IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

HABARI...

kwanza nikiri mara yangu ya kwanza kupiga kura ni 2020 na niliwapa CCM..

pili nikiri maovu yote ya uchaguzi nayafahamu na kuyafurahia (upande wa nafasi ya uraisi) maana upinzani bado unasafari ndefu kukamata nchi.

tatu nikiri kuchukizwa na kukosekana kwa wabunge wa upinzani bungeni kama taifa tuliteleza na ni kosa ambalo hata CCM wanalijua na halitojirudia.

KWENYE MADA.
leo MBOWE anakabiliwa na kesi ugaidi lakini ni ukweli kwamba hii kesi haina mashiko na hakuna ugaidi wa aina hii na ninachojua mimi (mimi) kitengo cha ugaidi (CT) hakifanyi kazi kwa staili hii (wachache watanielewa) na kama kingefanya kazi kwa stail hii TANZANIA lingekua lango la magaidi.

CT wana ramani zao, mipaka yao, uongozi wao, safari zao, wahisiwa wao, watuhumiwa wao, mawasiliano yao, selo zao, silaha zao na mengine mengi ambayo hayawezi kuwa wazi kama huu upuuzi unaoendelea.

watanzania, CCM, raisi SAMIA, wabunge, mawaziri, viongozi wa dini n.k kuna siku MBOWE atakufa je tutaongea nini katika msiba wake??

je spika wa bunge utatoa taarifa gani kuhusu mbowe??

viongozi CCM katika mazishi mtavaa sare gani na mtatoa hotuba gani??

MAMA SAMIA kama utaenda msibani utawaambia nini watanzania na familia ya mbowe kwa kipindi hicho??

CHADEMA mtatoa hotuba ya aina gani siku hiyo.??

je serikali itatoa mchango gani katika mazishi yake???


binadamu huzaliwa na mwisho wake ni kufa hata MBOWE atakufa niliowataja fikirieni hili maana siku yaja.

MWISHO:

SIKU HIYO TUTAKUA WANAFIKI TULIOPITILIZA.
Kufa ni binadam yeyote hata wewe utakufa, ila usilazimishe A kua B ,nawonyeni Kama Mungu haishivyo Kama mmzoea huo mchezo na mmenogewa hacha Mara MOJA,
 
HABARI...

kwanza nikiri mara yangu ya kwanza kupiga kura ni 2020 na niliwapa CCM..

pili nikiri maovu yote ya uchaguzi nayafahamu na kuyafurahia (upande wa nafasi ya uraisi) maana upinzani bado unasafari ndefu kukamata nchi.

tatu nikiri kuchukizwa na kukosekana kwa wabunge wa upinzani bungeni kama taifa tuliteleza na ni kosa ambalo hata CCM wanalijua na halitojirudia.

KWENYE MADA.
leo MBOWE anakabiliwa na kesi ugaidi lakini ni ukweli kwamba hii kesi haina mashiko na hakuna ugaidi wa aina hii na ninachojua mimi (mimi) kitengo cha ugaidi (CT) hakifanyi kazi kwa staili hii (wachache watanielewa) na kama kingefanya kazi kwa stail hii TANZANIA lingekua lango la magaidi.

CT wana ramani zao, mipaka yao, uongozi wao, safari zao, wahisiwa wao, watuhumiwa wao, mawasiliano yao, selo zao, silaha zao na mengine mengi ambayo hayawezi kuwa wazi kama huu upuuzi unaoendelea.

watanzania, CCM, raisi SAMIA, wabunge, mawaziri, viongozi wa dini n.k kuna siku MBOWE atakufa je tutaongea nini katika msiba wake??

je spika wa bunge utatoa taarifa gani kuhusu mbowe??

viongozi CCM katika mazishi mtavaa sare gani na mtatoa hotuba gani??

MAMA SAMIA kama utaenda msibani utawaambia nini watanzania na familia ya mbowe kwa kipindi hicho??

CHADEMA mtatoa hotuba ya aina gani siku hiyo.??

je serikali itatoa mchango gani katika mazishi yake???


binadamu huzaliwa na mwisho wake ni kufa hata MBOWE atakufa niliowataja fikirieni hili maana siku yaja.

MWISHO:

SIKU HIYO TUTAKUA WANAFIKI TULIOPITILIZA.
Wewe huwafahamu viongozi wa nchi hii wewe hata wale wanaomsema vibaya watajititumua sanaa oo ni kiongozi ooo sijui kila lilo jema
 
Umeandika upuuzi mtupu.Unaujua ugaidi? Mbona haujauliza wale ambao wangekufa ama kuathirika kutokana ugaidi huo vipi Mbowe angesema nini kwenye msiba wao? Au wao sio watu? Yaani uhalifu uachwe kisa kulinda mahusiano ya watu?? Una akili sawa?
 
Ndio mshahara wake wa kujipendekeza.
Na inawezekana wanacheza ngoma moja tu.
Hayupo Aggressive kama mpinzani.
Kama Lisu
Kama Mtikila.
Mbowe hajipendekezi ila ni moderate na hiyo ni muhimu ukiwa mwenyekiti. Unahitaji busara na utulivu kwenye maamuzi magumu ila ukiwa na jazba utajikuta unafanya makosa kwa kukurupuka.

Kuna wakati diplomasia ni muhimu kuliko activism. Kwahiyo kuchanganya watu wa aina tofauti kwenye chama ni muhimu otherwise chama kingeshakufa enzi za JPM
 
Sa
Hutaki wapinzani wakae ikulu lakini unawaamini wawepo bungeni, uko sawa kweli kichwani?

Yani unawaamini wapinzani wakatunge sheria bungeni, lakini ile kazi nyepesi ya kuwepo ikulu yenye wasaidizi wa kila aina huwaamini kama wanaweza kuifanya vizuri!
sasa T Lisu na G Lema wana aminika kweli?
Ni bora hata ya msigwa.
Lakini wale wawili ni wachumia tumbo
Hawawezi peqa ikuru.
 
HABARI...

kwanza nikiri mara yangu ya kwanza kupiga kura ni 2020 na niliwapa CCM..

pili nikiri maovu yote ya uchaguzi nayafahamu na kuyafurahia (upande wa nafasi ya uraisi) maana upinzani bado unasafari ndefu kukamata nchi.

tatu nikiri kuchukizwa na kukosekana kwa wabunge wa upinzani bungeni kama taifa tuliteleza na ni kosa ambalo hata CCM wanalijua na halitojirudia.

KWENYE MADA.
leo MBOWE anakabiliwa na kesi ugaidi lakini ni ukweli kwamba hii kesi haina mashiko na hakuna ugaidi wa aina hii na ninachojua mimi (mimi) kitengo cha ugaidi (CT) hakifanyi kazi kwa staili hii (wachache watanielewa) na kama kingefanya kazi kwa stail hii TANZANIA lingekua lango la magaidi.

CT wana ramani zao, mipaka yao, uongozi wao, safari zao, wahisiwa wao, watuhumiwa wao, mawasiliano yao, selo zao, silaha zao na mengine mengi ambayo hayawezi kuwa wazi kama huu upuuzi unaoendelea.

watanzania, CCM, raisi SAMIA, wabunge, mawaziri, viongozi wa dini n.k kuna siku MBOWE atakufa je tutaongea nini katika msiba wake??

je spika wa bunge utatoa taarifa gani kuhusu mbowe??

viongozi CCM katika mazishi mtavaa sare gani na mtatoa hotuba gani??

MAMA SAMIA kama utaenda msibani utawaambia nini watanzania na familia ya mbowe kwa kipindi hicho??

CHADEMA mtatoa hotuba ya aina gani siku hiyo.??

je serikali itatoa mchango gani katika mazishi yake???


binadamu huzaliwa na mwisho wake ni kufa hata MBOWE atakufa niliowataja fikirieni hili maana siku yaja.

MWISHO:

SIKU HIYO TUTAKUA WANAFIKI TULIOPITILIZA.
Kama CT ipo Tanzania basi ama imepoa au wamewekewa mipaka madhubuti.

Hiki kitengo ndio chanzo cha kuzorota amani Nigeria, Kenya, Somalia n.k. Tuzidi kuomba kisipewe nguvu hapa Bongo kwa maana ya rasilimali fedha za kutosha. Sote tutatafutana. Umojq wetu kama taifa utakua mashakani
 
Kama CT ipo Tanzania basi ama imepoa au wamewekewa mipaka madhubuti.

Hiki kitengo ndio chanzo cha kuzorota amani Nigeria, Kenya, Somalia n.k. Tuzidi kuomba kisipewe nguvu hapa Bongo kwa maana ya rasilimali fedha za kutosha. Sote tutatafutana. Umojq wetu kama taifa utakua mashakani
kipo na kinafanya kazi usiku na mchana na kila sehemu wapo......
 
HABARI...

kwanza nikiri mara yangu ya kwanza kupiga kura ni 2020 na niliwapa CCM..

pili nikiri maovu yote ya uchaguzi nayafahamu na kuyafurahia (upande wa nafasi ya uraisi) maana upinzani bado unasafari ndefu kukamata nchi.

tatu nikiri kuchukizwa na kukosekana kwa wabunge wa upinzani bungeni kama taifa tuliteleza na ni kosa ambalo hata CCM wanalijua na halitojirudia.

KWENYE MADA.
leo MBOWE anakabiliwa na kesi ugaidi lakini ni ukweli kwamba hii kesi haina mashiko na hakuna ugaidi wa aina hii na ninachojua mimi (mimi) kitengo cha ugaidi (CT) hakifanyi kazi kwa staili hii (wachache watanielewa) na kama kingefanya kazi kwa stail hii TANZANIA lingekua lango la magaidi.

CT wana ramani zao, mipaka yao, uongozi wao, safari zao, wahisiwa wao, watuhumiwa wao, mawasiliano yao, selo zao, silaha zao na mengine mengi ambayo hayawezi kuwa wazi kama huu upuuzi unaoendelea.

watanzania, CCM, raisi SAMIA, wabunge, mawaziri, viongozi wa dini n.k kuna siku MBOWE atakufa je tutaongea nini katika msiba wake??

je spika wa bunge utatoa taarifa gani kuhusu mbowe??

viongozi CCM katika mazishi mtavaa sare gani na mtatoa hotuba gani??

MAMA SAMIA kama utaenda msibani utawaambia nini watanzania na familia ya mbowe kwa kipindi hicho??

CHADEMA mtatoa hotuba ya aina gani siku hiyo.??

je serikali itatoa mchango gani katika mazishi yake???


binadamu huzaliwa na mwisho wake ni kufa hata MBOWE atakufa niliowataja fikirieni hili maana siku yaja.

MWISHO:

SIKU HIYO TUTAKUA WANAFIKI TULIOPITILIZA.
Pole sana kwa kuongea kwa uchungu na angalu ka ukweli.

Lkn cdm hawawezi kusumbua akili zao kwa kukosa la kusema kwenye msiba wa mh Mbowe.
 
Vile wanamuita gaidi na kumshitaki kwa ugaidi je akifa watasema Ni gaidi amekufa?.au watakuwa wanafiki wa alikuwa mtu mzuri na mwema, mwanasiasa mvumilivu,tuna kitu ametuachia Cha kujifunza. Hiki ndicho alichomaanisha mleta mada. Na ndiyo maana anakiri alikosea kwa kufurahia dhulma ya uchaguzi.
 
je spika wa bunge utatoa taarifa gani kuhusu mbowe??

viongozi CCM katika mazishi mtavaa sare gani na mtatoa hotuba gani??

MAMA SAMIA kama utaenda msibani utawaambia nini watanzania na familia ya mbowe kwa kipindi hicho??
Umejuaje kama samia na jobo hawatamtangulia mbowe kufa? au mmeshapanga kummaliza?
 
Back
Top Bottom