Uchaguzi 2020 IGP Sirro: Tutawashughulikia walioandaliwa kufanya vurugu

Uchaguzi 2020 IGP Sirro: Tutawashughulikia walioandaliwa kufanya vurugu

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema hadi sasa wananchi wengi wamekuwa watulivu licha ya kuwepo kwa baadhi ya watu wachache walioandaliwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa kwa ajili ya kufanya vurugu na kujiingiza kwenye uhalifu.

IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam na kuwataka baadhi ya viongozi kufanya masuala ya siasa na kuacha kuwatumia vijana na kuwaingiza kwenye uhalifu na kwamba yeyote atakayebainika atachukuliwa hatua za kisheria.

Kuhusu upigaji wa kura Zanzibar, IGP Sirro amesema, wapo baadhi ya watu wanaohamasisha baadhi ya watu au kikundi cha watu kuvunja sheria wakati wa zoezi la upigaji kura kinyume cha sheria, kanuni na taratibu zilizopo.
Sirro hana uwezo wa kumtisha yoyote , tendeni haki ili amani iwepo , vinginevyo patachimbika
 
Siro haeleweki anasimamia nn. Polis wake wanaongoza kuchochea vurugu hasa kuchokoza wapinzani kwa kuvamia ngome zao kama walivyofanya arusha n tarime.
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema hadi sasa wananchi wengi wamekuwa watulivu licha ya kuwepo kwa baadhi ya watu wachache walioandaliwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa kwa ajili ya kufanya vurugu na kujiingiza kwenye uhalifu.

IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam na kuwataka baadhi ya viongozi kufanya masuala ya siasa na kuacha kuwatumia vijana na kuwaingiza kwenye uhalifu na kwamba yeyote atakayebainika atachukuliwa hatua za kisheria.

Kuhusu upigaji wa kura Zanzibar, IGP Sirro amesema, wapo baadhi ya watu wanaohamasisha baadhi ya watu au kikundi cha watu kuvunja sheria wakati wa zoezi la upigaji kura kinyume cha sheria, kanuni na taratibu zilizopo.
Shughulikia hao vibaraka wa mabeberu.
 
Pia sina chama ila vinauzi sana. Yaanii Timu A wanafanyiwa vurugu kamisaa wa mchezo IGP anaungana nao pamoja na refalii ambae ni tume kukemea wakijifanya wako fair. Tena hadi watu wanatoa ubani.

Sasa ikija upande mwingine watendewee husikii hata kauli ya kukemea. Leo nimeona gazeti mojatu la nipashe ndiyo wamejitutumua.
Sasa hii inaleta picha gani?
Binafsi naona mbele kunagizatuu.

Wengine hadi wanasema humshindii sasa akitokea mwingine amwambie wa upande mwingine hashindi ninini kitatokeaa?
Imebaki kutishana kutiana hofu pasipo nasababu yoyotee. Anyway Mungu nimwema atatuepusha na ubaya wowote tunao hubiriwaa.
Nchi yeti haki imekosekana sana,siro amebaki kupiga mikwara mbuzi tu...polis wake wanaongoza kuchochea vurugu na chuki kwa kunambia ngombe za wapinzani na kuwabambikizia kesi..
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema hadi sasa wananchi wengi wamekuwa watulivu licha ya kuwepo kwa baadhi ya watu wachache walioandaliwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa kwa ajili ya kufanya vurugu na kujiingiza kwenye uhalifu.

IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam na kuwataka baadhi ya viongozi kufanya masuala ya siasa na kuacha kuwatumia vijana na kuwaingiza kwenye uhalifu na kwamba yeyote atakayebainika atachukuliwa hatua za kisheria.

Kuhusu upigaji wa kura Zanzibar, IGP Sirro amesema, wapo baadhi ya watu wanaohamasisha baadhi ya watu au kikundi cha watu kuvunja sheria wakati wa zoezi la upigaji kura kinyume cha sheria, kanuni na taratibu zilizopo.
IGP ANASEMA KUNA WATU WAMEANDALIWA KUFANYA VURUGU. HILI TAYARI NI KOSA LAKINI HACHUKUI HATUA! HALAFU ANASEMA WAKIBAINIKA WATACHUKULIWA HATUA! KWA HIYO ANATUDANGANYA HUYU ANA LAKE JAMBO!
 
Nikimkumbuka huyu mzee kwenye sakata la shisha yeye na Makonda huwa nacheka sana asee......Huyu mzee hajawahi kuwa na msimamo always yeye hupelekeshwa tu na wanasiasa..... Huo u-IGP kapewa kulinda vyeo vya watawala

Mwaka huu tutamshangaza..
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema hadi sasa wananchi wengi wamekuwa watulivu licha ya kuwepo kwa baadhi ya watu wachache walioandaliwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa kwa ajili ya kufanya vurugu na kujiingiza kwenye uhalifu.

IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam na kuwataka baadhi ya viongozi kufanya masuala ya siasa na kuacha kuwatumia vijana na kuwaingiza kwenye uhalifu na kwamba yeyote atakayebainika atachukuliwa hatua za kisheria.

Kuhusu upigaji wa kura Zanzibar, IGP Sirro amesema, wapo baadhi ya watu wanaohamasisha baadhi ya watu au kikundi cha watu kuvunja sheria wakati wa zoezi la upigaji kura kinyume cha sheria, kanuni na taratibu zilizopo.
Fununu zinasema vyombo vya ulinzi na usalama Jwtz, Polisi, Magereza na Uhamiaji,wameahidiwa kulipwa madai yao yote wanayoidai serikali kabla ya tarehe 28/10/2020,ili waweze kuiokoa Ccm kwenye uchaguzi Mkuu, maana wanasema hali si hali huko vyomboni,Usicheze na njaa, njaa inamlaza tembo chini na ukubwa wake.Kwa upande wangu nawashauri hata wakilipwa hiyo ni rushwa wasiwasaliti wananchi kwa kile watakachokiamua.
 
Wavue magwanda wavae jezi za ccm ijulikane moja kuliko kujifichia kwenye magwanda
 
Nchi yeti haki imekosekana sana,siro amebaki kupiga mikwara mbuzi tu...polis wake wanaongoza kuchochea vurugu na chuki kwa kunambia ngombe za wapinzani na kuwabambikizia kesi..
Yaani wanaharibu kabisa ladha na maana ya ushindani kwenye uchaguzi huu. Wagimbea wengi wako fair sana kama Arusha sikutegemea kabisa. Sasa wanapo waingilia kuchochea vurugu kuwafungulia makesikesi wanaharibu kilakituu
 
Back
Top Bottom