Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Huyu jamaa atakuwa ana ID mia mbili humu ndani.Mwandiko wa genta
Hakuna Kituo cha Police chenye Mapungufu nakubwa na kilicho na Ushkaji na Wahalifu wa kila namna kama cha Kawe.Mkuu wa kituo Kawe anapaswa kuwa korokoroni pia
Sahihisha: Mbunge mstaafu.Si wanasemaga hata yule aliyekuwa Mbunge wa kusini nae alichagua kukatwa mkono kuliko kuliwa kiboga. Kasingizia kuwa alipata ajali ambayo mpaka leo hakuna picha ya gari lililompatia ajali ya mkono.
Binamu wa mume au binamu wa mke?Kumbuka huyu mgoni ni ndugu pia wa Cherehani Kwa hio alikuwa anamla shemejie
Simulia sana cheka sana ila omba yasikukute.Mimi sitodiriki kumfanyia jambo lolote baya mwanaume mwenzangu kisa mwanamke/mke hawa wanawake wanashobo na hawajielewi
Acha wajuane, mleta mada ana wivu na CherehaniBinamu wa mume au binamu wa mke?
Kuna makabila yanadai: "binamu nyama ya hamu", na saazingine kuoana kabisa.
We mbona sio mtu wa tanga na unaliwa nyotaMtu wa Tanga
Uko sahihi kwa 100% kuhusu huyu Mwanamke ambaye Mama yake Mzazi ni Muuza Mayai Soko la Kawe kuwa hafai.Huyo mwanamke anajisikiaje sasa baada ya kufanya huo upumbavu? [emoji848][emoji848]
Huyo mwanamke Hanifa bui na si mtu mzuri.
Tigo ( Nukudi ) hawakumla. Niamini tena kwa 100% zote Mkuu sawa? Hili Tukio nimelifuatilia kwa Umakini na Kulifanyia Upelelezi Binafsi usio na Mashaka kwa Msaada wa Marafiki Wawili wa Mkewe na Rafiki Mmoja Mwaminifu kabisa wa Mumewe Bwana Cherehani.Hii kesi ni ngumu kama aliefanyiwa ukatili asipotoa ushirikiano. Mosi hebu tuwaze mbali huenda jamaa walimrecord wakiwa walimla tigo kweli ila wao wanasema tu walimkata vidole unadhani mfirw.aji (sijakusudia kumdhalilisha) unadhani atatoa ushirikiano akijua fika video za yeye akifanywa zipo somewhere ?!
Mbili, unadhani kwanini jamaa kaamua kukausha na kujitibia kimya kimya ?! Kwanini hajafika kituo cha polisi kuriport ukatili huo mpaka wewe mtoa mada unalalamika kwa niaba na yeye yuko kimyaaaa ?!
Niamini kuna usiyojua kuhusu mkasa huu usishangae kuitwa kituoni akakana hajafanyiwa unyama labda hata akasema vidole kajikata akiwa anatengeneza kachumbari na sikio kangatwa na mbwa wa jirani yake.
Duuh raha sana the next move mwanamke atamuua Cherehani kadri siku zinasonga, au Cherehani ataweka Usinga Kwa mkewe ili amalize mziki kabisaaHapana Umenielewa vibaya. Huyu Mgoni ( Mjeruhiwa ) na Mke wa Mfanyabiashara Bwana Cherehani ndiyo Ndugu tena ni Binamu kabisa ila siyo Ndugu na Cherehani.
Ndio tena sana tu bila hofu yoyote, kukatwa sikio na vidole mie mtu pori nimepita mengi sana siogopiIngekuwa labda ni Mama yako Mzazi au Dada yako Kafanyiwa hivyo bado ungewashwawashwa hivi Kuomba / Kuniomba nishee nawe inbox hiyo Video?
Nasubiri jibu lako kwa hamu tu Mkuu.