Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

hii
Hata Yesu Kristo mwana wa Yoseph alikuwa mweusi tii na nywere za kipilipili! Na ndio sababu utotoni alifichwa Misri kumkwepa Herode, kama angekuwa mzungu kama tunavyoonyeshwa kwenye sinema huko Misri wasingemficha...ila kwakuwa alikuwa mweusi basi alichangwanywa na weusi wenzanke.
Lugha ya mifano aliyokuwa akiitumia Yesu kwa mujibu wa biblia, asili take ni hapa usukumani...wazungu hawafundushi kupitia mifano ya "mpanzi na mbengu zilizoanguka kandokando ya njia..."
kweli ni Ndebile
 
Naona Pharaoh amekujibu vizuri, lakini nitapinga kuwa tuko chini ya laana mpaka sasa hivi! LA HASHA! Kifungo kimeondolewa ndiyo maana tunapata hii insight! Awakening or Returning of the Gods and Goddess ! Ukija kwenye kuwafuatilia kwa karibu hawa ma babu na bibi zetu wa kale, huyu huyu mtu wa pink ameivuruga historia yao sana! Ndiyo maana unaisoma alafu unaona ni kama vurugu flani hivi! Ukienda India utaona watu wa kule wana miungu kibao, kwa hiyo ni sawa na kipindi hicho Misri
. Wamisri na Waisrael walikuwa wote wana rangi moja kama sisi tulivyo, ndiyo maana mtoto Mussa akalelewa na binti Pharaoh kama mmisri bila kujulikana kama alikuwa ni myahudi!
Dada kutambua kwamba kuna laana juu yetu si kwamba laana imeisha!.
La hasha! hebu kumbuka miaka ya kale. ambapo karibu wamisri wote walitambua kama kuna laana imewapitia!
Tangu kipindi cha great Rammeses ll hadi miaka mingi baadae wamisri walipoteza uwezo wao wote. mbali na Utawala wao kufa kabisa! Kilichofuata hapo ni Njaa, umasikini, kusimama Kiteknolojia, kutojitambua na mengine majanga mengine mengi.
Kwa mfano leo hapa tulipo inawezekana kati ya watu 10000 watakaosikia habari hizi ni wawili au mmoja ambao ndio wanaweza kulichukulia uzito.
Nawengine wote wataona ni upumbavu tu! hii ni sababu ya kuzibwa Macho wasione ili hali mambo yako wazi! Kama wazungu Toka mbali wanakuja kutumia Miungu yetu na wanafanikiwa kwa kifani iweje sisi tupo tupo tuu!
Kwenye laana huwa hawalaaniwi wote kabisa wanaweza kubaki wachache kwaajili ya kuokoa wenzao!
Kama Laana hiyo ingeekuwa imetoka Ndani ya miaka miwili tu ungeanza kushuhudia Maajabu Africa. kiuchumi. kiutawalla. na kiteknolojia. pia juo ndio utakuwa mwisho wa kuwa wategemezi.
Mimi naona laana bado ipo. ukisema haipo nikikuuliza ni nani ambaye aliitoa na aliitoaje?
Huu mwanga tunaouona sasa ni matokeo ya kuendelea sana kwa Wazungu!
Wasingetuletea mtandao wa internet, shule, magazine, tv na radio hata mimi na wewe tungekuwa bado gizani!
Ndo maana huwa nawaza kuwa mzungu kutupatia Teknolojia ni kosa kubwa amefanya! maana wajanja wote wataamka.
 
Dada kutambua kwamba kuna laana juu yetu si kwamba laana imeisha!.
La hasha! hebu kumbuka miaka ya kale. ambapo karibu wamisri wote walitambua kama kuna laana imewapitia!
Tangu kipindi cha great Rammeses ll hadi miaka mingi baadae wamisri walipoteza uwezo wao wote. mbali na Utawala wao kufa kabisa! Kilichofuata hapo ni Njaa, umasikini, kusimama Kiteknolojia, kutojitambua na mengine majanga mengine mengi.
Kwa mfano leo hapa tulipo inawezekana kati ya watu 10000 watakaosikia habari hizi ni wawili au mmoja ambao ndio wanaweza kulichukulia uzito.
Nawengine wote wataona ni upumbavu tu! hii ni sababu ya kuzibwa Macho wasione ili hali mambo yako wazi! Kama wazungu Toka mbali wanakuja kutumia Miungu yetu na wanafanikiwa kwa kifani iweje sisi tupo tupo tuu!
Kwenye laana huwa hawalaaniwi wote kabisa wanaweza kubaki wachache kwaajili ya kuokoa wenzao!
Kama Laana hiyo ingeekuwa imetoka Ndani ya miaka miwili tu ungeanza kushuhudia Maajabu Africa. kiuchumi. kiutawalla. na kiteknolojia. pia juo ndio utakuwa mwisho wa kuwa wategemezi.
Mimi naona laana bado ipo. ukisema haipo nikikuuliza ni nani ambaye aliitoa na aliitoaje?
Huu mwanga tunaouona sasa ni matokeo ya kuendelea sana kwa Wazungu!
Wasingetuletea mtandao wa internet, shule, magazine, tv na radio hata mimi na wewe tungekuwa bado gizani!
Ndo maana huwa nawaza kuwa mzungu kutupatia Teknolojia ni kosa kubwa amefanya! maana wajanja wote wataamka.
Kila unalo waza ndilo utakalo pata! Ndiyo maana mtu wa pink alicheza sana na imani ya watu, aka install uwoga katika kila jambo! Lakini uzuri ni kwamba kila kitu na wakati wake chini ya jua, juzi tu China na India pamoja na Urusi walikuwa masikini, sasa hivi angalia walipo! Alafu usim limit Mwenye Enzi Mungu kwani njia zake na za kwetu ni tofauti kabisa kama mbingu na nchi!
 
Kila unalo waza ndilo utakalo pata! Ndiyo maana mtu wa pink alicheza sana na imani ya watu, aka install uwoga katika kila jambo! Lakini uzuri ni kwamba kila kitu na wakati wake chini ya jua, juzi tu China na India pamoja na Urusi walikuwa masikini, sasa hivi angalia walipo! Alafu usim limit Mwenye Enzi Mungu kwani njia zake na za kwetu ni tofauti kabisa kama mbingu na nchi!
Mtu wa pink sawa katukoroga ila si kwa asilimia zote! inawezekana katukoroga kwa asilimia chache sana kuliko tulivyojikoroga wenyewe! pink wameanza kuingia Africa Miaka 250 au 300 iliyopita! Vipi sisi Tulioishi hapa nyumbani Bila Bugdha kwa miaka zaidi ya 3000 tangu Taifa la Israel Kukimbia misri? tulifanya kipi cha ajabu juu ya maarifa? zaidi ya kutumia vile vile vilivyobuniwa na wamisri ya kale?
 
Mtu wa pink sawa katukoroga ila si kwa asilimia zote! inawezekana katukoroga kwa asilimia chache sana kuliko tulivyojikoroga wenyewe! pink wameanza kuingia Africa Miaka 250 au 300 iliyopita! Vipi sisi Tulioishi hapa nyumbani Bila Bugdha kwa miaka zaidi ya 3000 tangu Taifa la Israel Kukimbia misri? tulifanya kipi cha ajabu juu ya maarifa? zaidi ya kutumia vile vile vilivyobuniwa na wamisri ya kale?
Ndiyo maana nimekwambia kuna wakati wa kila kitu chini ya jua! Kipindi cha Alexander the Great Greece ilivyo kuwa, ungeamini kwamba wangeishia omba omba! Kumbuka Libya na Ghadafi! And so on..,
 
Hapa tuna piga story tu hakuna mwenye uhakika
 
Back
Top Bottom