Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Hutakiwi kusoma bible and quran pekee ili kupata ukweli wa haya soma vitabu vingi zaidi ya vivyo viwili, funga safari nenda Misri, kule unaweza kupata mapya kuliko kitabu cha bible quran and science tuu!
Well said!
 

Kaka nimekusoma, hoja yako hasa ni ipi?,
1: kwamba Misri ya Kale haikuwa ya weusi na hao Mapharao hawakuwa weusi?
2: kwamba Misri hakukuwa na Elimu ya kisasa ikitolewa hapo?
3: kwamba mapharao walikuwa ni Miungu?

Naomba uniweke sawa kwenye misimamo yako
 

Kwanza ukae ukijua Pharao sio jina, bali ni cheo ni kama vile unavyosema , Mfalme, Rais, Sultan nk, so Mapharao walikuwa wengi sana wala sio mmoja
1: Mohammad alizifahamu habari za Mapharao kwa sababu zilikuwa zinajulikana na watu wote wa ukanda huo wa middle east

2: hilo la mwili kutoharibika lilikuwa linajulikana na ukanda wote huo, kuwa mapharao wakifa huwa wanakaushwa na kuhifadhiwa so miili mingi ya Mapharao waliopita imepatikana, hata Mzee Jakobo Babayake na Yusuf alienda Misri kukaa na mwanae Yusufu na alipokufa walimkausha kama wanavyofanywa Mapharao na wakamuweka kwenye Sanduku kama wanavyofanywa mapharao na alikaa kwa muda mrefu kabla ya kina Yufusu kuja kumzika babayao Kwao (Soma Biblia kisa cha Yusufu utayaona hayo)

3: Maandishi yapo mengi kwenye mapango na makaburi ya mapharao hapo misri yenye kuelezea hayo,

4: Wakati quran inaandikwa kulikuwa na mapharao ambao walishakaushwa kwa zaidi ya miaaka 2000 na walikuwa bado wapo na mpaka leo bado wapo, ni kitu kilichokuwa kinajulikana
 
Ila hawa red Indians ,South America wamejaa kibao pale Brazil. Colombia, Venezuela n.k
Nalog off
Hao walipelekwa Brazil kwenda kulima miwa wakitolewa kwenye nchi yao ya Asili America, baada ya kuonekana kuwa hawana nguvu sana na wanachoka mapema ndio wazungu(Wareno) walipokuja Africa kiwachukua wakina Pele kwenda kulima miwa kwa ajili ya Sukari
 
Sasa mbona neno firauni huwa linahusishwa na matendo mabaya, utasikia yule jamaa firauni sana amebaka mtoto, au lina maana zaidi y moja?
Mzee Mapharao walikuwa ni moja wa watu wastaarabu waliopata kuishi Ulimwenguni, na ustaarabu mwingi uliopo leo ulimwenguni umetokea kwenye kingdom ya Misri ambako ndipo MaPharao walitawala! Hayo unayoyasema ni upotoshaji wa Biblia na Quran kutuziba weusi tusijitambue maana hao mapharao walikuwa ni weusi tii! Kama sisi na walikuwa na nguvu kiasi kwamba waliweza kuwatawala hadi waisrael
 
hutyo herode si alikuwa mfalme wa Israel Mkuu-na kama ndivyo basi ni dhahiri alikuwa akiongoza weupe wenzake kwa maana hiyo waisrael ni weupe.sasa dhana na ya kuwa waisrael halisi walikuwa weusi inatoka wapi??
herode alikuwa mrumi na alikuwa pale israel kuwakilisha dola ya roma hivyo yeye alikuwa mweupe
 
Hivi ni kwa nn na kwa vp mababu zetu walikubali kutawaliwa kufanywa watumwa na kutumikishwa na wazungu na waarabu kwa nyakati tofauti wkt tunaamini tuliishakuwa na akili na uwezo sawa tangu kumbwa kwetu....
Ni kwa nn hali hiyo ya kujitawala kiuchumi hatuifikii sisi wafrica zaidi ya madeni ya mataifa yetu kuongezeka kila mwaka na kitegemea misaada kwenye bajeti zetu?
Just curious
 
umeandika makala ndefu ila utumbo mtupu....
 
vipimo vya kisayans vinaonyesha farao alikua mweus....pharaos na egytian gods wote walikua weus kama haujui
waliposambaratika baada ya kuja mgiriki,mroma na muarabu wakaanza kuja kusin mwa africa ndiomaana utaona wamasai,wanyarwanda,wasomali na hata waethiopia wanafanana

SOMA SANA ME SIO MUONGEAJI
 
Sasa mbona neno firauni huwa linahusishwa na matendo mabaya, utasikia yule jamaa firauni sana amebaka mtoto, au lina maana zaidi y moja?
leo mtoto akiitwa bashite inaonekana dharau kwasababu ya kitu flan

ila kabla ya haya bashite lilikua jina zuri tu

hamna mtu anapenda kumuita mwanae kain coz alimuua mwenzake

au kuna mtu anapenda kumuita mwanae PILATO AU GOLIATH???
 
Na mimi nimrods, jamaa anajichukia anaweza kujilisha sumu yeye na ukoo wake walahi! A pure slave mind! Poor fella!
hahhhhaa mentak slavery na kutokutambua mambo...anajipenda kama mweus ila hajui kuna nn ndan yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…