IGP Wambura awaonya vikali wanaotaka kuandamana, asema huo ni uhaini akitaka "Wakome" na Wasitishe matamshi yao ya Kichochezi...

More often Tanzanian police behave like idiots. How could a person plotting to overthrow the incumbent government go public to express his intentions?
Foolish
 
Ni vzr angetoa na kifungu cha katiba kinachosema kufanya maandamano au kuratibu maandamano ni uhaini!!
 
Mnachelewa sana. Msingoje kuzima moto, hakikisheni wachochea moto mnawazimisha wao kwanza.

Maxence Melo kama kiongozi mkuu wa JF, hakikisha, pamoja na "contents managers" ŵako, kuwa JF haitumiki kisiasa za kuiingiza nchi kwenye machafuko.

Panapofuka moshi panaficha moto.
 
Umeongea kizalendo zaidi siyo Kidini!
 
Huyu Wambura anatetea tumbo tu na wala sio maslahi ya nchi!
 
Nami nashangaa kwa kweli, watu wametamka wanataka 'kuipindua serikali' wewe mlinzi unakuja kutamka maneno tu! Hivi kweli yupo serious na kazi!?
Au amejiropokea yeye mwenyewe tu?
 
Nchi Ina raia wa ovyo hii,hakuna waandamanaji labda wa mitandaoni ubavu huo hawana 😀,na hivi wanajeshi wamefanya mazoezi ya kivita juzi juzi😂😂😂😂
Hao wanajeshi wangekwenda Russia kumsaidia Putin badala ya kupiga raia wanaotetea haki yao ya kidemokrasio,uhuru wa kutoa maoni!
 
Porojo zilizojaa kiki ndani yake , huyu anataka cheo gani sasa ? maana IGP ndio cheo cha Juu cha Polisi .
 
Tuombe tu mambo ya udini yasifike majeshini yaishie humu humu Siasani tunamokunywa kahawa chungu!
Aamina. Naamini majeshi yetu yamejaa weledi na busara ya hali ya juu, hayawezi kamwe kuingia katika ujinga huu......huo ni wa huku kwa kina mwamakula na kishki
 
Nchi Ina raia wa ovyo hii,hakuna waandamanaji labda wa mitandaoni ubavu huo hawana [emoji3],na hivi wanajeshi wamefanya mazoezi ya kivita juzi juzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1] tunasubiria simba yanga,wasafi festivo tu haha [emoji1]

Ova
 
Hakuna wakati mgum kama kipindi nikionacho mbele, watu wamechoka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…