IGP Sirro: Tunakichunguza Kituo cha Kutetea Haki za Binadamu baada ya kupokea fedha nyingi takriban Tsh. bilioni 6 kutoka nje

Labda kipind hiki wamepokea nying tofaut na wanavyopewaga

Yah may be.. coz 6Billion ni hela ambazo watu binafsi tu wanazo kwenye acc zao sasa kwa taasisi kama hio kuwa Big Deal isingeleta mantiki.

Acha tuone watasemaje baada ya uchunguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…