Well said!Hutakiwi kusoma bible and quran pekee ili kupata ukweli wa haya soma vitabu vingi zaidi ya vivyo viwili, funga safari nenda Misri, kule unaweza kupata mapya kuliko kitabu cha bible quran and science tuu!
Wasomi wa taaluma ipi?! Manake kama unatk kuzungumzia vyuo vikuu vya Mali hususani Timbuktu, inafahamika focus yao ilikuwa sana kwenye masuala ya dini ya Kiislamu na kidog masuala ya biashara ambayo pia imezungumzwa sana kwenye dini ya Kiislamu hasa ukizingatia hata Mtume Muhammad kabla ya kupata daraja la utume, alifanya sana biashara kupitia mke wake Bi. Khadija!!!
Na kwa kuthibitisha elimu haimtupi mwenye nayo; Mali hadi kesho ni taifa ambalo dini ya Kiislamu wameishika kisawasawa! Hata akina Manka Mussa tunaeambiwa ndo richest person kupata kutokea duniani, anafahamika alikuwa ni devoted muslim ambae alichangia sana katika ujenzi wa hivyo vituo vya elimu ambavyo matunda yake hadi leo yanaonekana!
Na kwavile najua utakuja na hoja ya "kwani elimu ni nini...!" Nakupa jibu kabisa.... hapa tunazungumzia elimu ile ambayo mabara ya wenzetu inawafanya wapige hatua kimaendeleo wakati sie tuko pale pale! Elimu ya huko Mali endapo ingekuwa ndo hii tunayoizungumzia hapa basi matunda ya elimu hiyo yangeendelea kuwapo hadi sasa kama tunavyoona kwenye suala la elimu ya Kiislamu!
Kama tunapinga na habari za farao zilizo katika quran tukufu Mimi naomba majibu ya maswali yafuatayo.
1 Kama mwili wake ulionekana miaka ya 1899,je mtume Mohammad(saw)alizifahamu vipi habari za farao?
2Ni kiashiria gani kilimjulisha kuwa kuna mtu ambaye ni faraho aliishi misri na mwili haujaharibika hadi wakati wake na pia mwili huo hautahalibika hata baada ya kufa kwake?
3Je tukiacha Quran ni kitabu gani ambacho kimeandika habari za faraho kuhusiana na kufa kwake na mwili kuhufadhiwa hadi Leo(weka link tusome).
4Wakati Quran inasema mwili wake hautahalibika hadi siku ya mwisho.mwandishi alijua kuwa hadi miaka hii ungekuwa haujaoza?.Naomba majibu ya maswali yangu
Hao walipelekwa Brazil kwenda kulima miwa wakitolewa kwenye nchi yao ya Asili America, baada ya kuonekana kuwa hawana nguvu sana na wanachoka mapema ndio wazungu(Wareno) walipokuja Africa kiwachukua wakina Pele kwenda kulima miwa kwa ajili ya SukariIla hawa red Indians ,South America wamejaa kibao pale Brazil. Colombia, Venezuela n.k
Nalog off
Jina lake halisi ni Ramsey au Pharao., Firauni ni kiswahili lenye maana Pharao, na maana ya Pharao ni mfalmeKwanini anaitwa firauni, na firauni maana yake ni nini?
Sasa mbona neno firauni huwa linahusishwa na matendo mabaya, utasikia yule jamaa firauni sana amebaka mtoto, au lina maana zaidi y moja?Haitwi Firauni jina lake ni Ramsey au Pharao hilo Firauni ni la kiswahili lenye maana Pharao, na maana ya Pharao ni mfalme
Mzee Mapharao walikuwa ni moja wa watu wastaarabu waliopata kuishi Ulimwenguni, na ustaarabu mwingi uliopo leo ulimwenguni umetokea kwenye kingdom ya Misri ambako ndipo MaPharao walitawala! Hayo unayoyasema ni upotoshaji wa Biblia na Quran kutuziba weusi tusijitambue maana hao mapharao walikuwa ni weusi tii! Kama sisi na walikuwa na nguvu kiasi kwamba waliweza kuwatawala hadi waisraelSasa mbona neno firauni huwa linahusishwa na matendo mabaya, utasikia yule jamaa firauni sana amebaka mtoto, au lina maana zaidi y moja?
herode alikuwa mrumi na alikuwa pale israel kuwakilisha dola ya roma hivyo yeye alikuwa mweupehutyo herode si alikuwa mfalme wa Israel Mkuu-na kama ndivyo basi ni dhahiri alikuwa akiongoza weupe wenzake kwa maana hiyo waisrael ni weupe.sasa dhana na ya kuwa waisrael halisi walikuwa weusi inatoka wapi??
amunraAmen RA
umeandika makala ndefu ila utumbo mtupu....Watu weusi tuna taabu!! Tusipojiegesha kwa Wayahudi utasikia Misri ya Kale tulikuwa sisi!!
Tulivyo maboya, upande mwingine tunaamini sisi ni watoto wa Ibrahim! Na kuhitimisha uboya kama sio ukila.za wetu hapo hapo tunakubali, Ishmael ni mtoto wa Ibrahim na huyu Ishmael mama ake alitokea Misri! Na kutokana na unduze huo huo tulionao tunakubali Ishmael ndie chimbuko la Waarabu-- kwamba mtoto wa mama Mmisri ndie chimbuko la Waarabu na hivyo kuwa na uwezekano mkubwa kwamba mama ake Ishmael nae alikuwa Mwarabu wa Misri!
Sasa hao Waarabu walienda wapi hadi Misri ikageuka kuwa ya Wamatumbi akina Firauni?! Mbona hawa Wamatumbi hatusikii kwamba ndio wanadamu wa kale nchi jirani na Misri?!
Miafrika bhana... kusikia Wayahudi eti ma-genius na yenyewe inataka kujinasibisha na Wayahudi! Kusikia Mzungu na jeuri yake yote hadi leo hafahamu mapiramidi yalijengwaje... Wamatumbi hao; kama mkojo wa asubuhi kwamba eti mapiramidi yalijengwa na mababu zao!!
Ajabu ni kwamba, hawafananii na chochote na hao kimaarifa! Japo miaka elfu kadhaa ishapita, ndo kwanza wengine tunajiita Tanzania ya Viwanda lakini viwanda vyenyewe ni vile ambavyo Ulaya vilikuwepo miaka 500 iliyopita!
vipimo vya kisayans vinaonyesha farao alikua mweus....pharaos na egytian gods wote walikua weus kama haujuiMimi niliyeukubali Uafrika wangu na nyie ambao mara mjinasibishe na Wayahudi mara mjinasibishe na akina Farao; ni kati yetu anayestahili kuitwa nyani?! Ni nani kati yetu anayejidharau?! Unaona ulivyo na akili za kitumwa?! Kumbe kutokuwa tayari kujinasibisha na akina Farao ni sawa na kuwa takataka! Na ili usiwe takataka ndio maana hamuishi kujinasibisha na akina Farao na Wayahudi?! Halafu ona unavyotoa mifano irrelevant! Sasa hao Wachina wamejinasibisha na Mafarao?!
Mtu kama mimi ninayekubali Uafrika wangu bila kujinasibisha na yeyote siwezi kujisikia takataka lakini wewe unaeamini eti Farao huenda alikuwa babu yako ndie unayejiona takataka cuz' you can't stand on your own!
Badala ya kunyesha mapovu; jibu hoja!
Indeed!amunra
god of sun..... bigger than isis...horus...anubis etc
Na mimi nimeisoma, jamaa anajichukia anaweza kujilisha sumu yeye na ukoo wake walahi! A pure slave mind! Poor fella!umeandika makala ndefu ila utumbo mtupu....
leo mtoto akiitwa bashite inaonekana dharau kwasababu ya kitu flanSasa mbona neno firauni huwa linahusishwa na matendo mabaya, utasikia yule jamaa firauni sana amebaka mtoto, au lina maana zaidi y moja?
hahhhhaa mentak slavery na kutokutambua mambo...anajipenda kama mweus ila hajui kuna nn ndan yakeNa mimi nimrods, jamaa anajichukia anaweza kujilisha sumu yeye na ukoo wake walahi! A pure slave mind! Poor fella!
Godess ISIS alichukua vipawa vyote vya AMUN RA wakati AMUN RA alipokuwa mgonjwa! Na hakumbakishia kitu! Very very interesting!god of sun..... bigger than isis...horus...anubis etc