DOKEZO IGP tuokoe na wizi ulioibuka Arusha unatisha

DOKEZO IGP tuokoe na wizi ulioibuka Arusha unatisha

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sio kimandolu tu,Lemala,daraja mbili na Uzunguni bara bara ya blue stone,kwa week mbili mfululizo wameuawa watu watatu kwa kuchomwa visu na tatu mzuka,bara bara za uzunguni uporaji hufanyika mchana,Sijaona jitihada kuwadhibiti,Mbaya zaidi wameanza kugusa wageni.
Huo mji kufa ni rahisi sana, kuondoa utalii tu.
 
Mnalia na watu watatu kwenye pikipiki? Wakija panya road kama wa Dsm si mtajifungia ndani. Nilijuaga arusha ni wagumu kumbe hakuna kitu bora wanaume wa Dar tuu. Pambaneni
Hakuna ugumu wowote Ar, kule kuna ushamba mwingi sana
 
Mwanao ukimkosa mahabusu nenda kamtafute hospitalini ~~~~ Amos Makalla (mkuu wa mkoa Dar)

Baada ya hii kauli iliyopingwa na chadema, panya road wakaisha mitaani.
Walitengenezwa haswaaa

Waliamua kupeleka kilio na kweli yameisha.


Arusha Polisi wakiamua isafisha wataweza, tofauti na hapo itakuwa Chicago ya Tanzania
 
Ilitakiwa igp aje aokote maiti na sio kushughulika na wezi si mnawajua.
 
Mwizi ni maiti inayotembea yaani ni mtu anaeomba kuuwawa, so akiuwa ametimiziwa hitaji lake. Hakuna laana ukiua mwizi au mchawi kwasababu hao ni viumbe vya laana
 
Poleni wana Arusha,mbeya kulikua na kampeni ya mwizi akikamatwa ni petroli na kiberiti. November -December iliyopita kama watano hivi walifanywa berbecue. Baada ya hapo kimyaa hasa uyole.
 
waap uyo jamàa Adam alikimbia na anatafutwa sana na Polisi kwa matukio ambayo aliyafanya...sisi ambaye tulikua tunaishi nae karb ndio tunaujua ukweli....shida chuga siasa na fitina ndio zimetawala!!!
Ana patikana wapi? Maana na leo huko kimandolu amesha fanya tukio ambalo ina semekana ni yeye... kuna wageni wame ibiwa mali zao
 
Arusha ipi unayokaa wewe ? Matukio haya ya ujambazi yamekifthiri kila mahali . Watu wamepoteza ndugu zao pamoja na wengine kujeruhiwa alafu unakuja kuongea mashudu humu ndani . Kama hujapata athari ya haya yanayoendelea ni bora ukakaa kimya mzee
Tukio lingine kwa wageni limefanyika Usiku huu huko kimandolu.

Huyu mtu ni yeye amefanya Au kuna makundi mengi ya kialifu?
 
Tuma ujumbe huu kwa namba 0684111111 ni mawasiliano ya IGP Wambura utakua salama katika eneo lako. Taarifa zako ni siri hakuna atakaejuwa.
Is this WhatsApp number! Kama ni normal SMS, it is not an end to end encrypted
 
Back
Top Bottom