IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Nimeshangaa Mbatia anasema eti hii kesi ya awamu ya Tano hivo iachwe tu huku kasahau kuwa walishadidia sana kesi ya Sabaya ambayo nayo ni ya awamu ya Tano.
Yaani kifupi wapinzani ndo wanajiona wanastahili immunity juu ya wengine wote mawazo ya ajabu kabisa.
 
Mbowe sio gaidi..
Kudai katiba mpya ndiko kulikomsababishia yote haya.

Msiwafanye watanzania wajinga

Kama hujui, hili la Mbowe sio lake peke yake na chadema. Bali mmetukosea watanzaia wote. Mmepewa madaraka mtuletee maendeleo badala yake mnatuletea mazingaombwe
Sasa mkuu unapambanaje na mtu asiyejua hata kuandika kitu kikaeleweka???,utapata ugonjwa wa moyo bure ndugu yangu 🤣 🤣 🤣
 
View attachment 1877322
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe


IGP Simon Sirro leo Agost 2,2021 amefanya mkutano na Waandishi wa Habari ambapo amezungumza mbalimbali kuhusu kukamatwa na Mwenyekiti wa Chadema pamoja na vuguvugu la kutaka kufanya maandamano. Akiwa katika mkutano huo SIrro alisema yafuatayo:

“CHADEMA wanaona Mwenyekiti wao (Mbowe) ameonewa na wanasema hawezi kuwa hivyo wanamuona ni Malaika hawezi kufanya kosa”

“Kabla ya Uchaguzi nilisema kuna Watu wamepanga kuhakikisha Uchaguzi haufanyiki, nilisema kuna baadhi ya Watu wamepanga kulipua visima vya mafuta na kufanya mauaji ya Viongozi na nilisema tutawakamata kabla hawajafanya hivyo”

“Tuliwakamata kabla, hayo ya Mwenyekiti wao (Mbowe) sitaki kuzungumzia sana lipo Mahakama ila wajue yeye ni Binadamu kama Binadamu wengine na anaweza kufanya kosa tumempeleka Mahakamani tuache Mahakama itimize wajibu wake”

“Kama kweli ni mkweli Mwenyekiti wao (Mbowe) na anamuamini Mungu waende wamuulize habari hiyo, kuna mambo unaweza kuyafanya kwamba ni siri lakini ndio mana Vyombo vya Habari vipo, niwaombe Watanzania wenzangu usilolijua ni kama usiku wa giza usiingie kwenye mtego ambao hujui aliyeutega ana jambo gani”

“Waende wamuulize huyo Mtu tuliyempeleka Mahakamani (Mbowe) kwamba hili jambo unalijua na kama ni ukweli ana Dini yake na anamjua Yesu Kristo aende aaambiwe, tunamuonea kwa lipi ?, tupate nini?, tuna ushahidi wa kutosha tuache Mahakama iamue, kafanya Yes hakufanya Yes lakini habari ya kikundi cha Watu kusema tunataka kuandamana wewe ni nani Bro!? hiyo nafasi hauna”

Awaonya Wanaotaka kuandamana
“Niwaombe Watanzania tuache wale Watu wachache ambao wanataka kupambana na Serikali wapambane nayo labda wana sababu zake lakini Mtu wenye hekima na busara anielewe, lakini kikubwa kama wameandaa kwenda Canada au Marekani wajiandae ila hatuwezi kuruhusu Watu wachache wavuruge Nchi kwasababu wamekosa madaraka”

“Habari ya kusema mnataka kuandamana mnavunja sheria na ukivunja sheria usilaumu Jeshi, ukivunja sheria umeingia kwenye uhalifu, Sirro hatokuacha na Polisi hawatokuacha na ndio maana wanafanya siasa kwa sababu amani na utulivu upo, Sisi hatufanyi Siasa”

“Niwaombe Watanzania ambao wameambiwa mkusanyike kutoka Mara kutoka wapi sijui na muelewe Mahakamana ni kituo nyeti ni kama Kituo cha Polisi ukitaka kuvamia utakung’utwa kwa mujibu wa sheria sababu umetaka sasa kama kuna Mtu maisha yamemshinda aje ila asije kulalamika, hii kesi iko Mahakamani tuiachie Mahakama iamue”
Ajue kuw kulikuwa na akina gewe, mahita, ernest mangu, saidi mwema, na haruni mahundi. Wote hatuwasikii. Tumeshawasahau. Na yeye tunamsubiri uraiani na anayfanya yatamrudi. Polisi kazi yao kukusanya ushahidi na kupeleka mahakamani siyo kuamua kumconvict mtu. kai ya kuconvict ni ya mahakama baada ya kujiridhisha na ushahidi. Tuamsubiri tu!!!
 
Wasalaam

Kinachoendelea nchini, mvurugano kat ya police vs CHADEMA, tusipokua makini ipo siku itakua vita kati ya wananchi na police, siombei ila natoa angalizo

Amani ya nchi hii ni lulu ya taifa tuilinde, police fanyeni kazi kwa weled na sio kwa maagizo ya kiongozi, jeshi la raia ni kubwa na linanguvu kuliko jeshi la police nadhan hilo halina ubish!

Tupendane, tushikamane, tuwe kitu kimoja , tuilinde aman ya nchi yetu
 
Wasalaam

Kinachoendelea nchini, mvurugano kat ya police vs CHADEMA, tusipokua makini ipo siku itakua vita kati ya wananchi na police, siombei ila natoa angalizo

Amani ya nchi hii ni lulu ya taifa tuilinde, police fanyeni kazi kwa weled na sio kwa maagizo ya kiongozi, jeshi la raia ni kubwa na linanguvu kuliko jeshi la police nadhan hilo halina ubish!

Tupendane, tushikamane, tuwe kitu kimoja , tuilinde aman ya nchi yetu
Waonevu na waache uonevu.
 
Hakuna kitu kama icho ndani ya hii Animals kingdom.
Sahau kabisa
 
Mbowe ni pebari amabaye yeye anajali tumbo lake na biashara zake.

Kwamba ametiwa mikononi mwa wazee hilo tuliachie polisi na mahakama.

Sisi tufikirie namna ya kuhakikisha taifa letu linapambana na uharifu, kujenga shule hospital na ajira za jeshi la polisi.

Nawakilisha kuwa Mbowe sio kama hayati Mtikila.
Kwahiyo tujikite kuwaunga mkono na kuwatetea wauza ubongo pale geti la kijani sio?
 
Mbowe ni pebari amabaye yeye anajali tumbo lake na biashara zake.

Kwamba ametiwa mikononi mwa wazee hilo tuliachie polisi na mahakama.

Sisi tufikirie namna ya kuhakikisha taifa letu linapambana na uharifu, kujenga shule hospital na ajira za jeshi la polisi.

Nawakilisha kuwa Mbowe sio kama hayati Mtikila.
Mkuu "pebari" ndyo nn??

Kwa hali hii unaweza mtetea mtu ikaeleweka kweli??
 
Mbowe ni pebari amabaye yeye anajali tumbo lake na biashara zake.

Kwamba ametiwa mikononi mwa wazee hilo tuliachie polisi na mahakama.

Sisi tufikirie namna ya kuhakikisha taifa letu linapambana na uharifu, kujenga shule hospital na ajira za jeshi la polisi.

Nawakilisha kuwa Mbowe sio kama hayati Mtikila.
Wewe na MATAGA wenzio endeleeni kujenga shule sijui nani aliyezibomoa.!
 
Mbowe ni pebari amabaye yeye anajali tumbo lake na biashara zake.

Kwamba ametiwa mikononi mwa wazee hilo tuliachie polisi na mahakama.

Sisi tufikirie namna ya kuhakikisha taifa letu linapambana na uharifu, kujenga shule hospital na ajira za jeshi la polisi.

Nawakilisha kuwa Mbowe sio kama hayati Mtikila.
Huu mwandiko ni wa Kamanda Asiyechoka . Chuki zako dhidi ya Mbowe tunazijua.
 
Mbowe ni pebari amabaye yeye anajali tumbo lake na biashara zake.

Kwamba ametiwa mikononi mwa wazee hilo tuliachie polisi na mahakama.

Sisi tufikirie namna ya kuhakikisha taifa letu linapambana na uharifu, kujenga shule hospital na ajira za jeshi la polisi.

Nawakilisha kuwa Mbowe sio kama hayati Mtikila.
Nasikitika kuona makongamano ya KATIBA MPYA yamesimama tangu Mh Mbowe akamatwe na wale majambazi kule Mwanza.
 
Kwaiyo ajira za jeshi la polisi umeona ndio jambo la msingi sana kuliko ajira zingne?
Kujenga mashule mengi pasipo kuwa na mitaala na sela zinazoendana na wakati wa sasa napo ni kazi bure.
NB: Sijasema kuwa wasijenge

Ujenzi wa hospital ni jambo la mhimu ila swali ni je huduma itakayo tolewa kwenye hizo hospital zitakizi mahitaji?

Ebu ongeza nyama kwenye uzi wako na ufafanue vizur
 
Mbowe ni pebari amabaye yeye anajali tumbo lake na biashara zake.

Kwamba ametiwa mikononi mwa wazee hilo tuliachie polisi na mahakama.

Sisi tufikirie namna ya kuhakikisha taifa letu linapambana na uharifu, kujenga shule hospital na ajira za jeshi la polisi.

Nawakilisha kuwa Mbowe sio kama hayati Mtikila.
Yeye bepari ila weye chinga, au sio?
 
Mbowe ni pebari amabaye yeye anajali tumbo lake na biashara zake.

Kwamba ametiwa mikononi mwa wazee hilo tuliachie polisi na mahakama.

Sisi tufikirie namna ya kuhakikisha taifa letu linapambana na uharifu, kujenga shule hospital na ajira za jeshi la polisi.

Nawakilisha kuwa Mbowe sio kama hayati Mtikila.
Unajua maana ya mambo ya msingi?
 
Mbowe ni pebari amabaye yeye anajali tumbo lake na biashara zake.

Kwamba ametiwa mikononi mwa wazee hilo tuliachie polisi na mahakama.

Sisi tufikirie namna ya kuhakikisha taifa letu linapambana na uharifu, kujenga shule hospital na ajira za jeshi la polisi.

Nawakilisha kuwa Mbowe sio kama hayati Mtikila.
Wewe hata familia yako haikujadili
 
Back
Top Bottom