DOKEZO IGP tuokoe na wizi ulioibuka Arusha unatisha

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mnalia na watu watatu kwenye pikipiki? Wakija panya road kama wa Dsm si mtajifungia ndani. Nilijuaga arusha ni wagumu kumbe hakuna kitu bora wanaume wa Dar tuu. Pambaneni
 
Nihuyuhuyu Adam,
 
Mnakwama wap machalii?!si mliwachekaga wanaume wa dar kisa kuwagwaya panyaroad,now its ur turn!
 
Tanzania hii hunidanganyi shughuli zangu zimenifanya niwajue watanzania wote kwa kina

Majambazi wengi wa Arusha toka zamani wana asili ya kondoa hata ukienda mererani watu katili zaidi ni warangi ndio wanaongoza kwa natukio ya kuua
Kwa mererani enzi hizo mamurere wengi ni Wasonjo hao jamaa ndio walikua makatili sana na ndio majambazi, kuua kwao sio issue.
 
Ina maana wachuga mliokuwa mkiwadiss wadaslam kuhusu panya rodi ndio mnahanya tatu mzuka aisee. Aisee ni vipi chalii yangu Chaliifrancisco mnanyuti tu ani ilibidi muwatie ma beroo ao mawaki adi wadedi
Hamna kitu hao ni porojo tu !! Na ivyo vijambazi vyao ni stimu za bangi tu mirungi hata miili havina vimekauka kwa kuvaa mashati oversize.
 
Zile sehemu ni hatari sana maana zipo kimya boda boda wakifanya uharifu pana njia nyingi za kutokea...
 
Mnalia na watu watatu kwenye pikipiki? Wakija panya road kama wa Dsm si mtajifungia ndani. Nilijuaga arusha ni wagumu kumbe hakuna kitu bora wanaume wa Dar tuu. Pambaneni
Huelewi,hao 3mzuka wanavizia pale ambapo hakuna raia wengine ila huyo victim tu,mfano Barabara ya East Africa kule unaweza kufika mahali usione mtu yeyote kwa umbali hata wa 500mts kila upande,sasa wakikubania hapo ndiyo Huna wa kukusaidia.
 
Ifike mahali kila raia aruhusiwe tu kumiliki angalau ka bastola tu..ndo tutaheshimiana.
Skia,ikifikia hapo wewe utauliwa na mtu aliye nyuma yako,na yeye atauliwa na aliye nyuma yake,na yeye atauliwa na wa nyuma yake,imagine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…