Ijue bahari: Baharini kuna misitu mikubwa yenye miti mikubwa ya kutosha kuchana mbao kama utazamia

Ijue bahari: Baharini kuna misitu mikubwa yenye miti mikubwa ya kutosha kuchana mbao kama utazamia

Ngoja tuambizane ukweli kuhusu bahari!

Kuna wakati unaweza hisi umejifunza yote! Kumbe unachokijua hapa duniani hakifikii hata theruthi ya theruthi ya maajabu ambayo huyajui hapa duniani!
Hata mengine ukisimuliwa unaweza fikilia ni chai!

Ukweli ni kwamba kila kitu Mungu kakibalansi!
Ukibeba ndoo ya maji nusu kichwani utaona vile yanavyocheza (yumba yumba) mithili ya kumwagika!

Lakini ukikata tawi la mti ukalitupa kwenye ndoo ya maji hayo mara moja yanatulia (hayachezi tena).

Hii ni sayansi ndogo sana kuitumia!

Bahari ni maji mengi sana, na kutokana na mzunguko wa dunia, Bila shaka mawimbi ya bahari yangekuwa ni makubwa mno!

Lakini kwa sayansi ileile ya ndoo! Chini ya bahari imo miti mikubwa na misitu mikubwa ambayo inasadikika inasaidia kupunguza kuyumba yumba kwa bahari! La sivyo fujo ya maji ingekuwa kubwa sana!
Naomba ufafanuzi kama hili ni uongo (tupingane kwa hoja)

Pia kwa ukubwa wa bahari Ilivyo Duniani, inauwezo wa kumeza vyote vya nchi kavu! (Yaani ukichukua vyoote magari, majumba, maghorofa, watu, misitu yaani makolokolo yote ya nchi kavu ukiyatosa baharini HAYAJAI!

Haya ni mastori yangu fundi umeme SAMICO, mwenye kazi tuinuane jamani nipigie 0711756341 au huko instagramu nifollow @Samico_Tanzania Sinaga bei kabisa! Natindua hata chumba kiwe kimoja
Umeleta picha za kazi za sanaa na siyo picha za msitu chini ya maji.

Kuna uoto mwingi sana baharini lakini huwezi kukuta mbuyu au mwerezi lakini miti inayoota kwenye maji ni mangroves na michache inayofanania hivyo.

Hautakuta mti wenye hadhi ya msonobari au mtondoo kule.

Nendq pale UDSM kitivo cha marine ujielimishe eco system ya baharini
 
Chai
Ngoja tuambizane ukweli kuhusu bahari!

Kuna wakati unaweza hisi umejifunza yote! Kumbe unachokijua hapa duniani hakifikii hata theruthi ya theruthi ya maajabu ambayo huyajui hapa duniani!
Hata mengine ukisimuliwa unaweza fikilia ni chai!

Ukweli ni kwamba kila kitu Mungu kakibalansi!
Ukibeba ndoo ya maji nusu kichwani utaona vile yanavyocheza (yumba yumba) mithili ya kumwagika!

Lakini ukikata tawi la mti ukalitupa kwenye ndoo ya maji hayo mara moja yanatulia (hayachezi tena).

Hii ni sayansi ndogo sana kuitumia!

Bahari ni maji mengi sana, na kutokana na mzunguko wa dunia, Bila shaka mawimbi ya bahari yangekuwa ni makubwa mno!

Lakini kwa sayansi ileile ya ndoo! Chini ya bahari imo miti mikubwa na misitu mikubwa ambayo inasadikika inasaidia kupunguza kuyumba yumba kwa bahari! La sivyo fujo ya maji ingekuwa kubwa sana!
Naomba ufafanuzi kama hili ni uongo (tupingane kwa hoja)

Pia kwa ukubwa wa bahari Ilivyo Duniani, inauwezo wa kumeza vyote vya nchi kavu! (Yaani ukichukua vyoote magari, majumba, maghorofa, watu, misitu yaani makolokolo yote ya nchi kavu ukiyatosa baharini HAYAJAI!

Haya ni mastori yangu fundi umeme SAMICO, mwenye kazi tuinuane jamani nipigie 0711756341 au huko instagramu nifollow @Samico_Tanzania Sinaga bei kabisa! Natindua hata chumba kiwe kimoja
 
Ngoja tuambizane ukweli kuhusu bahari!

Kuna wakati unaweza hisi umejifunza yote! Kumbe unachokijua hapa duniani hakifikii hata theruthi ya theruthi ya maajabu ambayo huyajui hapa duniani!
Hata mengine ukisimuliwa unaweza fikilia ni chai!

Ukweli ni kwamba kila kitu Mungu kakibalansi!
Ukibeba ndoo ya maji nusu kichwani utaona vile yanavyocheza (yumba yumba) mithili ya kumwagika!

Lakini ukikata tawi la mti ukalitupa kwenye ndoo ya maji hayo mara moja yanatulia (hayachezi tena).

Hii ni sayansi ndogo sana kuitumia!

Bahari ni maji mengi sana, na kutokana na mzunguko wa dunia, Bila shaka mawimbi ya bahari yangekuwa ni makubwa mno!

Lakini kwa sayansi ileile ya ndoo! Chini ya bahari imo miti mikubwa na misitu mikubwa ambayo inasadikika inasaidia kupunguza kuyumba yumba kwa bahari! La sivyo fujo ya maji ingekuwa kubwa sana!
Naomba ufafanuzi kama hili ni uongo (tupingane kwa hoja)

Pia kwa ukubwa wa bahari Ilivyo Duniani, inauwezo wa kumeza vyote vya nchi kavu! (Yaani ukichukua vyoote magari, majumba, maghorofa, watu, misitu yaani makolokolo yote ya nchi kavu ukiyatosa baharini HAYAJAI!

Haya ni mastori yangu fundi umeme SAMICO, mwenye kazi tuinuane jamani nipigie 0711756341 au huko instagramu nifollow @Samico_Tanzania Sinaga bei kabisa! Natindua hata chumba kiwe kimoja
Hua naangalia documentary kule Nat Geo wild
 
Chai
Nilipata zari kuna kampuni nilikuwa nafanya nayo kazi ya ufundi, ilikuwa kampuni ya wajapani, tulikuwa mafundi wa kibongo wawili, kulikuwa na sherehe zao, wakatuchukua kwenye chombo kutuonesha maajabu , kuna vidumbwana kama submarine unazama chini kabisa ya bahari! Ndiko nikajionea maajabu laivuu !
Sikutamani tena kurudia kuzama! Kuna vimbwanga si mchezo! Hadi mkataba ulivyoisha tukarudi bongo sijawahi taman kabisa kujua yaliyomo yanatisha
 
Hebu fikiria Kwamba Anchor chain ya 1 shackle ni sawa na 27.5. ni kama urefu wa feet 90..
Namaamisha shackle Moja ni sawa na 27.5 centimeters

Lakini zinazamishwa kwenye maji 10 shackles na Bado Nanga haijafika chini ,,
Nanga bado inaelea,

Unadhani chini Kuna urefu gani?..

Bahari kina kirefu Sana kuliko unavyozania.

Na usidhani Kwamba Meli inapita Kila sehemu baharini .
Meli ina njia zake maalum inapita..
Hesabu hesabu hesabu na elimu

Kama shackle moja Ina 27.5cm Basi 10 shackle Ni 275cm sawa na inch 110 huu Ni urefu wa wheel base ya land Rover 110
 
Nilishangaa kusikia et!! Ni Kwa asilimia 5 tu mwanaadamu yaani mwanasayansi anavyoijua bahari yaani Kwa kina kwa kujua viumbe vilivyomo baharini kwa uelewa mzima wa bahari ni mwanaadamu anaijua bahari kwa asilimia 5 tu asilimia 95 zote hizo mwanaadamu yaani mwana sayansi hajui Kwa kiwango hicho
Umepataje asilimia hizo ikiwa data za upande wa pili huna?
Ili upate asilimia lazima uwe na data vya vyote vya duniani na data za huko majini Kisha ndo upate asilimia kuwa tunavovifahamu Ni asilimia tano ,

Wa tz sijui Africa elimu hawana
 
Hesabu hesabu hesabu na elimu

Kama shackle moja Ina 27.5cm Basi 10 shackle Ni 275cm sawa na inch 110 huu Ni urefu wa wheel base ya land Rover 110
Typing error hiyo mkuu ni 27.5metres.
Shekeli ni kipimo cha nanga ile nyororo kati ya joint moja na nyingine. Hivyo ikitolewa oda ya kuangusha nanga anayeshusha anatumia hizo kupima ni mita ngapi
 
1674105001641.png
 
∅𝘠𝘰𝘶 𝘤𝘢𝘯'𝘵 𝘴𝘦𝘦 𝘵𝘩𝘪𝘴 𝘤𝘰𝘮𝘮𝘦𝘯𝘵 𝘣𝘦𝘤𝘢𝘶𝘴𝘦 𝘺𝘰𝘶 𝘢𝘳𝘦 𝘶𝘴𝘪𝘯𝘨 𝘢 𝘊𝘩𝘪𝘯𝘦𝘴𝘦 𝘮𝘰𝘣𝘪𝘭𝘦
 
Nilipata zari kuna kampuni nilikuwa nafanya nayo kazi ya ufundi, ilikuwa kampuni ya wajapani, tulikuwa mafundi wa kibongo wawili, kulikuwa na sherehe zao, wakatuchukua kwenye chombo kutuonesha maajabu , kuna vidumbwana kama submarine unazama chini kabisa ya bahari! Ndiko nikajionea maajabu laivuu !
Sikutamani tena kurudia kuzama! Kuna vimbwanga si mchezo! Hadi mkataba ulivyoisha tukarudi bongo sijawahi taman kabisa kujua yaliyomo yanatisha
Hahaha [emoji23][emoji74] maji ni hatari ila Hawa jamaa akili mingi sana
 
Back
Top Bottom