IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.

Mimi binafsi naamini katika haki na haki huwa haipindishwi.

Freeman Mbowe alikuwa na kaka yake ambae alikuwa kanali wa Jwtz. Alipofariki serikali nzima ilienda kumhani. Hii sio justification kuwa hana hatia.

Lakini kwa namna familia yao ilivyo na influence ya kisiasa hapa Tanzania ni wazi kuwa walikuwa wanafuatiliwa kwa kila nyendo zao. Kupatikana na tuhuma za ugaidi baada ya vuguvugu za katiba mpya kupamba moto inatia shaka.

Kesi yake juu ugaidi inaonyesha kuwa kuna mvua zinakuja.

Mvua za mahakama za Tanzania huwa hazitabiriki. Uwe na kosa au hauna kosa zinakunyeshea.

Swali, je mtakenua meno na kufurahi kama mlivyofurahia juu ya Sabaya?


My take: Sabaya alimdhibiti Mbowe Hai mkajenga chuki mbaya sana.
Umeandika nothing but personal feelings. Hakuna fact, hakuna chochote ulichoandika ambacho kinaonyesha sabaya anaonewa.

Hapo mwisho "my take" .. your take is 0. Why? Hiyo sio sababu ya kushtakiwa kwa sabaya.. na wala hai justify matendo ya sabaya.
 
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.

Mimi binafsi naamini katika haki na haki huwa haipindishwi.

Freeman Mbowe alikuwa na kaka yake ambae alikuwa kanali wa Jwtz. Alipofariki serikali nzima ilienda kumhani. Hii sio justification kuwa hana hatia.

Lakini kwa namna familia yao ilivyo na influence ya kisiasa hapa Tanzania ni wazi kuwa walikuwa wanafuatiliwa kwa kila nyendo zao. Kupatikana na tuhuma za ugaidi baada ya vuguvugu za katiba mpya kupamba moto inatia shaka.

Kesi yake juu ugaidi inaonyesha kuwa kuna mvua zinakuja.

Mvua za mahakama za Tanzania huwa hazitabiriki. Uwe na kosa au hauna kosa zinakunyeshea.

Swali, je mtakenua meno na kufurahi kama mlivyofurahia juu ya Sabaya?


My take: Sabaya alimdhibiti Mbowe Hai mkajenga chuki mbaya sana.
Kwani Mbowe kamuumiza mtu? Kesi ya Mbowe inajulikana na kila mwenye akili ni uonevu. Katikati ya kesi unampandisha cheo anayesikiliza kesi na aliyempandisha ndo aliyeshtaki!?
 
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.

Mimi binafsi naamini katika haki na haki huwa haipindishwi.

Freeman Mbowe alikuwa na kaka yake ambae alikuwa kanali wa Jwtz. Alipofariki serikali nzima ilienda kumhani. Hii sio justification kuwa hana hatia.

Lakini kwa namna familia yao ilivyo na influence ya kisiasa hapa Tanzania ni wazi kuwa walikuwa wanafuatiliwa kwa kila nyendo zao. Kupatikana na tuhuma za ugaidi baada ya vuguvugu za katiba mpya kupamba moto inatia shaka.

Kesi yake juu ugaidi inaonyesha kuwa kuna mvua zinakuja.

Mvua za mahakama za Tanzania huwa hazitabiriki. Uwe na kosa au hauna kosa zinakunyeshea.

Swali, je mtakenua meno na kufurahi kama mlivyofurahia juu ya Sabaya?


My take: Sabaya alimdhibiti Mbowe Hai mkajenga chuki mbaya sana.
Naona mnalazimisha kuchanganya maamuzi ya kesi ya Mbowe na Sabaya, mkiamini kabisa hatujui tofauti yake. Kesi ya Sabaya ni mashitaka ya dhahiri tena na mashahidi wa unyama ule wasiotiliwa shaka. Kesi ya Mbowe na ya kubambikizia mmoja wapo wa waliotengeneza hiyo kesi ni Sabaya ambaye leo hii ni mfungwa kwa ushahidi usioacha shaka, chini ya jeshi la polisi linalotumika na serikali kutekeleza unyama. Ndio maana unaona kila jaji sasa anaikimbia kesi hiyo ya Mbowe maana serikali inalazimisha hukumu isiyoendana na ushahidi. Imeisha hiyo.
 
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.

Mimi binafsi naamini katika haki na haki huwa haipindishwi.

Freeman Mbowe alikuwa na kaka yake ambae alikuwa kanali wa Jwtz. Alipofariki serikali nzima ilienda kumhani. Hii sio justification kuwa hana hatia.

Lakini kwa namna familia yao ilivyo na influence ya kisiasa hapa Tanzania ni wazi kuwa walikuwa wanafuatiliwa kwa kila nyendo zao. Kupatikana na tuhuma za ugaidi baada ya vuguvugu za katiba mpya kupamba moto inatia shaka.

Kesi yake juu ugaidi inaonyesha kuwa kuna mvua zinakuja.

Mvua za mahakama za Tanzania huwa hazitabiriki. Uwe na kosa au hauna kosa zinakunyeshea.

Swali, je mtakenua meno na kufurahi kama mlivyofurahia juu ya Sabaya?


My take: Sabaya alimdhibiti Mbowe Hai mkajenga chuki mbaya sana.
Kakae nae gerezani
 
Mtu kakosea sheria inafanya yake mnasema kaonewa Sabaya kaonewa wapi si itifaki imezingatiwa. Aise nanii Mreta mada kuwa makini
 
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.

Mimi binafsi naamini katika haki na haki huwa haipindishwi.

Freeman Mbowe alikuwa na kaka yake ambae alikuwa kanali wa Jwtz. Alipofariki serikali nzima ilienda kumhani. Hii sio justification kuwa hana hatia.

Lakini kwa namna familia yao ilivyo na influence ya kisiasa hapa Tanzania ni wazi kuwa walikuwa wanafuatiliwa kwa kila nyendo zao. Kupatikana na tuhuma za ugaidi baada ya vuguvugu za katiba mpya kupamba moto inatia shaka.

Kesi yake juu ugaidi inaonyesha kuwa kuna mvua zinakuja.

Mvua za mahakama za Tanzania huwa hazitabiriki. Uwe na kosa au hauna kosa zinakunyeshea.

Swali, je mtakenua meno na kufurahi kama mlivyofurahia juu ya Sabaya?


My take: Sabaya alimdhibiti Mbowe Hai mkajenga chuki mbaya sana.
Wanao sikitika kisa Sabaya kufungwa huyo naye atakuwa ni jambazi sugu kama Sabaya.
 
Naona mnalazimisha kuchanganya maamuzi ya kesi ya Mbowe na Sabaya, mkiamini kabisa hatujui tofauti yake. Kesi ya Sabaya ni mashitaka ya dhahiri tena na mashahidi wa unyama ule wasiotiliwa shaka. Kesi ya Mbowe na ya kubambikizia mmoja wapo wa waliotengeneza hiyo kesi ni Sabaya ambaye leo hii ni mfungwa kwa ushahidi usioacha shaka, chini ya jeshi la polisi linalotumika na serikali kutekeleza unyama. Ndio maana unaona kila jaji sasa anaikimbia kesi hiyo ya Mbowe maana serikali inalazimisha hukumu isiyoendana na ushahidi. Imeisha hiyo.
Sabaya alitishia kwa siraha? Alifanya unyang'anyi kwa siraha?
 
Mimi sitaki

Mimi sitaki MBOWE afungwe, nataka ahukumiwe kunyongwa, au kifo Cha kupigwa na bakora Hadi umauti umkute. Kumfunga GAIDI ni kumpendelea.
Au unaonaje Mkuu Idugunde?

Si tutafanya bonge la party sisi makada wa CCM?

Halafu nchi itakuwa imetulia tuliiiii upinzani kwisha kabisa habari yake
Hapo ndiyo nchi yetu uchumi wake utapaa sana na kuwa nchi ya dunia ya kwanza.

Inaonekana Mbowe ndiye anachelewesha uchumi wetu kupaaa kimataifa.
 
Naona mnalazimisha kuchanganya maamuzi ya kesi ya Mbowe na Sabaya, mkiamini kabisa hatujui tofauti yake. Kesi ya Sabaya ni mashitaka ya dhahiri tena na mashahidi wa unyama ule wasiotiliwa shaka. Kesi ya Mbowe na ya kubambikizia mmoja wapo wa waliotengeneza hiyo kesi ni Sabaya ambaye leo hii ni mfungwa kwa ushahidi usioacha shaka, chini ya jeshi la polisi linalotumika na serikali kutekeleza unyama. Ndio maana unaona kila jaji sasa anaikimbia kesi hiyo ya Mbowe maana serikali inalazimisha hukumu isiyoendana na ushahidi. Imeisha hiyo.
Selikali inalazimisha kwani dhalimu bado yupo madarakani?
 
Back
Top Bottom