Ijue formula rahisi ya kujua jambo kama ni baya au zuri

Ijue formula rahisi ya kujua jambo kama ni baya au zuri

Dah ndio maana Africa tunashindwa, ni kwa sababu ya hizi cheap wisdoms.
Ukitaka kujua kama jambo ni baya au zuri andika herufi U kabla ya jina la jambo hilo. Jina utakalo lipata baada ya kuweka herufi U ndilo litakalo kupa majibu kama jambo hilo ni zuri ama sio zuri.

Natoa mifano kadhaa.

1. Dini.

Ukiweka herufi U kabla ya neno Dini unapata neno UDINI.

Maana yake ni kwamba DINI sio jambo zuri. Na kweli dini sio nzuri. Hakuna kitu kimeleta matatizo mazito duniani kama dini.

2. Kabila.

Ukiweka herufi U kabla ya neno kabila unapata UKABILA.

UKABILA sio mzuri . KWA hiyo kabila sio kitu kizuri. Makabila hayafai kuwepo.


3. Tajiri= UTAJIRI.

UTAJIRI ni mzuri KWA hiyo kuwa tajiri ni kitu kizuri ( hakikisha unakuwa tajiri)

Ongeza mifano YAKO mingine
 
Dah ndio maana Africa tunashindwa, ni kwa sababu ya hizi cheap wisdoms.
Tanzania= Utanzania. Utanzania ni kitu kizuri
Mtu alifanya jambo baya utasikia watu wanasema " jamani huo sio Utanzania".

Tafsiri yake kwa mujibu wa theory yangu. Tanzania ni nchi nzuri.
 
Mkuu Kiranga una kubaliana na.mtoa mada kwamba DINI ni mbaya?
Tanzania = Utanzania.

Utanzania ni jambo zuri. Mtu akifanya jambo baya utasikia " Jamani huu sio Utanzania kabisa"

Dini YAKO tupa kule .

Kabila lako weka pembeni.

Get down with Utanzania.
 
😁😁😁 aya me nakutazam tu na formular yako
Unajua hakuna kitu kikatili kama formula. Haijalishi inagusa imani YAKO au itikadi YAKO.. ni kama formula ya asili inayo sema mwanamke akiwa kwenye siku zake za hatari halafu akafanya sex bila kinga na mwanaume mwenye mbegu zenye afya basi mwanamke huyo atabeba ujauzito. Haijalishi huyo mwanaume ni kaka ake au baba ake
 
Nani kasema umalaya ni mzuri?
Ndiyo Uuche sasa na tafuta tu Mume ( Bwana ) Mmoja akuoe sawa? Ungekuwa na Wowowo ( Inye ) ambao ndiyo Ugonjwa wangu kwa kupenda Kwako Kunishobokea hapa Kutwa ( Jamiiforums ) ningekuoa ila hauna na Wewe ni Fidodido ( Mbau Mbao ) mtupu.
 
Unajua hakuna kitu kikatili kama formula. Haijalishi inagusa imani YAKO au itikadi YAKO.. ni kama formula ya asili inayo sema mwanamke akiwa kwenye siku zake za hatari halafu akafanya sex bila kinga na mwanaume mwenye mbegu zenye afya basi mwanamke huyo atabeba ujauzito. Haijalishi huyo mwanaume ni kaka ake au baba ake
ss kanuni yyt inawez kutupa jibu sahihi je kanuni yako inaweza kuthibitisha kama jibu lako ni sahihi au sio sahihi
 
Nyumba=>Unyumba
Unyumba ni jambo baya [emoji19][emoji19]
Vyote unyumba na nyumba ni vitu vizuri.

Kuwa na nyumba ni jambo jema na unyumba ni tendo la ndoa baina ya wenza walio funga ndoa.
 
ss kanuni yyt inawez kutupa jibu sahihi je kanuni yako inaweza kuthibitisha kama jibu lako ni sahihi au sio sahihi
Ndio inatoa jibu sahihi mkuu kama nilivyo ainisha hapo juu.


UDINI ni mbaya sio mbaya?

UKABILA ni mbaya sio mbaya?

Ukanda ni mbaya au sio mbaya?

Vipi kuhusu Utanzania?
 
Ndio inatoa jibu sahihi mkuu kama nilivyo ainisha hapo juu.


UDINI ni mbaya sio mbaya?

UKABILA ni mbaya sio mbaya?

Ukanda ni mbaya au sio mbaya?

Vipi kuhusu Utanzania?
bado mkuu sijakuelwa
 
Back
Top Bottom