanza kufukua sasa kwa sababu mtu kasema na sio wao kuwa na ushahidi itakuwa uonevu.

Amandla...
 
Mwanzo ilikuwa ni tuhuma tu, lkn sasa huenda familia ya chacha wangwe au ben saa8 wameamua kwenda kumfungulia kesi ndo ikabidi dola iingilie kati kuangalia kama kweli alihusika au hakuhusika na hayo matukio.
Mbona mnahamisha hamisha kesi, siyo kuua viongozi wa serikali tena Na kulipua vituo vya mafuta?

Yani familia zimefanya upelelezi zimegundua mbowe aliua watu wao serikali haijui mpaka ikashituliwa na wana familia ndo serikali ikaingilia kati?

Akili yako ni ndogo sana kujadili hili jambo ni bora ungekaa kimya
 
Naibu waziri wa mambo ya siasa U.S.A amekutana na viongozi wakuu wa upinzani kikiwemo chama chenye mtuhumiwa wa UGAIDI.

GAIDI ni hatari nchini na nje ya nchi,Iweje MTU huyu kukaa na watu wenye itikadi za kigaidi?

IGP kwanini usiwe unakaa na wapinzani kuliko kuwavunja miguu, ni yupi unayemtumikia yeye na Mali zake.
 
Kama hautokuwa na kazi ya kufanya kesho, basi futilia kesi yake ili kujua sababu ya kukamatwa kwake na kushtakiwa. Mimi sio polisi wala mwanasheria wa serikali ndio maana kweny comment yang nimetumia neno "huenda"
 
Ugaidi gani?! . Uliwahi kuonyeshwa gari iliyotumika kumteka Moo. Habari zake zikoje ?!. Si ni huyu huyu anayewabatiza watu leo UGAIDI ?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…