tatizo corona imeingia Tanzania huku tukiwa tunaelekea ktk uchaguzi mkuu hivyo tusishangae vijembe, kejeli, uzushi n.k hilo ndio Joto la corona +Uchaguzi mkuu 2020=
Sent using Jamii Forums mobile app
kipindi hiki tunapswa kuvumiliana sana kuliko nyakati zilizo pita
Sent using Jamii Forums mobile app
kipindi hiki tunapswa kuvumiliana sana kuliko nyakati zilizo pita