Ijue formula rahisi ya kujua jambo kama ni baya au zuri

Huu uzi ume ni chekesha saana,
WATU WENGI HAWANA AFYA YA AKILI.....

Milembe itajaa soon
Kumbe kila kitu unaanza na u, hebu twende kazi umalaya, ukahaba, uwizi, ubabe, ujambazi, na wewe pia u likud
 
U..sen..ge hii ndio inaashiria alichopost mtoa mada
Kumbe na wewe unatukanaga mkuu? Halafu wewe ni akili kubwa bana acha kufuata mkumbo wa hao maboya wanao comment ujinga hapa. Style up bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…