Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye pombe una badilisha. Pombe ipo kwenye vitu vinavyo levya so inakuwa U-levi... Hakikisha neno linakuwa na mantiki kwa mfano kusoma hapo huwezi andika u-kusoma, badala yake uta andika " U-somi"Hahahahaa, umetisha sana.
Mimi nimeweka nyama=unyama, kwa hiyo kula nyama sio jambo zuri.
Nyingine, boya=uboya, kwa hiyo boya siyo zuri.
Pombe=upombe. Hapa sijaelewa.
LIKUD kuwa makin amka mapem fanya fanya mazoez ndug yang utakuja kunishukuru baadaeUkitaka kujua kama jambo ni baya au zuri andika herufi U kabla ya jina la jambo hilo. Jina utakalo lipata baada ya kuweka herufi U ndilo litakalo kupa majibu kama jambo hilo ni zuri ama sio zuri.
Natoa mifano kadhaa.
1. Dini.
Ukiweka herufi U kabla ya neno Dini unapata neno UDINI.
Maana yake ni kwamba DINI sio jambo zuri. Na kweli dini sio nzuri. Hakuna kitu kimeleta matatizo mazito duniani kama dini.
2. Kabila.
Ukiweka herufi U kabla ya neno kabila unapata UKABILA.
UKABILA sio mzuri . KWA hiyo kabila sio kitu kizuri. Makabila hayafai kuwepo.
3. Tajiri= UTAJIRI.
UTAJIRI ni mzuri KWA hiyo kuwa tajiri ni kitu kizuri ( hakikisha unakuwa tajiri)
Ongeza mifano YAKO mingine
Wewe ndio kichaa hapa. Umekuja kuandika ambacho vilaza wenzako tayari wamekiandika kwenye komenti za awali.Siku hizi wamebadili Neno kupunguza makali,kichaa anaitwa mtu mwenye matatizo ya afya ya Akili na utafiti unaonesha katika kila watu wanne mmoja gari limewaka
We talalira kweli
Neno USINGIZI ukiweka U kabla maana yake inakuaje?Ukitaka kujua kama jambo ni baya au zuri andika herufi U kabla ya jina la jambo hilo. Jina utakalo lipata baada ya kuweka herufi U ndilo litakalo kupa majibu kama jambo hilo ni zuri ama sio zuri.
Natoa mifano kadhaa.
1. Dini.
Ukiweka herufi U kabla ya neno Dini unapata neno UDINI.
Maana yake ni kwamba DINI sio jambo zuri. Na kweli dini sio nzuri. Hakuna kitu kimeleta matatizo mazito duniani kama dini.
2. Kabila.
Ukiweka herufi U kabla ya neno kabila unapata UKABILA.
UKABILA sio mzuri . KWA hiyo kabila sio kitu kizuri. Makabila hayafai kuwepo.
3. Tajiri= UTAJIRI.
UTAJIRI ni mzuri KWA hiyo kuwa tajiri ni kitu kizuri ( hakikisha unakuwa tajiri)
Ongeza mifano YAKO mingine
Au Li..sen..geU..sen..ge hii ndio inaashiria alichopost mtoa mada
Neno USINGIZI ukiweka U kabla maana yake inakuaje?