Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufa ni binadam yeyote hata wewe utakufa, ila usilazimishe A kua B ,nawonyeni Kama Mungu haishivyo Kama mmzoea huo mchezo na mmenogewa hacha Mara MOJA,HABARI...
kwanza nikiri mara yangu ya kwanza kupiga kura ni 2020 na niliwapa CCM..
pili nikiri maovu yote ya uchaguzi nayafahamu na kuyafurahia (upande wa nafasi ya uraisi) maana upinzani bado unasafari ndefu kukamata nchi.
tatu nikiri kuchukizwa na kukosekana kwa wabunge wa upinzani bungeni kama taifa tuliteleza na ni kosa ambalo hata CCM wanalijua na halitojirudia.
KWENYE MADA.
leo MBOWE anakabiliwa na kesi ugaidi lakini ni ukweli kwamba hii kesi haina mashiko na hakuna ugaidi wa aina hii na ninachojua mimi (mimi) kitengo cha ugaidi (CT) hakifanyi kazi kwa staili hii (wachache watanielewa) na kama kingefanya kazi kwa stail hii TANZANIA lingekua lango la magaidi.
CT wana ramani zao, mipaka yao, uongozi wao, safari zao, wahisiwa wao, watuhumiwa wao, mawasiliano yao, selo zao, silaha zao na mengine mengi ambayo hayawezi kuwa wazi kama huu upuuzi unaoendelea.
watanzania, CCM, raisi SAMIA, wabunge, mawaziri, viongozi wa dini n.k kuna siku MBOWE atakufa je tutaongea nini katika msiba wake??
je spika wa bunge utatoa taarifa gani kuhusu mbowe??
viongozi CCM katika mazishi mtavaa sare gani na mtatoa hotuba gani??
MAMA SAMIA kama utaenda msibani utawaambia nini watanzania na familia ya mbowe kwa kipindi hicho??
CHADEMA mtatoa hotuba ya aina gani siku hiyo.??
je serikali itatoa mchango gani katika mazishi yake???
binadamu huzaliwa na mwisho wake ni kufa hata MBOWE atakufa niliowataja fikirieni hili maana siku yaja.
MWISHO:
SIKU HIYO TUTAKUA WANAFIKI TULIOPITILIZA.
Kama anajisema mwenyewe hana akili, hata akielekezwa huko dukani atafikaje wakati ili uelewe directions inahitajika akili?!Ningejua duka linalouza akili ningekushauri ukanunue.
Wewe huwafahamu viongozi wa nchi hii wewe hata wale wanaomsema vibaya watajititumua sanaa oo ni kiongozi ooo sijui kila lilo jemaHABARI...
kwanza nikiri mara yangu ya kwanza kupiga kura ni 2020 na niliwapa CCM..
pili nikiri maovu yote ya uchaguzi nayafahamu na kuyafurahia (upande wa nafasi ya uraisi) maana upinzani bado unasafari ndefu kukamata nchi.
tatu nikiri kuchukizwa na kukosekana kwa wabunge wa upinzani bungeni kama taifa tuliteleza na ni kosa ambalo hata CCM wanalijua na halitojirudia.
KWENYE MADA.
leo MBOWE anakabiliwa na kesi ugaidi lakini ni ukweli kwamba hii kesi haina mashiko na hakuna ugaidi wa aina hii na ninachojua mimi (mimi) kitengo cha ugaidi (CT) hakifanyi kazi kwa staili hii (wachache watanielewa) na kama kingefanya kazi kwa stail hii TANZANIA lingekua lango la magaidi.
CT wana ramani zao, mipaka yao, uongozi wao, safari zao, wahisiwa wao, watuhumiwa wao, mawasiliano yao, selo zao, silaha zao na mengine mengi ambayo hayawezi kuwa wazi kama huu upuuzi unaoendelea.
watanzania, CCM, raisi SAMIA, wabunge, mawaziri, viongozi wa dini n.k kuna siku MBOWE atakufa je tutaongea nini katika msiba wake??
je spika wa bunge utatoa taarifa gani kuhusu mbowe??
viongozi CCM katika mazishi mtavaa sare gani na mtatoa hotuba gani??
MAMA SAMIA kama utaenda msibani utawaambia nini watanzania na familia ya mbowe kwa kipindi hicho??
CHADEMA mtatoa hotuba ya aina gani siku hiyo.??
je serikali itatoa mchango gani katika mazishi yake???
binadamu huzaliwa na mwisho wake ni kufa hata MBOWE atakufa niliowataja fikirieni hili maana siku yaja.
MWISHO:
SIKU HIYO TUTAKUA WANAFIKI TULIOPITILIZA.
Ingekuwa inakwenda unavyotaka ungeifuatilia. Ndio mlivyo nyie makamanda uchwara.
Aisee tumshike mkono.Kama anajisema mwenyewe hana akili, hata akielekezwa huko dukani atafikaje wakati ili uelewe directions inahitajika akili?!
Anaogopa sana Katiba mpya/Tume huru iliyo bora kutokana na makosa makubwa aliyokwisha wafanyia watz. Mwache aongee sana lakini Katiba mpya haikwepekiAmeshasema ambaye maisha yamemshinda aende kuandamana pale mahakamani atapigwa mpaka achakae
Laana inamtafuna hachana naye mkuuWewe huwafahamu viongozi wa nchi hii wewe hata wale wanaomsema vibaya watajititumua sanaa oo ni kiongozi ooo sijui kila lilo jema
Mbowe hajipendekezi ila ni moderate na hiyo ni muhimu ukiwa mwenyekiti. Unahitaji busara na utulivu kwenye maamuzi magumu ila ukiwa na jazba utajikuta unafanya makosa kwa kukurupuka.Ndio mshahara wake wa kujipendekeza.
Na inawezekana wanacheza ngoma moja tu.
Hayupo Aggressive kama mpinzani.
Kama Lisu
Kama Mtikila.
sasa T Lisu na G Lema wana aminika kweli?Hutaki wapinzani wakae ikulu lakini unawaamini wawepo bungeni, uko sawa kweli kichwani?
Yani unawaamini wapinzani wakatunge sheria bungeni, lakini ile kazi nyepesi ya kuwepo ikulu yenye wasaidizi wa kila aina huwaamini kama wanaweza kuifanya vizuri!
😅😅Ningejua duka linalouza akili ningekushauri ukanunue.
Kama CT ipo Tanzania basi ama imepoa au wamewekewa mipaka madhubuti.HABARI...
kwanza nikiri mara yangu ya kwanza kupiga kura ni 2020 na niliwapa CCM..
pili nikiri maovu yote ya uchaguzi nayafahamu na kuyafurahia (upande wa nafasi ya uraisi) maana upinzani bado unasafari ndefu kukamata nchi.
tatu nikiri kuchukizwa na kukosekana kwa wabunge wa upinzani bungeni kama taifa tuliteleza na ni kosa ambalo hata CCM wanalijua na halitojirudia.
KWENYE MADA.
leo MBOWE anakabiliwa na kesi ugaidi lakini ni ukweli kwamba hii kesi haina mashiko na hakuna ugaidi wa aina hii na ninachojua mimi (mimi) kitengo cha ugaidi (CT) hakifanyi kazi kwa staili hii (wachache watanielewa) na kama kingefanya kazi kwa stail hii TANZANIA lingekua lango la magaidi.
CT wana ramani zao, mipaka yao, uongozi wao, safari zao, wahisiwa wao, watuhumiwa wao, mawasiliano yao, selo zao, silaha zao na mengine mengi ambayo hayawezi kuwa wazi kama huu upuuzi unaoendelea.
watanzania, CCM, raisi SAMIA, wabunge, mawaziri, viongozi wa dini n.k kuna siku MBOWE atakufa je tutaongea nini katika msiba wake??
je spika wa bunge utatoa taarifa gani kuhusu mbowe??
viongozi CCM katika mazishi mtavaa sare gani na mtatoa hotuba gani??
MAMA SAMIA kama utaenda msibani utawaambia nini watanzania na familia ya mbowe kwa kipindi hicho??
CHADEMA mtatoa hotuba ya aina gani siku hiyo.??
je serikali itatoa mchango gani katika mazishi yake???
binadamu huzaliwa na mwisho wake ni kufa hata MBOWE atakufa niliowataja fikirieni hili maana siku yaja.
MWISHO:
SIKU HIYO TUTAKUA WANAFIKI TULIOPITILIZA.
kipo na kinafanya kazi usiku na mchana na kila sehemu wapo......Kama CT ipo Tanzania basi ama imepoa au wamewekewa mipaka madhubuti.
Hiki kitengo ndio chanzo cha kuzorota amani Nigeria, Kenya, Somalia n.k. Tuzidi kuomba kisipewe nguvu hapa Bongo kwa maana ya rasilimali fedha za kutosha. Sote tutatafutana. Umojq wetu kama taifa utakua mashakani
Pole sana kwa kuongea kwa uchungu na angalu ka ukweli.HABARI...
kwanza nikiri mara yangu ya kwanza kupiga kura ni 2020 na niliwapa CCM..
pili nikiri maovu yote ya uchaguzi nayafahamu na kuyafurahia (upande wa nafasi ya uraisi) maana upinzani bado unasafari ndefu kukamata nchi.
tatu nikiri kuchukizwa na kukosekana kwa wabunge wa upinzani bungeni kama taifa tuliteleza na ni kosa ambalo hata CCM wanalijua na halitojirudia.
KWENYE MADA.
leo MBOWE anakabiliwa na kesi ugaidi lakini ni ukweli kwamba hii kesi haina mashiko na hakuna ugaidi wa aina hii na ninachojua mimi (mimi) kitengo cha ugaidi (CT) hakifanyi kazi kwa staili hii (wachache watanielewa) na kama kingefanya kazi kwa stail hii TANZANIA lingekua lango la magaidi.
CT wana ramani zao, mipaka yao, uongozi wao, safari zao, wahisiwa wao, watuhumiwa wao, mawasiliano yao, selo zao, silaha zao na mengine mengi ambayo hayawezi kuwa wazi kama huu upuuzi unaoendelea.
watanzania, CCM, raisi SAMIA, wabunge, mawaziri, viongozi wa dini n.k kuna siku MBOWE atakufa je tutaongea nini katika msiba wake??
je spika wa bunge utatoa taarifa gani kuhusu mbowe??
viongozi CCM katika mazishi mtavaa sare gani na mtatoa hotuba gani??
MAMA SAMIA kama utaenda msibani utawaambia nini watanzania na familia ya mbowe kwa kipindi hicho??
CHADEMA mtatoa hotuba ya aina gani siku hiyo.??
je serikali itatoa mchango gani katika mazishi yake???
binadamu huzaliwa na mwisho wake ni kufa hata MBOWE atakufa niliowataja fikirieni hili maana siku yaja.
MWISHO:
SIKU HIYO TUTAKUA WANAFIKI TULIOPITILIZA.
Kwa jina la Yesu aliyehai Mbowe hatakufa bali ataishi na kuyatenda matendo makuu ya Bwana Yesu Kristo.HABARI...
kwanza nikiri mara yangu ya kwanza kupiga kura ni 2020 na niliwapa CCM...
Umejuaje kama samia na jobo hawatamtangulia mbowe kufa? au mmeshapanga kummaliza?je spika wa bunge utatoa taarifa gani kuhusu mbowe??
viongozi CCM katika mazishi mtavaa sare gani na mtatoa hotuba gani??
MAMA SAMIA kama utaenda msibani utawaambia nini watanzania na familia ya mbowe kwa kipindi hicho??
Hata usemeje haimsaidii Mwamba huko lupango.kubwa la MAZUZU