Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Kama uko sawa unaweza kutambua vyema kabisa kuwa nilikuwa namaanisha Uongo aliozushiwa juu ya kifo chake, kama una shida kidogo za kiimani huwezi kuelewa, utaona nimeandika Bongo Movies[emoji4]

So siyo historia yake mkuu.
 
Kwani RED INDIANS WA NORTH AMERICA WAKO WAPI? na AUSTRALIA wale watu wa asili wako wapi? MZUNGU NENDA NAE KWA HEKIMA NA BUSARA PAMOJA NA UFAHAMU WA HALI YA JUU. ..
Ni wajanja sana Malkia.
 
Watu weusi tuna taabu!! Tusipojiegesha kwa Wayahudi utasikia Misri ya Kale tulikuwa sisi!!

Tulivyo maboya, upande mwingine tunaamini sisi ni watoto wa Ibrahim! Na kuhitimisha uboya kama sio ukila.za wetu hapo hapo tunakubali, Ishmael ni mtoto wa Ibrahim na huyu Ishmael mama ake alitokea Misri! Na kutokana na unduze huo huo tulionao tunakubali Ishmael ndie chimbuko la Waarabu-- kwamba mtoto wa mama Mmisri ndie chimbuko la Waarabu na hivyo kuwa na uwezekano mkubwa kwamba mama ake Ishmael nae alikuwa Mwarabu wa Misri!

Sasa hao Waarabu walienda wapi hadi Misri ikageuka kuwa ya Wamatumbi akina Firauni?! Mbona hawa Wamatumbi hatusikii kwamba ndio wanadamu wa kale nchi jirani na Misri?!

Miafrika bhana... kusikia Wayahudi eti ma-genius na yenyewe inataka kujinasibisha na Wayahudi! Kusikia Mzungu na jeuri yake yote hadi leo hafahamu mapiramidi yalijengwaje... Wamatumbi hao; kama mkojo wa asubuhi kwamba eti mapiramidi yalijengwa na mababu zao!!

Ajabu ni kwamba, hawafananii na chochote na hao kimaarifa! Japo miaka elfu kadhaa ishapita, ndo kwanza wengine tunajiita Tanzania ya Viwanda lakini viwanda vyenyewe ni vile ambavyo Ulaya vilikuwepo miaka 500 iliyopita!
 
Watu weusi tuna taabu!! Tusipojiegesha kwa Wayahudi utasikia Misri ya Kale tulikuwa sisi!!

Tulivyo maboya, upande mwingine tunaamini sisi ni watoto wa Ibrahim! Na kuhitimisha uboya kama sio ukila.za wetu hapo hapo tunakubali, Ishmael ni mtoto wa Ibrahim na huyu Ishmael mama ake alitokea Misri! Na kutokana na unduze huo huo tulionao tunakubali Ishmael ndie chimbuko la Waarabu-- kwamba mtoto wa mama Mmisri ndie chimbuko la Waarabu na hivyo kuwa na uwezekano mkubwa kwamba mama ake Ishmael nae alikuwa Mwarabu wa Misri!

Sasa hao Waarabu walienda wapi hadi Misri ikageuka kuwa ya Wamatumbi akina Firauni?! Mbona hawa Wamatumbi hatusikii kwamba ndio wanadamu wa kale nchi jirani na Misri?!

Miafrika bhana... kusikia Wayahudi eti ma-genius na yenyewe inataka kujinasibisha na Wayahudi! Kusikia Mzungu na jeuri yake yote hadi leo hafahamu mapiramidi yalijengwaje... Wamatumbi hao; kama mkojo wa asubuhi kwamba eti mapiramidi yalijengwa na mababu zao!!

Ajabu ni kwamba, hawafananii na chochote na hao kimaarifa! Japo miaka elfu kadhaa ishapita, ndo kwanza wengine tunajiita Tanzania ya Viwanda lakini viwanda vyenyewe ni vile ambavyo Ulaya vilikuwepo miaka 500 iliyopita!
Kweli wewe ni Liafrika huna maana kabisa! nyie ndo mnaitwa nyani na wazungu.
Kwa kujidharau huko utalala hapa ulimwenguni daima! utaenda kuamkia kuzimu kwenye moto!
Ukijiona ni takataka nani atakuona una maana!

Mbona wachina wamekuwa watumwa kwa miaka elfu na elfu ila wamekuja kuamka ndani ya miaka 70 tu iliyopita, Yote ni sababu walikuwa wanaamini bado wana nafasi.
Endelea kujiona takataka, utaona.
 
Kweli wewe ni Liafrika huna maana kabisa! nyie ndo mnaitwa nyani na wazungu.
Kwa kujidharau huko utalala hapa ulimwenguni daima! utaenda kuamkia kuzimu kwenye moto!
Ukijiona ni takataka nani atakuona una maana!

Mbona wachina wamekuwa watumwa kwa miaka elfu na elfu ila wamekuja kuamka ndani ya miaka 70 tu iliyopita, Yote ni sababu walikuwa wanaamini bado wana nafasi.
Endelea kujiona takataka, utaona.
Mimi niliyeukubali Uafrika wangu na nyie ambao mara mjinasibishe na Wayahudi mara mjinasibishe na akina Farao; ni kati yetu anayestahili kuitwa nyani?! Ni nani kati yetu anayejidharau?! Unaona ulivyo na akili za kitumwa?! Kumbe kutokuwa tayari kujinasibisha na akina Farao ni sawa na kuwa takataka! Na ili usiwe takataka ndio maana hamuishi kujinasibisha na akina Farao na Wayahudi?! Halafu ona unavyotoa mifano irrelevant! Sasa hao Wachina wamejinasibisha na Mafarao?!

Mtu kama mimi ninayekubali Uafrika wangu bila kujinasibisha na yeyote siwezi kujisikia takataka lakini wewe unaeamini eti Farao huenda alikuwa babu yako ndie unayejiona takataka cuz' you can't stand on your own!

Badala ya kunyesha mapovu; jibu hoja!
 
Mimi niliyeukubali Uafrika wangu na nyie ambao mara mjinasibishe na Wayahudi mara mjinasibishe na akina Farao; ni kati yetu anayestahili kuitwa nyani?! Ni nani kati yetu anayejidharau?! Unaona ulivyo na akili za kitumwa?! Kumbe kutokuwa tayari kujinasibisha na akina Farao ni sawa na kuwa takataka! Na ili usiwe takataka ndio maana hamuishi kujinasibisha na akina Farao na Wayahudi?! Halafu ona unavyotoa mifano irrelevant! Sasa hao Wachina wamejinasibisha na Mafarao?!

Mtu kama mimi ninayekubali Uafrika wangu bila kujinasibisha na yeyote siwezi kujisikia takataka lakini wewe unaeamini eti Farao huenda alikuwa babu yako ndie unayejiona takataka cuz' you can't stand on your own!

Badala ya kunyesha mapovu; jibu hoja!
Wayaudi unawafahamu?
Mapharao unawafahamu?
huyo sijui unayemwita Ibrahimu ulishawahi kumwona au kuhakikisha kuwa alikuwa ni mweusi au Mzungu?
 
kwa hiyo herode alikuwa Muzungu??? na alikuwa katika nchi ipi maana kuna siku nimesoma kuwa hiyo israel na misri walikuwa wanaishi watu weusi
Herode alikuwa Mzungu/au wanasema mwekundu kutoka Roma/Rumi ndio walikuwa wanatawala Israel kipindi hiko ndio walileta adhabu za kutundikwa misalabani huko Israel ya kipindi hiko ndio ukawa utamaduni ukiwa kinyume na rumi na ndio maana na YESU nae akatundikwa .
 
hutyo herode si alikuwa mfalme wa Israel Mkuu-na kama ndivyo basi ni dhahiri alikuwa akiongoza weupe wenzake kwa maana hiyo waisrael ni weupe.sasa dhana na ya kuwa waisrael halisi walikuwa weusi inatoka wapi??
Herode/Pilato walikuwa outsiders kutoka Roma ndio maana kwenye vitabu wafalme wanaotambulika Ni kutoka uzao wa daudi tu hao wengine Ni imposters tu waliwekwa ma Roma kwa maslahi yao.
Mzungu amuweke utumwa Mzungu mwenzake uliona wapi?? Rumi Ni wazungu Israel ya enzi hiyo walikuwa weusi
 
Mimi niliyeukubali Uafrika wangu na nyie ambao mara mjinasibishe na Wayahudi mara mjinasibishe na akina Farao; ni kati yetu anayestahili kuitwa nyani?! Ni nani kati yetu anayejidharau?! Unaona ulivyo na akili za kitumwa?! Kumbe kutokuwa tayari kujinasibisha na akina Farao ni sawa na kuwa takataka! Na ili usiwe takataka ndio maana hamuishi kujinasibisha na akina Farao na Wayahudi?! Halafu ona unavyotoa mifano irrelevant! Sasa hao Wachina wamejinasibisha na Mafarao?!

Mtu kama mimi ninayekubali Uafrika wangu bila kujinasibisha na yeyote siwezi kujisikia takataka lakini wewe unaeamini eti Farao huenda alikuwa babu yako ndie unayejiona takataka cuz' you can't stand on your own!

Badala ya kunyesha mapovu; jibu hoja!
Watu sio vichaa mzee, Daktari kutoka Uingereza ndiye aliyethibithisha, kuwa Mapharao walikuwa ni black, kupitia matokeo ya DNA ya ramsey lll, alithibitisha kuwa vinasaba avyovikuta katika mwili wa Ramsey lll, vinapatikana katika nchi za sahara Ethiopia Kenya na Sudan! soma wikipedia au

Acha ubishi usio na kichwa wa miguu mzee.
 
Mkuu sasa hawa waharabu wamisir walitokea wapi?? na waliwezaje kufanikisha kuwafukuza wenyeji wa hapo hao weusi maana kwa kipindi hicho hao mapharao walikuwa na nguvu sana,so waarabu walifanikiwa vipi kuingia hiyo nchi??:?
Sio misri tu, hata Zanzibar wangezubar wangekuwa ni wao tu leo. Zipo nchi nyingi zenye mifano kama hii, za kale na za sasa pia. Makaburu South na wazungu Australia, weusi Haiti nk.
 
Watu weusi tuna taabu!! Tusipojiegesha kwa Wayahudi utasikia Misri ya Kale tulikuwa sisi!!

Tulivyo maboya, upande mwingine tunaamini sisi ni watoto wa Ibrahim! Na kuhitimisha uboya kama sio ukila.za wetu hapo hapo tunakubali, Ishmael ni mtoto wa Ibrahim na huyu Ishmael mama ake alitokea Misri! Na kutokana na unduze huo huo tulionao tunakubali Ishmael ndie chimbuko la Waarabu-- kwamba mtoto wa mama Mmisri ndie chimbuko la Waarabu na hivyo kuwa na uwezekano mkubwa kwamba mama ake Ishmael nae alikuwa Mwarabu wa Misri!

Sasa hao Waarabu walienda wapi hadi Misri ikageuka kuwa ya Wamatumbi akina Firauni?! Mbona hawa Wamatumbi hatusikii kwamba ndio wanadamu wa kale nchi jirani na Misri?!

Miafrika bhana... kusikia Wayahudi eti ma-genius na yenyewe inataka kujinasibisha na Wayahudi! Kusikia Mzungu na jeuri yake yote hadi leo hafahamu mapiramidi yalijengwaje... Wamatumbi hao; kama mkojo wa asubuhi kwamba eti mapiramidi yalijengwa na mababu zao!!

Ajabu ni kwamba, hawafananii na chochote na hao kimaarifa! Japo miaka elfu kadhaa ishapita, ndo kwanza wengine tunajiita Tanzania ya Viwanda lakini viwanda vyenyewe ni vile ambavyo Ulaya vilikuwepo miaka 500 iliyopita!
Kutofanana nao kimaarifa leo ni jambo la kihistoria, haswa ukoloni. Msome Rodney,,, miaka ya 1400 sote tulikuwa sawa hata kiteknolojia. Ufipa walishafikia uhunzi wao zamani sana, biolojia, kilimo, jiografia, ufugaji, usafiri nk almost tulikuwa sawa.

Labda ni kizazi hiki mufilisi ndo kiko nyuma kwao. Vijana waliostahili kurithi maujuzi eidha walipelekwa utumwani au kuzuiwa kuendeleza teknolojia zao,, ili wakoloni walidhibiti soko la bidhaa zao.
 
Back
Top Bottom