IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Mamlaka ya urais ni lazima iwe Safi muda wote siro sio msafi hatakiwi hata kukanyaga ofisi ya Rais ikulu.
Una yaona hayo tu?
Huyu mzee kwanza ni fisadi mkubwa.
Unajua kuwa anamiliki mijengo nchi nzima?
Sirro ana utajiri wa kutisha, akibisha tuorofheshe hapa
 
Modes Niko chini ya miguu msifute Uzi wangu siro anatuharibia taifa tunasema haya kwa uwazi mamlaka zilizo juu yake zichukue hatua.
Kama hakuna kigenge lilichokuwa nyuma yake,itakuwa ni mmojawa wanasgang.
 
Siro anashida gani wewe? Si ulale? Haujapata cha asubuhi? Anawanyima usingizi majizi na majambazi? Ma IGP bora kabisa kuwahi kuwa nao nchi hii ni sirro. Especially suala la ujambazi amelitokomeza kabisa.
Pichani Ni Mwanachama wa @ChademaTz Deus Soka (@DEUSNOWOFFICIA1) Akifanyiwa Ukatili wa hali ya Juu na Jeshi la Police @tanpol kwa kukanyagwa Shingo na Sehemu nyingine za mwili wake kwa tuhuma za Kuvaa T-shert yenye Maandishi ya #KatibaMpya!!
#freeDeus
#freeDeus
#MboweSioGaidi https://t.co/FvdVYvldfr
 
Doa lipi? Hakuna Rais mpumbavu atawatoa wanaolinda utawala wake labda awe mpuuzi kama mtoa mada.

Maza kamatia hapo hapo Hawa si wa kucheka nao
 
Doa lipi? Hakuna Rais mpumbavu atawatoa wanaolinda utawala wake labda awe mpuuzi kama mtoa mada.

Maza kamatia hapo hapo Hawa si wa kucheka nao
Wenye mawazo ya kibambikiaji kama wewe ilifaa usiwe Mtanzania keanu sio desturi zetu.
 
Tunaishauri mamlaka ya uteuzi wa igp siro immulike huyu mtu kwa makini Sana namna anavyolisimamia jeshi hili inatia Shaka ni Kama anaichonganisha serikali na watu wake approval rating a mama imeshuka kwa kiwango Cha kutisha mno lakini ukiangalia kwa undani jeshi la polisi chini ya siro limehusika kwa asilimia Mia.

Kwa mfano tunaweza tukaivumilia MAKATO ya MIAMALA ya simu na tukasema potelea mbali labda faida tutaipata huko kwenye kujengewa barabara vijijini nk tukajipa matumaini hivyo.

Sasa mwenendo wa jeshi la polisi chini ya siro tokea ameteuliwa kuwa igp ni wa hovyo Sana amevuka hata viwango vya mahita swali la kujiuliza taifa linapata faida gani ofisi za chadema zikivunjwa milango na polisi nchi nzima au wanachadema wanapokamatwa na polisi kisa kuendesha mikutano yao ambayo katiba haiwazuii nchi inapata faida gani?

Mbowe anapopewa kesi ya ugaidi taifa linafaidikaje? Infact jeshi la polisi ndio magaidi dhidi ya mbowe.

Mbowe mmeharibu bustani zake za mauwa Sasa mauwa na siasa wapi na wapi? Amekaa kimya.

Mbowe mwaka 2019 mmemuibia mashina ya mitaa kwenye uchaguzi nchi nzima amekaa kimya.

Mbowe kwenye ubunge mmempokonya Jimbo lake na ngome zote za majimbo yake ambayo kwa haki msingeshinda amekaa kimya.

Mbowe viongozi wa chama chake TAL ameshambuliwa na risasi 32 huku 16 zikimuingia mwilini siro amekaa kimya.

Sasa hapa Kati ya siro na mbowe gaidi ninani?

Mh Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan tunakuomba umuondoe siro ili uliponye taifa na angalau urudishe approval rating yako angalau kwa sehemu.

Mama kwa taarifa yako hata development partners hawakuelewi kwasasa kwasababu ya siro.

Mwananchi mtiifu.

Moderator na Maxence Melo nawaomba Sana Sana Sana msifute Wala ku merge Uzi wangu huu Mimi mwananchi wa kawaida Sina pa kutolea kero yangu ikamfikia mh rais moja kwa moja isipokuwa hapa jamiiforum.

Mama muondoe siro.
JamiiForums311365691.jpg
 
Agekuwa gaidi angekuwa ameshakamatwa siku nyingi! Mtu yuko huru hadi anapodai katiba mpya ndiyo mnambabkikizia kosa la ugaidi!!!! Iteligensia yenu iko wapi? Imelala? Mnamtumia salamu za pole gaidi kwa kufiwa na kaka yake? Hivi gaidi mnamjua mnamsikia?

Gaidi yaani terrorist kw lugha za wenzetu? Wikipedia anaidefine kuwa ni "Terrorism is, in the broadest sense, the use of intentional violence to achieve political aims.[1] It is used in this regard primarily to refer to violence during peacetime or in the context of war against non-combatants (mostly civilians and neutralmilitary personnel)."

Mbowe lini alifanya hiyo violence dhidi ya wananchi? Terrorist huuwa wananchi kushinikiza serikali iliyoko madarakani. Kitu wanachofanya boko haram ni mfano mzuri.

Wanaua civilians kuishinikiza serikali ikubaliane na hoja zao. Mbowe kafanya lini hayo? Zaidi upande wa pili ndiyo unaua sana raia. Je tuwaite terrorist?

Siku hizi JF ina mamlaka ya kupokea na kutathimini ushahidi dhidi ya watuhumiwa wa uhalifu?

At the end of the day, Ayatollah Mbowe is presumed innocent till proven guilty! And proving him guilty is none of our business here.
 
Siku hizi JF ina mamlaka ya kupokea na kutathimini ushahidi dhidi ya watuhumiwa wa uhalifu?

At the end of the day, Ayatollah Mbowe is presumed innocent till proven guilty! And proving him guilty is none of our business here.
Kabisa mkuu. Innocent until proven guilty. Na hawataweza kumbambikia!!!!
 
Siliasi Sielewi lengo la wanasiasa wetu.
1. Ivi kusota Rumande kwa mbowe Leo NI kwa maendeleo endelevu ya nchi au Kwa usalama ama kulinda matumbo ya wanaccm.

2. Nimemuona Mbowe na Pingu mikononi ukweli Machozi yamenitoka. Huu NI ukatili wa Hali ya juu.

3. Ukiangalia kesi na ushaidi uliopo inaumiza Sana.

Kama taifa tunaitaji badiliko kubwa Sana kuelekea siasa za haki.
Mungu atujalie wepesi, Tumuombee Sana Mbowe, Kitu anachopitia na mateso anayopata yeye ndie atalipa kwa kadri ya mateso wanayompitisha.

Bora mchawi anayeua tu kuliko kuweka kwenye mateso makali ya mda mrefu familia, mke , watoto, wazazi na watu kibao wanaomtegemea.

Na Kama NI ukweli Basi haki itendeke haraka.

Jk alikuwa na Roho Nzuri Sana. Asingekubali mateso haya yafanyike chini ya utawala wake.
 
Siliasi Sielewi lengo la wanasiasa wetu.
1. Ivi kusota Rumande kwa mbowe Leo NI kwa maendeleo endelevu ya nchi au Kwa usalama ama kulinda matumbo ya wanaccm.

2. Nimemuona Mbowe na Pingu mikononi ukweli Machozi yamenitoka. Huu NI ukatili wa Hali ya juu.

3. Ukiangalia kesi na ushaidi uliopo inaumiza Sana.

Kama taifa tunaitaji badiliko kubwa Sana kuelekea siasa za haki.
Mungu atujalie wepesi, Tumuombee Sana Mbowe, Kitu anachopitia na mateso anayopata yeye ndie atalipa kwa kadri ya mateso wanayompitisha.

Bora mchawi anayeua tu kuliko kuweka kwenye mateso makali ya mda mrefu familia, mke , watoto, wazazi na watu kibao wanaomtegemea.

Na Kama NI ukweli Basi haki itendeke haraka.

Jk alikuwa na Roho Nzuri Sana. Asingekubali mateso haya yafanyike chini ya utawala wake.
Hao na shetani ndugu moja😆😆😆😆
 
Siliasi Sielewi lengo la wanasiasa wetu.
1. Ivi kusota Rumande kwa mbowe Leo NI kwa maendeleo endelevu ya nchi au Kwa usalama ama kulinda matumbo ya wanaccm.

2. Nimemuona Mbowe na Pingu mikononi ukweli Machozi yamenitoka. Huu NI ukatili wa Hali ya juu.

3. Ukiangalia kesi na ushaidi uliopo inaumiza Sana.

Kama taifa tunaitaji badiliko kubwa Sana kuelekea siasa za haki.
Mungu atujalie wepesi, Tumuombee Sana Mbowe, Kitu anachopitia na mateso anayopata yeye ndie atalipa kwa kadri ya mateso wanayompitisha.

Bora mchawi anayeua tu kuliko kuweka kwenye mateso makali ya mda mrefu familia, mke , watoto, wazazi na watu kibao wanaomtegemea.

Na Kama NI ukweli Basi haki itendeke haraka.

Jk alikuwa na Roho Nzuri Sana. Asingekubali mateso haya yafanyike chini ya utawala wake.
Huyu mama Mungu amlaani milele na uzao wake
 
Ukiingia kwenye huo ulingo wa siasa hyo roho unakutana nayo hukohuko
 
Mbowe hakujihurumia mwenyewe anataka nani amhurimie. Alidhan baada ya jiwe kufa anaweza akafanya chochote nchi hii akasahau kua hata paka anaweza badilika akawa zaidi ya chui.
 
Siliasi Sielewi lengo la wanasiasa wetu.
1. Ivi kusota Rumande kwa mbowe Leo NI kwa maendeleo endelevu ya nchi au Kwa usalama ama kulinda matumbo ya wanaccm.

2. Nimemuona Mbowe na Pingu mikononi ukweli Machozi yamenitoka. Huu NI ukatili wa Hali ya juu.

3. Ukiangalia kesi na ushaidi uliopo inaumiza Sana.

Kama taifa tunaitaji badiliko kubwa Sana kuelekea siasa za haki.
Mungu atujalie wepesi, Tumuombee Sana Mbowe, Kitu anachopitia na mateso anayopata yeye ndie atalipa kwa kadri ya mateso wanayompitisha.

Bora mchawi anayeua tu kuliko kuweka kwenye mateso makali ya mda mrefu familia, mke , watoto, wazazi na watu kibao wanaomtegemea.

Na Kama NI ukweli Basi haki itendeke haraka.

Jk alikuwa na Roho Nzuri Sana. Asingekubali mateso haya yafanyike chini ya utawala wake.
Yaani mbona unakuwa biased Sana mkuu. Unadhani ni wangapi wanaosota mahabusu ama wanasingiziwa kesi wakafungwa.
Mbona huwaongelei ama unaona binadamu ni mmoja tu jamani hapa tz.
Usikute hata Kuna ndugu ,rafiki wako wa karibu anasota Ila hujamuongelea Ila huyu .inaonekana labda Kuna kitu alikuwa anakufanya Ila umemisi saivi
 
ni siasa za kukomoana ambazo msingi wake ni chuki... ambazo ukiangalia sana zilianza 2016 hadi leo zinadumu. Mama anaona kama Mh. Mbowe anataka kumkwamisha kwa hiyo anaamua kumuweka karantini kwa muda.

Siasa ni kitu cha ajabu kabisa, unaweza mkana hata nduguyo sababu ya madaraka.
 
Baada ya tukio la jana pale Kawe nikafikia suluhu ya kumsamehe bi mkubwa kwa kila atakachofanya kuanzia leo..
Imagine 'kapangiwa' kazi ambayo ingefanywa na waziri wa utalii au wananchi wenye ushawishi kwenye jamii

Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom