Uchaguzi 2020 IGP Sirro: Tutawashughulikia walioandaliwa kufanya vurugu

Uchaguzi 2020 IGP Sirro: Tutawashughulikia walioandaliwa kufanya vurugu

Jamaa ni muongo wa kutupa hakuna yeyote yule aliyeandaliwa kufanya vurumai ni kubwabwaja tu na uzushi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema hadi sasa wananchi wengi wamekuwa watulivu licha ya kuwepo kwa baadhi ya watu wachache walioandaliwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa kwa ajili ya kufanya vurugu na kujiingiza kwenye uhalifu.

IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam na kuwataka baadhi ya viongozi kufanya masuala ya siasa na kuacha kuwatumia vijana na kuwaingiza kwenye uhalifu na kwamba yeyote atakayebainika atachukuliwa hatua za kisheria.

Kuhusu upigaji wa kura Zanzibar, IGP Sirro amesema, wapo baadhi ya watu wanaohamasisha baadhi ya watu au kikundi cha watu kuvunja sheria wakati wa zoezi la upigaji kura kinyume cha sheria, kanuni na taratibu zilizopo.
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema hadi sasa wananchi wengi wamekuwa watulivu licha ya kuwepo kwa baadhi ya watu wachache walioandaliwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa kwa ajili ya kufanya vurugu na kujiingiza kwenye uhalifu.

IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam na kuwataka baadhi ya viongozi kufanya masuala ya siasa na kuacha kuwatumia vijana na kuwaingiza kwenye uhalifu na kwamba yeyote atakayebainika atachukuliwa hatua za kisheria.

Kuhusu upigaji wa kura Zanzibar, IGP Sirro amesema, wapo baadhi ya watu wanaohamasisha baadhi ya watu au kikundi cha watu kuvunja sheria wakati wa zoezi la upigaji kura kinyume cha sheria, kanuni na taratibu zilizopo.
the Hague candidate
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Sirro huwezi ku deal na nguvu ya umma.
Wakiiba uchaguzi nguvu ya umma itawahusu.

Wakitaka kucheza na haki zetu katika uchaguzi huu nguvu ya umma itawahusu.

Shida iko wapi? Haki Kwanza.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Naambiwa huu mfumo wa vyama vingi ulipopigiwa kura ili kuona kama utafaa au vipi, wengi waliokuwepo kwenye system waliukataa.
Lakini ukapitishwa kibabe na mzee.

Ukiangalia mwenendo unavyokwenda, utagundua kwakuwa mzee hayupo, na system ndio imebaki, basi system inaendelea kuukataa kistyle yake huku ikijifanya inamuenzi mzee.
Kumbe,duh
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema hadi sasa wananchi wengi wamekuwa watulivu licha ya kuwepo kwa baadhi ya watu wachache walioandaliwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa kwa ajili ya kufanya vurugu na kujiingiza kwenye uhalifu.

IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam na kuwataka baadhi ya viongozi kufanya masuala ya siasa na kuacha kuwatumia vijana na kuwaingiza kwenye uhalifu na kwamba yeyote atakayebainika atachukuliwa hatua za kisheria.

Kuhusu upigaji wa kura Zanzibar, IGP Sirro amesema, wapo baadhi ya watu wanaohamasisha baadhi ya watu au kikundi cha watu kuvunja sheria wakati wa zoezi la upigaji kura kinyume cha sheria, kanuni na taratibu zilizopo.
hekaya za kaboka mchizi, amshughulikie shaka Kheri , mpwa wa Jiwe ndiye anahubiri kila siku chuki na uchochezi
 
Mimi sina chama lakini namiomba IGP atazame upya wanaoshusha bendera za wenzao kwani huu ni uanzilishi wa fujo.
Huyu IGP Sifuri ni sifuri kweli.
Wanaoshusha bendera,wanachama picha za Jiwe,wanaoongea kisukuma kwenye kampeni,mauaji ya kiongozi wa upinzani huko Singida,wanachoma ofisi za CHADEMA huko Arusha...nk nk hawaoni ila anaona maruerue tu na ndiyo anayoyaongelea hapa...
Kweli huyu mzee ni Sifuri kama jina lake lilivyo
 
Amemchukulia hatua gani OCD wa Hai?
Pia wake wa Ifakara,Kule Nyamongo na kwingine ambapo sijakuwa na taatifa, mwenye taarifa ajitolee kunijuza tafadhali kwa ajili ya kujihabarisha pamoja na kutunza kumbukumbu.
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema hadi sasa wananchi wengi wamekuwa watulivu licha ya kuwepo kwa baadhi ya watu wachache walioandaliwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa kwa ajili ya kufanya vurugu na kujiingiza kwenye uhalifu.

IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam na kuwataka baadhi ya viongozi kufanya masuala ya siasa na kuacha kuwatumia vijana na kuwaingiza kwenye uhalifu na kwamba yeyote atakayebainika atachukuliwa hatua za kisheria.

Kuhusu upigaji wa kura Zanzibar, IGP Sirro amesema, wapo baadhi ya watu wanaohamasisha baadhi ya watu au kikundi cha watu kuvunja sheria wakati wa zoezi la upigaji kura kinyume cha sheria, kanuni na taratibu zilizopo.
IGP sasa ni rasmi kada wa ccm
 
IGP sasa ni rasmi kada wa ccm
Mpenda haki popote ulipo jaribu kutunza kumbukumbu ya matukio ovu ya wahusika wote kadiri utakavyoweza kwa manufaa ya taifa letu,pia jaribu kuileta hapa juukwaani kwa kumbukumbu imara zaidi.
 
Pia wake wa Ifakara,Kule Nyamongo na kwingine ambapo sijakuwa na taatifa, mwenye taarifa ajitolee kunijuza tafadhali kwa ajili ya kujihabarisha pamoja na kutunza kumbukumbu.
IGP badala ya kutulia asitaafu kwa Amani amekazana kusaka jela kwa nguvu ngoja asitaafu akiwa jela endapo ataendelea kuibeba ccm kwa kuwapiga mabomu wapinzani
 
Tunapongeza sana jesh la polisi.

nitoe wito kuwaasa vijana msitumike kwa maslahi ya watu na familia zao.mtaumia wao wa kwanza kupewa visa na hifadhi za ukimbiz wa kisiasa.ukivunjika unabakia peke yako. faida ipo wap sasa na maushabik ya kijinga jinga.
Unalipongeza jeshi la ccm kuwapiga mabomu wapinzani? Huo ndiyo ujinga mkubwa kupita wote
 
Back
Top Bottom