AMLIGHT
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 1,140
- 843
Nilidhani tishio la kiafya linapotokea, msemaji huwa ni waziri wa afya... Na ambaye alishasema, hatuwezi kuhandle... Nashangaa intelijensia ya polisi inahusiana vipi na wagonjwa wa mafua wanaoizunguka tz.... Wasisahau, hata china Wuhan alianza mgonjwa mgonjwa mmoja, na sasa imesambaa dunia nzima...
Sisi tushapita hatua hyo, tuna 6 kama sio 8...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tushapita hatua hyo, tuna 6 kama sio 8...
Sent using Jamii Forums mobile app