Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
sina akili mkuuHutaki wapinzani wakae ikulu lakini unawaamini wawepo bungeni, uko sawa kweli kichwani?
utayasema haya siku akifaNdio mshahara wake wa kujipendekeza.
Na inawezekana wanacheza ngoma moja tu.
Hayupo Aggressive kama mpinzani.
Kama Lisu
Kama Mtikila.
inafikirisha kwa mwenye kuona mbeleNimekosa cha kukoment.
Kama baba na mama zako watakavyokufa..............HABARI...
kwanza nikiri mara yangu ya kwanza kupiga kura ni 2020 na niliwapa CCM..
pili nikiri maovu yote ya uchaguzi nayafahamu na kuyafurahia (upande wa nafasi ya uraisi) maana upinzani bado unasafari ndefu kukamata nchi.
tatu nikiri kuchukizwa na kukosekana kwa wabunge wa upinzani bungeni kama taifa tuliteleza na ni kosa ambalo hata CCM wanalijua na halitojirudia.
KWENYE MADA.
leo MBOWE anakabiliwa na kesi ugaidi lakini ni ukweli kwamba hii kesi haina mashiko na hakuna ugaidi wa aina hii na ninachojua mimi (mimi) kitengo cha ugaidi (CT) hakifanyi kazi kwa staili hii (wachache watanielewa) na kama kingefanya kazi kwa stail hii TANZANIA lingekua lango la magaidi.
CT wana ramani zao, mipaka yao, uongozi wao, safari zao, wahisiwa wao, watuhumiwa wao, mawasiliano yao, selo zao, silaha zao na mengine mengi ambayo hayawezi kuwa wazi kama huu upuuzi unaoendelea.
watanzania, CCM, raisi SAMIA, wabunge, mawaziri, viongozi wa dini n.k kuna siku MBOWE atakufa je tutaongea nini katika msiba wake??
je spika wa bunge utatoa taarifa gani kuhusu mbowe??
viongozi CCM katika mazishi mtavaa sare gani na mtatoa hotuba gani??
MAMA SAMIA kama utaenda msibani utawaambia nini watanzania na familia ya mbowe kwa kipindi hicho??
CHADEMA mtatoa hotuba ya aina gani siku hiyo.??
je serikali itatoa mchango gani katika mazishi yake???
binadamu huzaliwa na mwisho wake ni kufa hata MBOWE atakufa niliowataja fikirieni hili maana siku yaja.
MWISHO:
SIKU HIYO TUTAKUA WANAFIKI TULIOPITILIZA.
Ningejua duka linalouza akili ningekushauri ukanunue.sina akili mkuu
Hapana umeandika Mashudu. Unafurahia dhuluma ya uchaguzi halafu unataka Wapinzani wawepo Bungeni hii ni akili au matope?i
inafikirisha kwa mwenye kuona mbele
Ningejua duka linalouza akili ningekushauri ukanunue.
matopeee kichwaniHapana umeandika Mashudu. Unafurahia dhuluma ya uchaguzi halafu unataka Wapinzani wawepo Bungeni hii ni akili au matope?
HABARI...
kwanza nikiri mara yangu ya kwanza kupiga kura ni 2020 na niliwapa CCM..
pili nikiri maovu yote ya uchaguzi nayafahamu na kuyafurahia (upande wa nafasi ya uraisi) maana upinzani bado unasafari ndefu kukamata nchi.
tatu nikiri kuchukizwa na kukosekana kwa wabunge wa upinzani bungeni kama taifa tuliteleza na ni kosa ambalo hata CCM wanalijua na halitojirudia.
KWENYE MADA.
leo MBOWE anakabiliwa na kesi ugaidi lakini ni ukweli kwamba hii kesi haina mashiko na hakuna ugaidi wa aina hii na ninachojua mimi (mimi) kitengo cha ugaidi (CT) hakifanyi kazi kwa staili hii (wachache watanielewa) na kama kingefanya kazi kwa stail hii TANZANIA lingekua lango la magaidi.
CT wana ramani zao, mipaka yao, uongozi wao, safari zao, wahisiwa wao, watuhumiwa wao, mawasiliano yao, selo zao, silaha zao na mengine mengi ambayo hayawezi kuwa wazi kama huu upuuzi unaoendelea.
watanzania, CCM, raisi SAMIA, wabunge, mawaziri, viongozi wa dini n.k kuna siku MBOWE atakufa je tutaongea nini katika msiba wake??
je spika wa bunge utatoa taarifa gani kuhusu mbowe??
viongozi CCM katika mazishi mtavaa sare gani na mtatoa hotuba gani??
MAMA SAMIA kama utaenda msibani utawaambia nini watanzania na familia ya mbowe kwa kipindi hicho??
CHADEMA mtatoa hotuba ya aina gani siku hiyo.??
je serikali itatoa mchango gani katika mazishi yake???
binadamu huzaliwa na mwisho wake ni kufa hata MBOWE atakufa niliowataja fikirieni hili maana siku yaja.
MWISHO:
SIKU HIYO TUTAKUA WANAFIKI TULIOPITILIZA.
Hapo vipi
Binafsi tokea mwanzo niliamini jamuhuri wapo sahihi na ni wakweli dhidi ya Mbowe,na hii inadhihirishwa katika maeneo haya.
Kwanza upeleleze wa Kingai sio wa mchezo mchezo ni mtaalam mwenye udhoefu wa muda mrefu katika maswala ya upelelezi na hii kesi ya Mbowe upelelezi wake ni umeanza muda mrefu sana sio juzi tokea mwa 2020.
Pili, ushahidi ya wakina Mahita ni ushahidi mzito sana...ni watu ambao ni mapapa wa system kwa muda..na serikali imewaanda hawa watu kwa pesa nyingi sana na kwa muda mrefu ili waweze kuisaidia taifa.
Tatu,Tanzani ni nchi bora sana Duniani kwa upelelezi na wapelelezi ni hawa waliompeleleza Mbowe..hivyo upelelezi wao ni wakitaalamu kama majibu ya Dactari
Nne,hukumu ndogo dhidi ya kesi ya mbowe ni ushahidi tosha ya kwamba upelelezi ni wakitaalam na u.efuata sheria.
Tano..gaidi sio mpaka mtu alipue bomu au ateke watu ndio anakuwa guidi...juzi uingereza jamaa mmoja alikuwa na mikakati ya kumteka mbunge tu basi akatuhumiwa kama gaidi.
Nimalize kwa kusema acheni ushabiki wa itikadi kwenye hili..wakina Kingai na wengine hawana interest yeyote dhidi ya kesi ya mbowe bali wanamshughulikia kama muhalifu yeyote mwenye makosa.
Da nimeandika nikafuta. Haya bwana uwe na siku njema.matopeee kichwani
Ila hao ndio CCM tone la aibu Hawa a pale yalipo maslahi Yao na pale wanapotetea maslahi Yao wanayo amini au waliyo aminishwa. Unafiki kwao ni kawaida, uonevu, kufurahia uovu, na kushiriki uovu kwao no kawaida Sana.mafisi hawathaminiani kudhulumu, kudhulumiana kwao haiwasumbui. 🐆🐅.HABARI...
kwanza nikiri mara yangu ya kwanza kupiga kura ni 2020 na niliwapa CCM..
pili nikiri maovu yote ya uchaguzi nayafahamu na kuyafurahia (upande wa nafasi ya uraisi) maana upinzani bado unasafari ndefu kukamata nchi.
tatu nikiri kuchukizwa na kukosekana kwa wabunge wa upinzani bungeni kama taifa tuliteleza na ni kosa ambalo hata CCM wanalijua na halitojirudia.
KWENYE MADA.
leo MBOWE anakabiliwa na kesi ugaidi lakini ni ukweli kwamba hii kesi haina mashiko na hakuna ugaidi wa aina hii na ninachojua mimi (mimi) kitengo cha ugaidi (CT) hakifanyi kazi kwa staili hii (wachache watanielewa) na kama kingefanya kazi kwa stail hii TANZANIA lingekua lango la magaidi.
CT wana ramani zao, mipaka yao, uongozi wao, safari zao, wahisiwa wao, watuhumiwa wao, mawasiliano yao, selo zao, silaha zao na mengine mengi ambayo hayawezi kuwa wazi kama huu upuuzi unaoendelea.
watanzania, CCM, raisi SAMIA, wabunge, mawaziri, viongozi wa dini n.k kuna siku MBOWE atakufa je tutaongea nini katika msiba wake??
je spika wa bunge utatoa taarifa gani kuhusu mbowe??
viongozi CCM katika mazishi mtavaa sare gani na mtatoa hotuba gani??
MAMA SAMIA kama utaenda msibani utawaambia nini watanzania na familia ya mbowe kwa kipindi hicho??
CHADEMA mtatoa hotuba ya aina gani siku hiyo.??
je serikali itatoa mchango gani katika mazishi yake???
binadamu huzaliwa na mwisho wake ni kufa hata MBOWE atakufa niliowataja fikirieni hili maana siku yaja.
MWISHO:
SIKU HIYO TUTAKUA WANAFIKI TULIOPITILIZA.
Wanaccm watakaohudhuria watafukuzwa uanachama kama wale waliotumbuliwa baada ya kumtembelea Lissu hospitali.HABARI...
kwanza nikiri mara yangu ya kwanza kupiga kura ni 2020 na niliwapa CCM..
pili nikiri maovu yote ya uchaguzi nayafahamu na kuyafurahia (upande wa nafasi ya uraisi) maana upinzani bado unasafari ndefu kukamata nchi.
tatu nikiri kuchukizwa na kukosekana kwa wabunge wa upinzani bungeni kama taifa tuliteleza na ni kosa ambalo hata CCM wanalijua na halitojirudia.
KWENYE MADA.
leo MBOWE anakabiliwa na kesi ugaidi lakini ni ukweli kwamba hii kesi haina mashiko na hakuna ugaidi wa aina hii na ninachojua mimi (mimi) kitengo cha ugaidi (CT) hakifanyi kazi kwa staili hii (wachache watanielewa) na kama kingefanya kazi kwa stail hii TANZANIA lingekua lango la magaidi.
CT wana ramani zao, mipaka yao, uongozi wao, safari zao, wahisiwa wao, watuhumiwa wao, mawasiliano yao, selo zao, silaha zao na mengine mengi ambayo hayawezi kuwa wazi kama huu upuuzi unaoendelea.
watanzania, CCM, raisi SAMIA, wabunge, mawaziri, viongozi wa dini n.k kuna siku MBOWE atakufa je tutaongea nini katika msiba wake??
je spika wa bunge utatoa taarifa gani kuhusu mbowe??
viongozi CCM katika mazishi mtavaa sare gani na mtatoa hotuba gani??
MAMA SAMIA kama utaenda msibani utawaambia nini watanzania na familia ya mbowe kwa kipindi hicho??
CHADEMA mtatoa hotuba ya aina gani siku hiyo.??
je serikali itatoa mchango gani katika mazishi yake???
binadamu huzaliwa na mwisho wake ni kufa hata MBOWE atakufa niliowataja fikirieni hili maana siku yaja.
MWISHO:
SIKU HIYO TUTAKUA WANAFIKI TULIOPITILIZA.
Yaani Gaidi kapewa nauli 21,000/-Statement inasema walienda kubana matumizi kwa dada!
Gaidi Akabane matumizi kwa dada? Huyo Ni gaidi au?
HABARI...
kwanza nikiri mara yangu ya kwanza kupiga kura ni 2020 na niliwapa CCM..
pili nikiri maovu yote ya uchaguzi nayafahamu na kuyafurahia (upande wa nafasi ya uraisi) maana upinzani bado unasafari ndefu kukamata nchi.
tatu nikiri kuchukizwa na kukosekana kwa wabunge wa upinzani bungeni kama taifa tuliteleza na ni kosa ambalo hata CCM wanalijua na halitojirudia.
KWENYE MADA.
leo MBOWE anakabiliwa na kesi ugaidi lakini ni ukweli kwamba hii kesi haina mashiko na hakuna ugaidi wa aina hii na ninachojua mimi (mimi) kitengo cha ugaidi (CT) hakifanyi kazi kwa staili hii (wachache watanielewa) na kama kingefanya kazi kwa stail hii TANZANIA lingekua lango la magaidi.
CT wana ramani zao, mipaka yao, uongozi wao, safari zao, wahisiwa wao, watuhumiwa wao, mawasiliano yao, selo zao, silaha zao na mengine mengi ambayo hayawezi kuwa wazi kama huu upuuzi unaoendelea.
watanzania, CCM, raisi SAMIA, wabunge, mawaziri, viongozi wa dini n.k kuna siku MBOWE atakufa je tutaongea nini katika msiba wake??
je spika wa bunge utatoa taarifa gani kuhusu mbowe??
viongozi CCM katika mazishi mtavaa sare gani na mtatoa hotuba gani??
MAMA SAMIA kama utaenda msibani utawaambia nini watanzania na familia ya mbowe kwa kipindi hicho??
CHADEMA mtatoa hotuba ya aina gani siku hiyo.??
je serikali itatoa mchango gani katika mazishi yake???
binadamu huzaliwa na mwisho wake ni kufa hata MBOWE atakufa niliowataja fikirieni hili maana siku yaja.
MWISHO:
SIKU HIYO TUTAKUA WANAFIKI TULIOPITILIZA.
HAhahaha[emoji23] hii ni kwa ajiri ya mbowe au?
Mungu anajua nia yake ilivyokua ovu sasa wewe hapo unamhangaikiana vifungu vya biblia?
Alisababisha kifo cha chacha wangwe na aqwilina na wengine huko arusha kwa vibomu vyake na wengine wakawa vilema.
Usimjalibu mungu kwenye mambo ya kishetani bwashee.