Katiba mpya atakupa nani mzee? 😂 Unatumia akili zako kikamilifu kweli? Mahakama, Polisi wako kwa ajili ya kulinda interests za serikali. Amka utakuja kujikojolea siku sio nyingi.Mama hatumtaki … na pia MAPINDUZI YA KIHUNI HATUYATAKI, mapinduzi yangekua SULUHISHO nchi za AFRIKA magharibi zingekua mbali sana chondechonde CCM na uchu wenu wamadaraka fanyeni yote , mkitaka kuuana kwa sumu uaneni ,mkitaka kurogana roganeni lakini kupindua serikali iliyokihalali huo ni UHUNI tena “next level” sio utamaduni wetu ….TAIFA kwanza. Suluhisho ni katiba mpya ambayo itawajibisha viongozi wote hata wakitoka madarakani si vinginevyo
😂😆😆😄😁😁😁Sasa tupuuzie wakati kashasema na kuonya
Ni swala la muda tu na wala hatuna haraka nayo mapinduzi ya nguvu yamefanyika sana kwa wenzetu afrika ya magharibi nikikupa idadi ni zaidi ya mia moja hamsini lakini wako wapi? Afrika kinachoturudisha nyuma sio uongozi mbovu pekee ni mfumo mzima wa maisha yetu MAMA sio mbaya kiasi cha kufikiria kutumia mbinu za kihayawani …Katiba mpya atakupa nani mzee? 😂 Unatumia akili zako kikamilifu kweli? Mahakama, Polisi wako kwa ajili ya kulinda interests za serikali. Amka utakuja kujikojolea siku sio nyingi.
Ni kichaa pekee atapingana na hili 🤣🤣🤣!!!Amani ya Tanzania ni ile ya wananchi kuwa wanyonge kufanyiwa chochote na serikali yao kama vile kuuwawa kutekwa kubakwa kubabizikiwa kesi kulawitiwa kunyanyanganywa mali zao watoto wao pesa zao na kulipa kodi kandamizi na kutawaliwa na viongozi na watoto wao na mahawara zao yote hiyo ni mfumo wa amani na utulivu katika jamii ya Tanzania.Usipokubali hayo wewe sio mzalendo kawe mkimbizi au andamana uone cha mtema kuni
Hayo unayoita ya kihayawani ndio changamoto ambazo serikali inatakiwa izipitie ili ifanye kinachotakiwa kufanyika bila kupepesa macho.Ni swala la muda tu na wala hatuna haraka nayo mapinduzi ya nguvu yamefanyika sana kwa wenzetu afrika ya magharibi nikikupa idadi ni zaidi ya mia moja hamsini lakini wako wapi? Afrika kinachoturudisha nyuma sio uongozi mbovu pekee ni mfumo mzima wa maisha yetu MAMA sio mbaya kiasi cha kufikiria kutumia mbinu za kihayawani …
Wanalishwa matango pori na wao wanayameza mazima mazima bila hata kujiongeza kichwani.Ukimuuliza Bandari imeuzwa bei gani hana majibu 😂😂
Leo jenerali A akipindua kesho kanali B atapindua kesho kutwa kapteni C atafuata huo ni UHAYAWANI… katiba lazima iheshimiwe ndio muongoza wa TAIFAHayo unayoita ya kihayawani ndio changamoto ambazo serikali inatakiwa izipitie ili ifanye kinachotakiwa kufanyika bila kupepesa macho.
Sema hawa jamaa wanakela sanaHahah yani bahati yako unajificha kwenye fake ID ila nakutamani sana yani kimtaa mtaa we ni mchumba mno.
You are a Bigoted effin Twaat. Wewe ni wa kutiwa kwenye tenga na kuburuzwa tu.Wewe kaaandamane maneno meeengi ya nini? Watu Weusi wapumbavu Huwa siwatetei
Kuandamana kusupport uuzwaji bandari Si uhaini, ila kupinga kuuzwa Bandari zetu ndo uhaini?Unaelewa kuwa kesi ya uhaini haina dhamana?
Kama huelewi weka namba zako za simu ili polisi wakupigie uwaulize hilo swali.
Minong'ono tu press ya aijipKaaandamane au nenda kwenye chombo chochote Cha habari itisha press ya Maandamano uone moto,Tanzania hatutaki upuuzi mtavunjwa kama China ilibyofanya pale TiananMen Square
Anajitoa ufahamu makusudi dawa yake ni kujitoa ufahamu zaidi yake apelekwe mwaisela akaendeleze ujinga wake kuleSema hawa jamaa wanakela sana
Toa ujinga wako hapa,mnaishi Kwa msaada wa beberu USA
Haya ndio maneno anayomtumia dhidi ya IGP Wambura.Mwehu ni wewe IGP na akili huna
Wewe kaaandamane tuu unyooshwe palipoponda maana hukunyooshwa na wazazi wakoHaya ndio maneno anayomtumia dhidi ya IGP Wambura.
IGP Wambura anatakiwa kukupuuza wewe CHoice, yani ulitakiwa utunguliwe kuanzia kule TT ambako umejenga maharamia yanayokuja hapa Jamiiforums kutukana Watanzania na Waafrika kwa Ujumla. Mbinu zako zinajulikana, ukae chonjo.
Ninakuvalia Njuga, sasa njoo na yale ma ID yako mengine uone. Haramia we
Umeshapanic 😁😁You are a Bigoted effin Twaat. Wewe ni wa kutiwa kwenye tenga na kuburuzwa tu.
Ulaaniwe na Watanzania wote tu.
ukome kujifanya unatetea maslahi ya Watanzania
Fake Id'sHahah yani bahati yako unajificha kwenye fake ID ila nakutamani sana yani kimtaa mtaa we ni mchumba mno.
Maslahi ya Waarabu na Wazanzibari yanatakiwa kuangaliwa sana kuliko wenye nchi yao.Badala ya kuongea ongea Polisi wanatakiwa kuwachukulia hatua Kali waliotoa hayo matamshi ya kichochezi haraka sana Ili iwe funzo Kwa wengine.
Polisi acheni kuchekea manyani,Chukueni Hatua badala ya kutoa matamko.
Maslahi ya Mamilioni ya Watanzania ni muhimu kuliko hao wapuuzi wachache,tokomeza wakafie mbele huko.