IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Ndio mshahara wake wa kujipendekeza.
Na inawezekana wanacheza ngoma moja tu.
Hayupo Aggressive kama mpinzani.
Kama Lisu
Kama Mtikila.
 
Kama baba na mama zako watakavyokufa..............
 

Mbowe hafi leo wala kesho acha kuweweseka
 
mwenyw unajiona kichwa kwer kwer,huka ukisubr ugali kwa shemejio
 
Ila hao ndio CCM tone la aibu Hawa a pale yalipo maslahi Yao na pale wanapotetea maslahi Yao wanayo amini au waliyo aminishwa. Unafiki kwao ni kawaida, uonevu, kufurahia uovu, na kushiriki uovu kwao no kawaida Sana.mafisi hawathaminiani kudhulumu, kudhulumiana kwao haiwasumbui. 🐆🐅.
 
Dr.Omari Ally Juma aliondoka kwa staili gani???kama lengo ni uhai wa Mbowe kwanini wasifanye kama walivofanya mwanzo???Ngonjera za nini??KULIKO KUIAIBISHA MAHAKAMA FANYENI MLICHOKUSUDIA TU!!
 
Wanaccm watakaohudhuria watafukuzwa uanachama kama wale waliotumbuliwa baada ya kumtembelea Lissu hospitali.
 
Umechanganyikiwa
 
Kwa ajir ndio nn we nguchiro?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…