Ijue Comoro: Fursa za Biashara na Changamoto Zake

kaka.naomba no.yko
 
nakubaliana kabisa. kilicho kwenye hayo malist mtandaoni ni tofauti kabisa na whats on the ground. Nimetolea mfano nilivyokwenda Bangladesh, bila kuwa na visa kwa sababu list ya mtandaoni imesema Tanzania Passport holders hawahitaji visa kama watakaanchini Bangladesh chini ya siku 90. Weee! nilipofika Dhaka ilikuwa issue. Sema you can get visa on arrival kule
 
Nataka mke mgazinja..nisaidiae kuniunganisha naye.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mimi kwa upande wangu sijamuelewa muhemiwa hapa
Nimependa mleta mada hio “season 1” yake ndio hela ilipo tafakari nn unaweza fanya iliupate hela maeneo km hayo???,that’s pure cash km unafikiria hela hapo ipo nje nje just think watu wanawaza kutafuniwa tu
Mfano penye vita yyy USA hakosi lazima auze silaha vyakutosha nawe waza hapo what you can do?
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…