Ila kumchomea mTZ mwenzako kwa watu makatili kama JPM ni zaidi ya uuajiUkatili wangu haufikii wako uliofanya kwa kabendera.
Unasema!?! Sijasikia vizuri! Unasema baba ya muziki? Kwa hiyo Msondo ngoma hauchezei mbali?Ila huyu Chakubanga angepata Corona ukichanganya na hii Baba ya muziki inayomtafuna mdogo mdogo ingependeza zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua uliyoyatenda huu mwaka haupiti kabla hujalala kwa kipimo kilekileMimi ni Mkristu, tunafundishwa usihukumu ili usihukumiwe. Maadam kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake, kama kweli ni mimi, then nitakumiwa, ila pia kumnyooshea kidole na kumtuhumu an innocent kwa mabaya ambayo hakuyatenda, kutapelekea kujichumia dhambi za bure, better be safer sorry!.
P
Una uhakika!?Duh.. !. Kama Corona ingekuwa inachagua, then ni kweli itawamaliza!, but very unfortunately Corona haichagui, hivyo kama ni kuwamaliza, sio kuwamaliza bali kutumaliza!.
Very fortunately so far bado hakuna Maambukizi yoyote ya Corona kwa Tanzania yalilerwa na walio ambukizwa, waathirika wote wa Corona waliambukizwa huko walikotoka na walipoileta kwetu, bado wamebaki hao hao, haijawaambukiza wengine.
P
Numbers don't lie, Tanzania tuna wagonjwa 6, wote wamekuja nayo kutoka huko walikotoka nayo na so far hakuna ambukizo jipya kwa Tanzania.Una uhakika!?
Hiyo 14 days ni incubation period, ukikutana na mwenye virusi ukaambukizwa, ukipimwa rasmi kimaabara, utagundulika ume contract hata kama hujaugua.Sikutegemea comment dhaifu kama hii kutoka kwako aliyekudanganya hakuna aliyeambukizwa nani,dalili zinaonesha baada ya Siku 14 ndio kutatoa majibu huku kitaa.
Kweli wewe PhD....Ukatili wangu haufikii wako uliofanya kwa kabendera.
Paskali heshima yako. Hii kitu ya Kabendera we tulia tu ukubali kufa nayo kama Nape alivyokubali kufa kwa goli la mkono.Mimi ni Mkristu, tunafundishwa usihukumu ili usihukumiwe. Maadam kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake, kama kweli ni mimi, then nitakumiwa, ila pia kumnyooshea kidole na kumtuhumu an innocent kwa mabaya ambayo hakuyatenda, kutapelekea kujichumia dhambi za bure, better be safer sorry!.
P
Kwahiyo kumbe sio ugonjwa mpya umebadilishwa jina tuNadhani hii corona ilikuwepo kitambo na serikali ilitoa taarifa japo haikujua ni ugonjwa gani.
View attachment 1394641View attachment 1394642View attachment 1394643
Sent using Jamii Forums mobile app