Lee Swagger
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 1,063
- 1,815
Samia Anajua Soka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia Kenya wanavyofanya. Ama ufahamu wako ni mdogo sana!?Then unadhan interview yake itafanyika uwanja wa taifa ili kila mwanainchi amuulize swali au?
Au unadhan kutakuwa kunapigwa Kura ya kumchagua IGP watz wote wahusike?
Mnajidanganya Sana Kwa katiba mpya
Anakumwagia hizo mbegu?Dume la Mbegu Wambura limeripoti Dodoma
Ushasema KenyaAngalia Kenya wanavyofanya. Ama ufahamu wako ni mdogo sana!?
Atatolewa baadaeBodgad anaendelea na kibarua chake cha kulinda .
Tarehe 17/3/2021 tarehe itakumbukwa kwa kubadilisha mengi nchini hapa. Mwaka ujao itakuwa siku ya ijumaa mwaka jana ilikuwa siku ya jumatanoMtu kama huyu hawezi kufurahia kile kifo kweli?
Aliyeteuliwa kwenda Zimbabwe ni Sirro peke yake, wasaidizi wengine kama madereva na walinzi wanaendelea na shughuli zao, unless IGP Mpya afanye mabadiriko.Mbona bodigadi wake ni yuleyule akiyekua kwa Sirro?
Amekupa mfano tu, Wewe bado unakaza kichwa.Ushasema Kenya
Kwani Maisha yako na ya jirani yako yapo sawa?
Au ww unaishi the way jirani yako anavyoishi
Amekupa mfano tu, Wewe bado unakaza kichwa.
Amfikirie Sana Sana Wankyo Ramadhan Nyigesa Cheo Kikubwa AjipoozeeKamanda Nyigesa atqpangiwa mkoa
CDM hawana hamuPale Wambura, kule Kingai haha. Majina yalikuwa maarufu sana kipindi cha case ya ugaidi na uhujumu uchumi iliyokuwa inawakabili kina Mbowe na wale ex comandoos
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP. CAMILLUS WAMBURA amewasili Makao Makuu ya Jeshi la Polisi baada ya kuapishwa Ikulu, Chamwino Dodoma.
View attachment 2297808View attachment 2297809View attachment 2297811View attachment 2297810
Umeangalia Katiba ya Kenya kuhusu hizo nafasi?Angalia Kenya wanavyofanya. Ama ufahamu wako ni mdogo sana!?
Wakati mwingine acheni KUISHI kwa ILLUsions Kama stori za peponi.Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP, Kwa Katiba mpya itakuwa watu wenye sifa watume maombi kuomba kazi hiyo.