IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Unajua wagonjwa waliopona ni wale walioamini kuwa wanaumwa, wakakubali matibabu na mwisho wakapona, sasa wewe mkundugu yangu hujaamini kama unaumwa hivyo ni ngumu kupona!

Ili upone kubali kuwa unaumwa!
 
Vipi bado ukiona mbwa unalia we mavi??? Itakuwa uliwahi kupigwa miti ulipokuwa mtoto we fala ndio maana unaleta thread za kishogashoga pumbavu zako.
 
Nilipoona tu umeandika jina Mungu kwa kuanza na herufi ndogo, nikajua kuna nuts zinamiss upstairs, no wonder umeandika utumbo
 
Vipi bado ukiona mbwa unalia we mavi??? Itakuwa uliwahi kupigwa miti ulipokuwa mtoto we fala ndio maana unaleta thread za kishogashoga pumbavu zako.
Punguza munkali mkuu, yeye alisha declare kuwa huenda dishi limeyumba sasa ukimpa makali anaeza ehuka zaidi yaani kichaa kinaweza kusoma maximum crazy obidient !
 
#zeeShoga
 
Pamoja na mambo yoote boss wangu ukiwa unaandika jina la Mungu anza na herufi kubwa plz. Mpe haki yake tu hata kama humpendi.
 
Mbowe anaweza awe kweli alikua anapanga ugaidi ... LAKINI KWA USHAHIDI WANAOUTOA hata jaji angukua SIRRO hawamuweki ndani
Historia inaonyesha kuwa Maluteni/Kanali ndiyo waongoza mapinduzi. Sasa hao makomandoo na Luten Urio duh! But I think, kama ni kweli,FAM alikuwa at next level as JPM rule was incredible
 
Nilipoona tu umeandika jina Mungu kwa kuanza na herufi ndogo, nikajua kuna nuts zinamiss upstairs, no wonder umeandika utumbo
Kuna thread nyingine ameandika anasema akiona mbwa anajikuta analia. Huyu ni kichaa
 
Kuongea kwa kujiamini haimaanishi ndio ukweli wenyewe. Hakuna kesi, ilikuwa ni kupoteza muda tu
 
Mtu kama huyu hafai kuaminiwa hata kwa nafasi ya mjumbe wa nyumba 10 🙄
 

Bwana zandrano eeeh, unakwitwa huku ndugu yetu ...!

Si wajua ndugu ni ndugu tu hata kama ni zezeta?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…