Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huyu mzee atakufa kifo kibaya sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hicho ni kisingizio cha kutofungua jalada? Kwa taarifa yako, zipo taratibu zinazowezesha polisi kumhoji yeyote mahali popote duniani. Ila hapa kuna mbinu na mikakati ya kutetea maagizo feki ya Magufuli kuzuia uchunguzi, ndio maana vinatolewa visingizio vya ajabu.Kwa nini uhoji jirani wakati mwenye tukio yupo?
Nani mwenye taarifa sahihi kati ya jirani na Lisu?
Kwa hiyo hicho ni kisingizio cha kutofungua jalada? Kwa taarifa yako, zipo taratibu zinazowezesha polisi kumhoji yeyote mahali popote duniani. Ila hapa kuna mbinu na mikakati ya kutetea maagizo feki ya Magufuli kuzuia uchunguzi, ndio maana vinatolewa visingizio vya ajabu.
Kwa hiyo, kama ushahidi wa anayeshambuliwa ni wa lazima, polisi hawafungui jalada kama mlengwa kauwawa?
Huyu mjinga je angekuwa TL marehemu angemuhoji Nani ? Anajitahidi kukwepa kwa hoja za kitoto sanaMkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro amesema kwenye kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 alimpigia simu Lissu ili aje kituo cha polisi amhoji na atoe maelezo ya nini kilitokea hasa aliposhambuliwa kwa risasi jijini Dodoma lakini hakwenda kituo cha polisi hadi leo.
Sirro amesema Tundu Lissu anatumia hilo shambulio kama njia ya kujipatia kipato na kuweza kulelewa na wazungu Ulaya.
Pia, soma: Tundu Lissu: IGP Sirro ni Jeshi la Polisi, hawajawahi kunipigia simu wala kunihoji
View attachment 1849358
Suggest linaishaje kwa mfano[emoji3] [emoji3] [emoji3] Hili tukio la TL nalo ifike wakati liishe na watu wafanye mambo mengine.
Hafai ameua akwilina.IGP aliyeshindwa Kutimiza Majukumu yake Polisi Wampige Risasi Akwilina kwa Mujibu wa Mambosasa Kina Mbowe Washtakiwa kuhusika Jaji Awaondolee Mashtaka kuna IGP hapo
Mbowe hakemei tozo za miamalaHafai ameua akwilina.
Yuko kwenye matangaMbowe hakemei tozo za miamala
Waambie hakuna nchi ambayo imemaliza kila kesi, mambo ni mengi ya kufatiliaWakati tupo kwenye group la watu kutoka mataifa mbali mbali.
Mimi nikawa na jisifu kuhusu usalama wa nchi yetu kuanzia jeshi la wananchi na polisi,japo mengine sijui.!
Ila jamaa kaniuliza swali moja mpaka nimetoka nduki!
Swali:”mbona mpaka sasa waliompiga lissu risasi hawa jawahi kupatikana na upelelezi wowote maana hicho kitendo sio kesi ndogo kwa nchi na mtu mwenye kutambulika serekalini “
[emoji23] mimi nimebaki kimya
Swali:”mbona mpaka sasa waliompiga lissu risasi hawa jawahi kupatikana na upelelezi wowote maana hicho kitendo sio kesi ndogo kwa nchi na mtu mwenye kutambulika serekalini “
[emoji23] mimi nimebaki kimya
Kwa kuonesha wewe ni Mtanzania ungejibu swali kwa swali. Yaani ungemuuliza 'kwenu hakuna mauaji ambayo mpaka leo muuaji hajapatikana?Wakati tupo kwenye group la watu kutoka mataifa mbali mbali.
Mimi nikawa na jisifu kuhusu usalama wa nchi yetu kuanzia jeshi la wananchi na polisi,japo mengine sijui.!
Ila jamaa kaniuliza swali moja mpaka nimetoka nduki!
Swali:”mbona mpaka sasa waliompiga lissu risasi hawa jawahi kupatikana na upelelezi wowote maana hicho kitendo sio kesi ndogo kwa nchi na mtu mwenye kutambulika serekalini “
[emoji23] mimi nimebaki kimya
short and clearwaambie waliompiga risasi ndiyo wanafanya upelelezi.