We acha tu! Yaani ndiyo ma blind sheeps! Unakumbuka ile movie ya MATRIX, kwenye blue pill na red pill? Hao ndiyo wanachukua blue pill and the story ends! It's fascinating!Hawa sijui wanatoka wapi!
Ni genius minds zimekutana na nia mmoja!Duh! wanadamu tunachezewa sana Akili!! Mambo yamefichwa kwa siri kuu!
Mbali na kumpinga ila Siku nitakayomuona Shetani Nitampigia makofi maana kwa mipango anatisha!
View attachment 506241
Energy!Duh! wanadamu tunachezewa sana Akili!! Mambo yamefichwa kwa siri kuu!
Mbali na kumpinga ila Siku nitakayomuona Shetani Nitampigia makofi maana kwa mipango anatisha!
View attachment 506241
Tunasubiri mzee andalio lako@secretstar Naona umeandika mambo kadhaa Kumuhusu Amun, nami ngoja niandae maada hapa itakayotuambia, 'Ra' ndiye Yesu wa leo'
Wow ni birthday yangu leo[emoji18]Leo ni 12th of Iyar, 5777 kwa tarehe za kiebrania! 8th of May, 2017 !
Ohh my that is totally wonderful! Happy belated birthday, Secret Star a beautiful mind!Wow ni birthday yangu leo[emoji18]
kweli ni NdebileHata Yesu Kristo mwana wa Yoseph alikuwa mweusi tii na nywere za kipilipili! Na ndio sababu utotoni alifichwa Misri kumkwepa Herode, kama angekuwa mzungu kama tunavyoonyeshwa kwenye sinema huko Misri wasingemficha...ila kwakuwa alikuwa mweusi basi alichangwanywa na weusi wenzanke.
Lugha ya mifano aliyokuwa akiitumia Yesu kwa mujibu wa biblia, asili take ni hapa usukumani...wazungu hawafundushi kupitia mifano ya "mpanzi na mbengu zilizoanguka kandokando ya njia..."
Dada kutambua kwamba kuna laana juu yetu si kwamba laana imeisha!.Naona Pharaoh amekujibu vizuri, lakini nitapinga kuwa tuko chini ya laana mpaka sasa hivi! LA HASHA! Kifungo kimeondolewa ndiyo maana tunapata hii insight! Awakening or Returning of the Gods and Goddess ! Ukija kwenye kuwafuatilia kwa karibu hawa ma babu na bibi zetu wa kale, huyu huyu mtu wa pink ameivuruga historia yao sana! Ndiyo maana unaisoma alafu unaona ni kama vurugu flani hivi! Ukienda India utaona watu wa kule wana miungu kibao, kwa hiyo ni sawa na kipindi hicho Misri
. Wamisri na Waisrael walikuwa wote wana rangi moja kama sisi tulivyo, ndiyo maana mtoto Mussa akalelewa na binti Pharaoh kama mmisri bila kujulikana kama alikuwa ni myahudi!
Kila unalo waza ndilo utakalo pata! Ndiyo maana mtu wa pink alicheza sana na imani ya watu, aka install uwoga katika kila jambo! Lakini uzuri ni kwamba kila kitu na wakati wake chini ya jua, juzi tu China na India pamoja na Urusi walikuwa masikini, sasa hivi angalia walipo! Alafu usim limit Mwenye Enzi Mungu kwani njia zake na za kwetu ni tofauti kabisa kama mbingu na nchi!Dada kutambua kwamba kuna laana juu yetu si kwamba laana imeisha!.
La hasha! hebu kumbuka miaka ya kale. ambapo karibu wamisri wote walitambua kama kuna laana imewapitia!
Tangu kipindi cha great Rammeses ll hadi miaka mingi baadae wamisri walipoteza uwezo wao wote. mbali na Utawala wao kufa kabisa! Kilichofuata hapo ni Njaa, umasikini, kusimama Kiteknolojia, kutojitambua na mengine majanga mengine mengi.
Kwa mfano leo hapa tulipo inawezekana kati ya watu 10000 watakaosikia habari hizi ni wawili au mmoja ambao ndio wanaweza kulichukulia uzito.
Nawengine wote wataona ni upumbavu tu! hii ni sababu ya kuzibwa Macho wasione ili hali mambo yako wazi! Kama wazungu Toka mbali wanakuja kutumia Miungu yetu na wanafanikiwa kwa kifani iweje sisi tupo tupo tuu!
Kwenye laana huwa hawalaaniwi wote kabisa wanaweza kubaki wachache kwaajili ya kuokoa wenzao!
Kama Laana hiyo ingeekuwa imetoka Ndani ya miaka miwili tu ungeanza kushuhudia Maajabu Africa. kiuchumi. kiutawalla. na kiteknolojia. pia juo ndio utakuwa mwisho wa kuwa wategemezi.
Mimi naona laana bado ipo. ukisema haipo nikikuuliza ni nani ambaye aliitoa na aliitoaje?
Huu mwanga tunaouona sasa ni matokeo ya kuendelea sana kwa Wazungu!
Wasingetuletea mtandao wa internet, shule, magazine, tv na radio hata mimi na wewe tungekuwa bado gizani!
Ndo maana huwa nawaza kuwa mzungu kutupatia Teknolojia ni kosa kubwa amefanya! maana wajanja wote wataamka.
Mtu wa pink sawa katukoroga ila si kwa asilimia zote! inawezekana katukoroga kwa asilimia chache sana kuliko tulivyojikoroga wenyewe! pink wameanza kuingia Africa Miaka 250 au 300 iliyopita! Vipi sisi Tulioishi hapa nyumbani Bila Bugdha kwa miaka zaidi ya 3000 tangu Taifa la Israel Kukimbia misri? tulifanya kipi cha ajabu juu ya maarifa? zaidi ya kutumia vile vile vilivyobuniwa na wamisri ya kale?Kila unalo waza ndilo utakalo pata! Ndiyo maana mtu wa pink alicheza sana na imani ya watu, aka install uwoga katika kila jambo! Lakini uzuri ni kwamba kila kitu na wakati wake chini ya jua, juzi tu China na India pamoja na Urusi walikuwa masikini, sasa hivi angalia walipo! Alafu usim limit Mwenye Enzi Mungu kwani njia zake na za kwetu ni tofauti kabisa kama mbingu na nchi!
Ndiyo maana nimekwambia kuna wakati wa kila kitu chini ya jua! Kipindi cha Alexander the Great Greece ilivyo kuwa, ungeamini kwamba wangeishia omba omba! Kumbuka Libya na Ghadafi! And so on..,Mtu wa pink sawa katukoroga ila si kwa asilimia zote! inawezekana katukoroga kwa asilimia chache sana kuliko tulivyojikoroga wenyewe! pink wameanza kuingia Africa Miaka 250 au 300 iliyopita! Vipi sisi Tulioishi hapa nyumbani Bila Bugdha kwa miaka zaidi ya 3000 tangu Taifa la Israel Kukimbia misri? tulifanya kipi cha ajabu juu ya maarifa? zaidi ya kutumia vile vile vilivyobuniwa na wamisri ya kale?
wow Nimependa hiiOhh my that is totally wonderful! Happy belated birthday, Secret Star a beautiful mind!
kwa hiyo herode alikuwa Muzungu??? na alikuwa katika nchi ipi maana kuna siku nimesoma kuwa hiyo israel na misri walikuwa wanaishi watu weusi
Historia zote unazosoma zilizo nyuma ya miaka ya 1900 unatambua kama ni story tu, hakuna mwenye uhakika?Hapa tuna piga story tu hakuna mwenye uhakika
Mazungu yana uhakika weweHistoria zote unazosoma zilizo nyuma ya miaka ya 1900 unatambua kama ni story tu, hakuna mwenye uhakika?