white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Ile yenye jina la wilaya ambayo mwalimu Nyerere, alipozaliwa?Huyo ni Mtoto wa Sirro anasumbua watu sana mtaani kwa ubabe wake na anavuta bangi hadharani. Muda Mwingi anashinda Chanika kwenye Bar ya Baba yake.
IGP AMESHASHIKA NYAZIFA NYINGI KWA HIYO KUWA NA PESA NYINGI NI KAWAIDA
Hizo ndio biashara rahisi kuzimanage kwa maaskari hazina mambo mengi.Yaani IGP mzima biashara aliyoona ina hadhi yake ni bar?...khaaa.
Alipanga aishi pale, sasa hataki tena.anajenga nyingine mbweni.Ana nyumba mabwepande Mji mpya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Okay ndukule.Lakini si useme tu? Nyani haoni kundule.
Siro ukimwangalia mwonekano wake kimwili utadhani ni mtu wa kuheshimika sana!
Hapana, kuna wakati hata matamshi yake yalionekana kuwa ya mtu mwenye busara.
Haieleweki ni kitu gani hasa kimembadilisha akili kiasi hiki alivyokuwa sasa?
Unajua, inasemekana damu za binaadam zikimwagwa kwa uonevu tu, hazimwachi mtu anayesababisha zimwagike, ni lazima atadhurika tu kwa njia moja au nyingine.
Siro ni mhanga wa umwagaji wa damu za waTanzania ambao hawakustahili kuuliwa au kuumizwa.
Maisha yake ya uhai wake uliosalia yatakuwa ya matatizo tupu.
Unashangaa nini? Huyu kila mkoa anajengewa nyumba na ma rpc na rtoKha[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Mtaje huyo kijana jina lake na baba yake pia mtaje jina mwaga kila kitu tumechoka upuuzi.IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.
Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.
Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.
"Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?". Mwisho wa kunukuu.
IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.
Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu, ukiwemo kupiga watu.
Je, unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.
JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Gody SirroMtaje huyo kijana jina lake na baba yake pia mtaje jina mwaga kila kitu tumechoka upuuzi.
Habari bila picha hainogi. Ingependeza sana kama huu uzi ungeambatana na picha ya huyo "kijana" unayemtuhumu ili sisi members wa JF tujiridhishe kama huyo ni mtoto wa Sirro au la.Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini,
Nyani haoni kundule, anastaafu soon msumeno upo, loading initiatives. Lenana isnt equal heaven.Gody Sirro
Wakituwekea picha itakuwa vizuri sanaWekeni picha ya hilo litoto lake hapa. Kumbe naye ana kimeo halafu anatukana wazazi wengine?
Inasikitisha, mwanae aliwahi kuajiriwa Moshi alisumbua sana ana lewa Moshi mjini na Arusha siku za kazi hadi kazi ikamshinda.Nyani haoni kundule, anastaafu soon msumeno upo, loading initiatives. Lenana isnt equal heaven.
Inaitwaje?Hivi Sirro ile Lodge yake kule tegeta bado ipo?
Hotel au guest house ,mh limeiba Saba ana mshahara gani wa kufanya yote hayo. Dhuluma tupu
Ndiyo milioni 400 za Hamza walizomporaIliyoko Pasiansi? Kumbe ni hotel ya Sirro? Basi kuna ufisadi mahali, huwezi kujenga kwa mshahara wa u IGP!
Inaitwaje hiyo barNlikua juzi pale nkapata supu moja matata ,bar chanika
Uko sahihi kuna limit, huwa tunageuka mbogo!Hamza ni kijana wa kuigwa!!!Angefanya nini kama anaonewa????kama husikilizwi unaonewa utafanyaje?kila binadamu anapoteswa sana hugeuka na kua mnyama!!!!