Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakusema dini ni mbaya, kasema udini ni mbaya. Kuna tofauti.
Bado kuna changamoto, Sigara, siwezi kusema u sigara, sigara unavuta, kwa hiyo unasema uvutaji. Bado haiko specific. Labda hivi, ukivuta sigara unatoa moshi; umoshi. Bado.Hapo kwenye pombe una badilisha. Pombe ipo kwenye vitu vinavyo levya so inakuwa U-levi... Hakikisha neno linakuwa na mantiki kwa mfano kusoma hapo huwezi andika u-kusoma, badala yake uta andika " U-somi"
Yaani wewe hapo hakuna mantiki, wewe umetafutiza tafutiza tu ili mwisho useme kwamba gentamyxime ni Popoma.